Ndugu Jumanne Kishimba ni mtu wa aina gani haswa? Mbona ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja tofauti na tulivyodhani?

Ndugu Jumanne Kishimba ni mtu wa aina gani haswa? Mbona ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja tofauti na tulivyodhani?

Jumanne Kishimba tunamjua vizuri. Ni maarufu kwenye biashara za magendo kutoka Kenya kupitia Lake Victoria miaka ya 1990s. Ila ni mmoja kati ya wafanya biashara walikuwa wanatumia tindikali katika kuwatisha wafanyakazi wa TRA wakati wanadhibiti mali inayoingia nchini bila kulipia kodi. Walikuwa wanawakodi vijana na wanawatuma wakawamwagie tindikali.

Muulizeni kilichomkimbiza nchini na kwenda kuishi Zimbabwe. Alikimbia RB pale Mwanza Central Police ya kujeruhi/ kuua
Yule kitano aliyenyooshwa na jiwe vipi bado ana ukorofi ziwani au amekua umri umemtupa.
Kanda ya ziwa palikuwa na matajiri primitives Sana kama kina zakaria waliwachapa bakora abiria waliogoma kushuka kwenye bus walipokatisha ruti,Jiwe akawanyoosha siku hizi wamekua na wamerudi kanisani.
 
Mzee alianza kulangua Zahabu na Almasi miaka ya 80 huko wakati Nyerere na Mzee Rukhsa.

Na inasemekana hana mkono wa birika kwa watu wake wanaomjua.
Watu watoaji hubarikiwa sana
 
Kishimba ajipange vizuri ajue kabisa wimbi la upinzani kuzoa viti vya ubunge 2025 halitamuacha salama ni bora azichange karata zake vizuri ahamie CHADEMA.
 
Bila kusahau Rock beach Mwanza!
IMG_20230416_171818.jpg
 
Ndie muanzilishi wa kuchakata Zahabu kwa njia maludio leaching, kwa wachimbaji wadogowadogo.

Mzee wa Isagehe huyo.

Kabisa na kwa Tanzania haikuepo yeye aliichota zimbabwe na south, japo kwa sasa hadeal tena na dhahabu kama zamani
 
Jumanne Kishimba tunamjua vizuri. Ni maarufu kwenye biashara za magendo kutoka Kenya kupitia Lake Victoria miaka ya 1990s. Ila ni mmoja kati ya wafanya biashara walikuwa wanatumia tindikali katika kuwatisha wafanyakazi wa TRA wakati wanadhibiti mali inayoingia nchini bila kulipia kodi. Walikuwa wanawakodi vijana na wanawatuma wakawamwagie tindikali.

Muulizeni kilichomkimbiza nchini na kwenda kuishi Zimbabwe. Alikimbia RB pale Mwanza Central Police ya kujeruhi/ kuua

Kilichomkimbiza ni kwa kua alisapoti upinzani, akabambikiwa makodi makubwa kama kawaida ya ccm na enzi hizo alikua mkapa, akatokomea zimland, kikwete kufika zimbabwe akamkuta akamueleza rudi nyumbani, ndio akafungua kwanza imalaseko supermarket Dar posta, baadae akaingia deal na bodi ya pamba akaanza kuingiza mbegu za pamba maana pamba ilikua imekufa, ndio kutoka zimbabwe akaleta issue ya kuchenjua marudio ya dhahabu
 
Ni mwekezaji mkubwa wa apartments Tanzania karibu yote, kila wilaya au mji unaofahamu kuna center nzuri kibiashara lazima kuna estate zake na kwa Tanzania nadhani atakua moja ya watu wenye nyumba nyingi sana
 
Uccm wake ni wa mchongo,alilazimoshwa na akina Mkapa kuingia huko ili biashara zake zisivurugwe
 
Uccm wake ni wa mchongo,alilazimoshwa na akina Mkapa kuingia huko ili biashara zake zisivurugwe

Alikuaga CCM , sasa yeye kishimba, Dani Makanga, john cheyo, shibuda ndio ilikua miamba lake zone, kosa la kishimba ni kuwapa pesa akina Makanga, ndio maana miaka Dani Makanga anatoka UDP anarudi ccm ndio kishimba nae alirudi zake, kwahiyo kusema ni ccm wa mchongo unakua haufahamu siasa za Shinyanga hiyo, hadi mwanza yake miaka hiyo
 
Huyu mbunge wa Kahama Kiukweli ndio mbunge anaejua kujenga hoja na kila akiongea anatoa vitu ambavyo vinafikirisha na vinajijenga mpaka unajiuliza vipi wale wataalamu hawakuliona Hilo au hawakuweza kujipa muda wa kulifikiria?

Kwa wale tuliofika mwanza kipindi cha nyuma naamini mpaka sasa ukiwa pale mjini utasikia ghorofa la Kishimba au stendi ya Kishimba huyu ndugu iliaminika kuwa n mfanyabisha mkubwa na n mtu aisejua kusoma na kuandika hzi ndio stori zilizopo huko mtaani lakini mbona anahoja nzito hapo ndio utajua kusoma haikutenganishi na ujinga Bali niwewe mwenyewe ndio unaweza kujitenga na ujinga kwanjia zako mwenyewe unazoziamini.

Kwa stori zilizopo inasemekana alijipatia pesa na Umaarufu ws kibiashara kujua mnamo miaka ya 80's na mwanzon mwa 90's inasemekana alirisk kufanya Biashara ndani ya mipaka ya Rwanda na Burundi ikiwa kwenye Vita Kali ndio hapo alipopata pa kutokea.

Lengo kuu la kuandika hapa Kiukweli huwa ananivutia kumsikiliza na maneno yake ysnafikirisha sana mpaka unajiuliza huwa anakuwa wap akijenga hoja zake moja ya hoja zake alizosema juzi eti "wazazi pamoja na serikali unatumia sio chini ya 40millions kumsomesha daktari na akimaliza aruhusiwi kutoa huduma ya matibabu mpaka awe na kibali wakati hapo hapo.

Kuna ndugu zetu Masai na jamii zingine wanazunguka mitaani au kwenye mabasi wakisema ninakupa dawa inatibu magonjwa kadhaa nahuyu hajasomea na serikali imemruhusu auzie watu dawa wakati huyu daktari aliesomea na serikali kumpa Cheri Cha uhitimu na utabibu afya eti aruhusiwi kutoa matibabu mpaka awe na kibali ambapo kiuhalisia inachukua muda na gharama nyingi" huyu mbunge wa Kahama kweli n akili kubwa.

Kwanini serikali au taasisi za Elimu isitumie kumuomba huyu Kishimba aende akawape darasa wanafunzi waliopo chuo na kuwalisha mentality za kujitegemea wao binafsi baada ya kuhitimu na wasitegemee serikali?

Ni muda Sasa chuo kikuuu cha DAR ES SALAAM kwanini kisimpe udaktari wa heshima kwa kuenzi mchango wake kwa Taifa bungeni Mana huwa akiongea ukimuona anaonekana kajipanga na anaongea kitu kwa kumaanisha yaan yupo makini.

Mimi namuelewa kwa hayo machache he wewe unamuelewa vp au ulishawahi kumsikia kwenye Nini pia napenda nipate upande wa kibiashara jinsi anavyopambana.

Asanteni.
Mzee ana nyumba za kupangisha kwenye Majiji yetu kama Mchele.
 
Huyu mbunge wa Kahama Kiukweli ndio mbunge anaejua kujenga hoja na kila akiongea anatoa vitu ambavyo vinafikirisha na vinajijenga mpaka unajiuliza vipi wale wataalamu hawakuliona Hilo au hawakuweza kujipa muda wa kulifikiria?

Kwa wale tuliofika mwanza kipindi cha nyuma naamini mpaka sasa ukiwa pale mjini utasikia ghorofa la Kishimba au stendi ya Kishimba huyu ndugu iliaminika kuwa n mfanyabisha mkubwa na n mtu aisejua kusoma na kuandika hzi ndio stori zilizopo huko mtaani lakini mbona anahoja nzito hapo ndio utajua kusoma haikutenganishi na ujinga Bali niwewe mwenyewe ndio unaweza kujitenga na ujinga kwanjia zako mwenyewe unazoziamini.

Kwa stori zilizopo inasemekana alijipatia pesa na Umaarufu ws kibiashara kujua mnamo miaka ya 80's na mwanzon mwa 90's inasemekana alirisk kufanya Biashara ndani ya mipaka ya Rwanda na Burundi ikiwa kwenye Vita Kali ndio hapo alipopata pa kutokea.

Lengo kuu la kuandika hapa Kiukweli huwa ananivutia kumsikiliza na maneno yake ysnafikirisha sana mpaka unajiuliza huwa anakuwa wap akijenga hoja zake moja ya hoja zake alizosema juzi eti "wazazi pamoja na serikali unatumia sio chini ya 40millions kumsomesha daktari na akimaliza aruhusiwi kutoa huduma ya matibabu mpaka awe na kibali wakati hapo hapo.

Kuna ndugu zetu Masai na jamii zingine wanazunguka mitaani au kwenye mabasi wakisema ninakupa dawa inatibu magonjwa kadhaa nahuyu hajasomea na serikali imemruhusu auzie watu dawa wakati huyu daktari aliesomea na serikali kumpa Cheri Cha uhitimu na utabibu afya eti aruhusiwi kutoa matibabu mpaka awe na kibali ambapo kiuhalisia inachukua muda na gharama nyingi" huyu mbunge wa Kahama kweli n akili kubwa.

Kwanini serikali au taasisi za Elimu isitumie kumuomba huyu Kishimba aende akawape darasa wanafunzi waliopo chuo na kuwalisha mentality za kujitegemea wao binafsi baada ya kuhitimu na wasitegemee serikali?

Ni muda Sasa chuo kikuuu cha DAR ES SALAAM kwanini kisimpe udaktari wa heshima kwa kuenzi mchango wake kwa Taifa bungeni Mana huwa akiongea ukimuona anaonekana kajipanga na anaongea kitu kwa kumaanisha yaan yupo makini.

Mimi namuelewa kwa hayo machache he wewe unamuelewa vp au ulishawahi kumsikia kwenye Nini pia napenda nipate upande wa kibiashara jinsi anavyopambana.

Asanteni.
Mtu yoyote aliyeanza ujana mpaka uzee huo, akiwa mtafutaji wa mtaani na mashambani, anakua anajua maisha halisi karibu kwa 98%,hivyo akiwa Bungeni hoja zake ni zenye nguvu japo wanaojiita wasomi hawawezi kumuelewa
 
Back
Top Bottom