Lakini,kitu kimoja unachotakiwa kukumbuka,hizo gari ni tofauti kabisa na ulizozizoea mtaani.
Pili,hao madereva,si wale uwaonao mtaani.
Sijasema waendeshe wanavyojisikia,maana hata msipolalamika,hela ya service itatoka. Japo ni hizo barabara choka mbaya,kingine,zingatieni hizo gari ni kubwa.
Kikubwa tu usije ukaiga