Ndugu Lissu, ukitaka kurejea nchini rejea; usiweke masharti haina maana

Ndugu Lissu, ukitaka kurejea nchini rejea; usiweke masharti haina maana

Mashart laZima maana waliompiga hawajakamatwa
Alipokujs kwenye uchaguzi wale waliompiga risasi walikuwa hawajakamatwa ?

Au akiwa na ishu zenye maslahi yake anakuja bila masharti,lakini akiona hamna ishu tanzania anaanza masharti ?
 
Swali moja la msingi ni je,kuna mtu kamtaka Lissu kurudi nchini hadi atupangie masharti ya kutimiza ili arudi?yeye akitaka arud au aendelee kula ugali wa bure huko we dont care after all Tanzania ni kubwa kuliko mtu yeyote na itaendelea kuwepo safe n sound with his absence Lissu kwani umeitwa baba?
Wakati anarudi kuja kwenye kampeni waliompiga walikua washakamatwa?
Nyumbu ni Nyumbu tu hata kwenye kujenga hoja utawajua.
Kwamba asiporudi tunakosa hewa ya kuvuta? Hovyo kanisa
Alipokujs kwenye uchaguzi wale waliompiga risasi walikuwa hawajakamatwa ?

Au akiwa na ishu zenye maslahi yake anakuja bila masharti,lakini akiona hamna ishu tanzania anaanza masharti ?
Kuna jambo mnalikosea ninyi. Na Mama hana akili za hovyo kama zenu. Ndiyo maana alifika Nairobi hospital kumjulia hali.

Lissu amewindwa na kutoa taarifa, lakini mpaka anamwagiwa magazine nzima si polisi wala wanasiasa waliokemea. Ameenda kwa RPC kuuliza upelelezi wa kesi na gari yake Muroto anamjibu easy.

Kwenye campaign asingeshambuliwa kwa sababu ilikuwa ni jukumu la serikali kumlinda . Lakini baada ya uchaguzi tu ulinzi uliondolewa , angefanyaJe na hali maadui zake wanakula raha mitaani ?!

Lakini Mungu ni fundi tena mkuu. Waliomtakia mabaya wametangulia . Naye ndo atafuata.
 
Mashart laZima maana waliompiga hawajakamatwa
1.Kwani alipokuja kwenye uchaguzi walikuwa wamekamatwa?
2. Kwani aliporudi na kushiriki uchaguzi uliona tatizo lolote lililomfanya akimbie?
3.Unadhani alikuja kwakuwa alikuwa na fikra kuwa100% angeshinda kiti ?
 
Msaliti alikomeshwa na ugonjwa aliosema umeisha. Nenda Chato ukamlinde.
Endelea kujidanganya.Shujaa aliyesimama nasi nyakati zote za tabu na raha ameumaliza mwendo wake kishujaa akiwa nyumbani bila kukimbia mapambano.Kifo kipo tu kama jinsi wewe na wengjne wote itakavyokuwa!..kama ni kukomeshwa basi na wewe na huyo Lisu mtakomeshwa vile vile! Shujaa hakimbii uwanja wa vita! Shujaa anapambana kujenga uchumi,kujenga miundombinu,kujenga shule na mahospitali na kuinua uchumi mpaka level za kati! Kwa kuwa anajua maadui wa taifa ni umasikini,ujinga na maradhi.Sasa huyo amekimbia vita na anajiita mpambanaji! Pumbavu
 
Endelea kujidanganya.Shujaa aliyesimama nasi nyakati zote za tabu na raha ameumaliza mwendo wake kishujaa akiwa nyumbani bila kukimbia mapambano.Kifo kipo tu kama jinsi wewe na wengjne wote itakavyokuwa!..kama ni kukomeshwa basi na wewe na huyo Lisu mtakomeshwa vile vile! Shujaa hakimbii uwanja wa vita! Shujaa anapambana kujenga uchumi,kujenga miundombinu,kujenga shule na mahospitali na kuinua uchumi mpaka level za kati! Kwa kuwa anajua maadui wa taifa ni umasikini,ujinga na maradhi.Sasa huyo amekimbia vita na anajiita mpambanaji! Pumbavu
Maneno ya kina ''low life'' haya. Kama huyo diktekta alijua kifo kipo kwa kila mtu ni kwanini alitaka kumuua Lissu? Nikujulishe kuwa wakati wa kuishi kwa kulamba vidonda kama nzi umeshapita. Lissu muda si mrefu atarudi Tanzania na hutakuwa tena cha kusema kwa sababu mjinga aliyekuwa anaku-support kaondoka na corona.
 
Maneno ya kina ''low life'' haya. Kama huyo diktekta alijua kifo kipo kwa kila mtu ni kwanini alitaka kumuua Lissu? Nikujulishe kuwa wakati wa kuishi kwa kulamba vidonda kama nzi umeshapita. Lissu muda si mrefu atarudi Tanzania na hutakuwa tena cha kusema kwa sababu mjinga aliyekuwa anaku-support kaondoka na corona.
Huyo tapeli katapeli watu huko kapewa kichapo anaanza kusingizia serikali na kutafuta kiki za kisiasa! Watanzania sio wajinga sisi! Asipigwe Mbowe,Zitto Kabwe kina Maalim Seif huko wajuzi wa siasa kuliko hiyo takataka eti serikali ipoteze muda kwake! M*t*ko kweli! na akirudi watammaliza kweli maana hana msaada kwa taifa wala sio mtanzania tena!
 
Huyo tapeli katapeli watu huko kapewa kichapo anaanza kusingizia serikali na kutafuta kiki za kisiasa! Watanzania sio wajinga sisi! Asipigwe Mbowe,Zitto Kabwe kina Maalim Seif huko wajuzi wa siasa kuliko hiyo takataka eti serikali ipoteze muda kwake! M*t*ko kweli! na akirudi watammaliza kweli maana hana msaada kwa taifa wala sio mtanzania tena!
Ni watu wangapi wamekufa kwa corona wakati mjinga mmoja akisema watu wanakufa kwa ''hofu'' na hakuna corona. Haya ''hofu'' ikajamuandoa na yeye. Wajinga mliobaki mnabaki kuhangaika bila kujua kuwa upumbavu wenu wa kumshangilia kwa mambo ya kijinga aliokuwa anasema na kufanya ndiyo umemfanya afe kabla ya muda wake. Ujinga gani huu.
 
Ni watu wangapi wamekufa kwa corona wakati mjinga mmoja akisema watu wanakufa kwa ''hofu'' na hakuna corona. Haya ''hofu'' ikajamuandoa na yeye. Wajinga mliobaki mnabaki kuhangaika bila kujua kuwa upumbavu wenu wa kumshangilia kwa mambo ya kijinga aliokuwa anasema na kufanya ndiyo umemfanya afe kabla ya muda wake. Ujinga gani huu.
Ni watu wangapi wamepona kwa kuepuka mshtuko na hofu ya corona? Wangapi wameweza kusurvive bila uwepo wa lockdown wakaweza kupata mkate wao wa kila siku? Ni shujaa gani anaweza kufa (hata ingekuwa kwa corona japo sio ukweli) kuokoa mamilioni ya watu ambao wangekufa endapo wangezuiliwa kufanya shughuli zao za kila siku na uchumi kuporomoka hali ambayo ingepelekea kukosekana madawa hospitalini na wagonjwa wengi zaidi kufa? Una akili kweli au umebeba mavi huko kichwani? Unaropoka upuuzi hapa!
 
Ni watu wangapi wamepona kwa kuepuka mshtuko na hofu ya corona? Wangapi wameweza kusurvive bila uwepo wa lockdown wakaweza kupata mkate wao wa kila siku? Ni shujaa gani anaweza kufa (hata ingekuwa kwa corona japo sio ukweli) kuokoa mamilioni ya watu ambao wangekufa endapo wangezuiliwa kufanya shughuli zao za kila siku na uchumi kuporomoka hali ambayo ingepelekea kukosekana madawa hospitalini na wagonjwa wengi zaidi kufa? Una akili kweli au umebeba mavi huko kichwani? Unaropoka upuuzi hapa!
Foolish. Who talk about lockdown! Mlikakaririshwa na yule ngumbaru aliyekuwa hajui hata maana yake na nyie mkakariri. Ficha ujinga wako.
 
Habarini za jioni,

Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mara kadhaa nimeona katika mitandao Ndugu yetu,kaka yetu Lissu akizungumza kuwa atarudi Tanzania endapo jambo fulani na fulani litafanyika.

Hii sio sawa kwa sababu zifuatazo:

Kusema kuwa mukitaka nirudi basi mufanye kadhaa wa kadhaa hii ni kauli jnayotakiwa kuitoa na tena kumtolea mtu ambae amekutaka urudi.

Bwana Lissu sidhani kama kuna ambae kakuomba urudi tanzania mpaka inafika hatua unaweka masharti,

Watu wanajiuliza nani ambaye kakutaka urudi mpaka unaweka masharti hayo?

Nikukumbushe tu kuwa mwaka 2017 ipopigwa risasi uliondoka kwenda kwenye matibabu na baadae ukarudi.

Hapa kwenye kurudi nina maswali kwako.

1. Wakati unarudi Tanzania kutoka kwenye matibabu uliweka masharti yeyote ambayo yalitimizwa mpakka ukashawishika kurudi kama unavyoweka sasa masharti ?

2. Ulikuja ukafanya uchaguzi japokuwa kimagumashi na kero za hapa na pale, lakini je ulinzi ulioupata wakati wa uchaguzi kwa nini usikushawishi wewe kurudi tanzania kukaa wakati huu ambao sio wa uchaguzi?

Kwa nini haukuwa na masharti yeyote ulipotska kurudi tanzania wakati ule wa uchaguzi badala yake masharti haya unayaweka sasa hivi katika wakati huu ambao sio wa uchaguzi?

Pengine ukasema "uliruhusiwa na daktari wako kurudi Tanzania"

Sawa, kwanini hiyo ruhusa ya daktari kuhusu wewe kurudi Tanzania isiwe na masharti ukizingatia pale ndo ilikuwa wakati wa mwanzo kurudi tanzania baada ya kupigwa risasi hivyo ilikuwa uwe na hofu zaidi kuhusu usalama wako?

Lakini pia ukisema ulirudi kwa ruhusa ya daktari sasa hivi tunauliza ile ruhusa ya daktari haiendelei mpaka hivi leo au imekoma baada ya uchaguzi hivyo kakutaka usirudi tena Tanzania baada ya uchaguzi ?

Almuhimu ni kuwa daktari alikupa ruhusa kwamba ikiwa utataka kutoka unaweza lakini haikuwa lazima kwako kurudi Tanzania.

Lakini pia katika kauli zako iwahi kusema hivi

"Nataka nielezwe waliotaka kuniua ni kina nani na nikirudi Tanzania nitakuwa salama kiasi gani."

Kwanini hukutaka kufuatilia mambo haya wakati uliporudi Tanzania kwenye uchaguzi?

Ukisma kuwa ulikuwa bize na uchaguzi maana yake unatuambia kuwa uliweza kufuatilia na kufanya harakati za uchaguzi lakini wakati huo huo ukashindwa kufuatilia madai yako haya.

Lakini ukisema ulifuatilia tunaomba ushahidi wa hatua zote ulizofanya kama kweli ulifuatilia na mpaka ilipofikia.

Na ukisema kuwa ulifanyiwa zengwe na ukanyimwa fursa ya kufuatilia mambo yako kwa nini usirudi huko nje badala yake ukaendelea kupambana na uchaguzi?

Ukisema kuwa ulibaki kwa sababu ya uchaguzi na taratibu zilishapita hivyo haikuwa busara kuacha uchaguzi naomba nniulize.

Je, ulikuwa na imani utashida uchaguzi chini ya tume hii ambayo sio huru?

Kama uliamini utashinda basi hakuna haja ya kuwa na tume huru inayodaiwa.


Na kama uliamini hautashinda basi haina haja ya kusingizia uchaguzi kwa sababu matokeo yake uliyajua tokea mwanzo.

Lakini pia katika maneno yako ulisema kuwa
"Nataka nielezwe waliotaka kuniua ni kina nani na nikirudi Tanzania nitakuwa salama kiasi gani."

Kwani uliporudi ukaja kwenye uchaguzi mpaka unaisha ulikuwa salama kiasi gani mpaka ile hi ya kupigwa risasi haikujirejea tena?

Unaamini ulipewa ulinzi mzuri kiasi kwamba hukupigwa risasi ama unaamini ni Mungu alikulinda tu?

Kama ni Mungu tu alikulinda basi rudi Tz Mungu huyo huyo atakulinda mpaka ukirudi.

Na kama ni ulinzi,basi ulinzi huo huo upo hadi hivi leo.

Usiseme kuwa unataka ulinzi kama ule wa uchaguzi haiwezekani kwa sababu wagombea wote mpaka hivi sasa hawana mlinzi yeyote anayewalinda hivyo sio kwako tu.


Haya na mengine mengi nimeona niyaweke hapa ili tujadili na wanajukwaa mwisho wa yote....

Naomba Mungu awadhihirishe na wahukumiwe wote waliothubutu kukupiga risasi pale dodoma,ni ukatili unaopaswa kupigwa vita bila kutizama itikadi za kisiasa.
Kwa tafsiri ya usaliti lissu sio msaliti.

Msaliti ni yule ambae anaenda kinyume na makubaliano ama siri mlizojiwekea
 
Kazi ipo.

Bwana lissu anakuja kudai katiba mpya katika Nchi ambayo alisema atarudi endapo atahakikishiwa usalama wake.

Atasubiri kuhakikishiwa usalama kisha ndo aje kudai katiba mpya au ?
 
Kuna jambo mnalikosea ninyi. Na Mama hana akili za hovyo kama zenu. Ndiyo maana alifika Nairobi hospital kumjulia hali.

Lissu amewindwa na kutoa taarifa, lakini mpaka anamwagiwa magazine nzima si polisi wala wanasiasa waliokemea. Ameenda kwa RPC kuuliza upelelezi wa kesi na gari yake Muroto anamjibu easy.

Kwenye campaign asingeshambuliwa kwa sababu ilikuwa ni jukumu la serikali kumlinda . Lakini baada ya uchaguzi tu ulinzi uliondolewa , angefanyaJe na hali maadui zake wanakula raha mitaani ?!

Lakini Mungu ni fundi tena mkuu. Waliomtakia mabaya wametangulia . Naye ndo atafuata.
Kwahiyo mkuu ulitaka apewe ulinzi na serikali maisha yake yote?
Kwanini chama chake kisimpatie walinzi wa kutosha?
 
Kazi ipo.

Bwana lissu anakuja kudai katiba mpya katika Nchi ambayo alisema atarudi endapo atahakikishiwa usalama wake.

Atasubiri kuhakikishiwa usalama kisha ndo aje kudai katiba mpya au ?
Eti Samia atake asetake narudi kwan Samia alimzuia lini kurudi kaona hana wa kumtisha anatishia kurudi #sina iman na Tundulissu always
 
Eti Samia atake asetake narudi kwan Samia alimzuia lini kurudi kaona hana wa kumtisha anatishia kurudi #sina iman na Tundulissu always
Jamaa anazingua sana...

Mara harudi mpaka awekewe ulinzi.
Mara atarudi hata iweje dah
 
Back
Top Bottom