ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Wanaogopa wanaweza kupigwa risasi kama Trump au kutekwa!wenzake wanavuta yeye anatafuna!
Sasa nani amteke kiziwi😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaogopa wanaweza kupigwa risasi kama Trump au kutekwa!wenzake wanavuta yeye anatafuna!
😂😂😂Huyu dereva anawafaa viongozi wetu, tuwaombee siku moja wapae na kiongozi mmoja hadi huko mawinguni
Tafuta hela ununue la kwako!! Masikini sio sifa nzuri
Hii ni editing au?? Alafu si bongo apa
sasa kwa hiyo speed si watamtupa!Wanaogopa wanawaza kupigwa risasi kama Trupm au kutekwa!
Sasa nani amteke kiziwi😂
Ni kweli kabisa .
Kodi ya bajaji imepandishwa maara dufu ili zippatikane pesa za kwenda kufuja na za anasa kwa watawala .
Pikipiki ni ajira kwa watoto wa maskini lakini zimeppandishiwa ushuru bei juu kuliko Wanazouza watengenezaji waenyewe huko China .
Waendesha boda boda ndio wa kwanza kusema anaupiga mwingi. Hii nchi itakombolewa na Mungu Mweyewe.
Matunda ya kiongozi mpumbavu ndiyo haya ya kukosa nidhamu na upumbavu wa kila ainaVideo hii inaonesha Msafara wa Magari ya Serikali tena ya Kiongozi Mkuu! yakiendeshwa kwa speed kubwa na bila tahadhari ya alama za Barabarani huko Morogoro.
View attachment 3063877
Jibu basi swali mzee bufaWakati una comment pale juu ulikua unawaza nini au sio wewe?
mimi mkuu wangu kila siku naona aibu kua mtu mweusi. hatuna akili kabisaaaa kama unga wa sembeHawana uchungu nayo kabisa.
Barabara zenyewe mashino, halafu speed ya nini?
Tanganyika inaliwa sana! Maccm ni majambazi wakubwa sana!NATAMANI NINGEKUWA DEREVA WA NO.1.... ANGEJUA SIO WATANGANYIKA WOTE MAFALA
Video hii inaonesha Msafara wa Magari ya Serikali tena ya Kiongozi Mkuu! yakiendeshwa kwa speed kubwa na bila tahadhari ya alama za Barabarani huko Morogoro.
View attachment 3063877
Bongo. Sio photoshop.Jibu basi swali mzee bufa
Itabidi tugombee mkuuService yake sio mchezo unanuanua hata bajaji 10 🤣🤣🤣
Watu uzalendo hawana
Yule Lucas Mwamshamba kila anachofanya Rais yeye anabubujikwa machozi ya furaha jana tu kabubujishwa machozi kisa kupiga selfieChawa mmoja akiona picha za Rais anabubujikwa pia 🤣🤣🤣
dua kubwa hii. amen 🙏🏾Huyu dereva anawafaa viongozi wetu, tuwaombee siku moja wapae na kiongozi mmoja hadi huko mawinguni
Alafu hapo ni mjini kabisa, naona ni barabra ya kuelekea mkoani. Wanapokwenda wameshafika kabisa.Hawana uchungu nayo kabisa.
Barabara zenyewe mashino, halafu speed ya nini?
Wameweka matuta bila vipimo matokeo yake ni hayoVideo hii inaonesha Msafara wa Magari ya Serikali tena ya Kiongozi Mkuu! yakiendeshwa kwa speed kubwa na bila tahadhari ya alama za Barabarani huko Morogoro.
View attachment 3063877
Tuzidi kuwaombea madereva wawe na uwezo wa kupaisha hayo magari kwenda anga za mbali.dua kubwa hii. amen 🙏🏾