NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
NJia Halali ni neno Pana sana!!yaani unalipa kodi Bila kufuatwa na TRA yaani unajipeleka mwenyewe huku ukifuata muongozo wa Bei Halali ya kuuzia Bidhaa kwa mteja bila kuchakachua!!!
Neno Pana sana mkuu!!
Neno Pana sana mkuu!!
Hayo niyakufikiria ukisha toboa kwa sasa fikra ziko kwenye kutoboa kwenyewe ila naamini ukipita njia za halali basi huna haja kuhofia chochote