Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Service yake sio mchezo unanuanua hata bajaji 10 🤣🤣🤣
Tutafanyaje na wao ndiyo wameshika Mpini halafu sisi Raia tumeshika kwenye makali 🙌
Unaweza hata kujenga shule nzuri moja.Service yake sio mchezo unanuanua hata bajaji 10 🤣🤣🤣
Watu uzalendo hawana
Nchi hii!!!Video hii inaonesha Msafara wa Magari ya Serikali tena ya Kiongozi Mkuu! yakiendeshwa kwa speed kubwa na bila tahadhari ya alama za Barabarani huko Morogoro.
View attachment 3063877
bro mambo madogo acha zako we ndo washtukaVideo hii inaonesha Msafara wa Magari ya Serikali tena ya Kiongozi Mkuu! yakiendeshwa kwa speed kubwa na bila tahadhari ya alama za Barabarani huko Morogoro.
View attachment 3063877
Huyu dereva anawafaa viongozi wetu, tuwaombee siku moja wapae na kiongozi mmoja hadi huko mawinguni
Huyu dereva anawafaa viongozi wetu, tuwaombee siku moja wapae na kiongozi mmoja hadi huko mawinguni
Tafuta hela ununue la kwako!! Masikini sio sifa nzuriHili ni gari kwenye msafara wa Rais Morogoro. Hii ni LC300 over 500M TSH. Hii miwatu itajifunza lini? Are government personnel above the law? Nani anawawajibisha for reckless driving?
View attachment 3063886
Tujikumbushe bajeti ya magari ya serikali.
View attachment 3063889
View attachment 3063890
Chawa mmoja akiona picha za Rais anabubujikwa pia 🤣🤣🤣Nmeangalia mara mbili nmebubujikwa machozi
Hii ni editing au?? Alafu si bongo apaHili ni gari kwenye msafara wa Rais Morogoro. Hii ni LC300 over 500M TSH. Hii miwatu itajifunza lini? Are government personnel above the law? Nani anawawajibisha for reckless driving?
View attachment 3063886
Tujikumbushe bajeti ya magari ya serikali.
View attachment 3063889
View attachment 3063890
Service yake sio mchezo unanuanua hata bajaji 10 🤣🤣🤣
Watu uzalendo hawana