Salaam, shalom!!
Ikiwa lango la Nchi, lililo na makusanyo makubwa kuliko yote, tumemkabidhi mgeni atukadirie mapato baada ya Kutoa gharama zake za uendesgaji na ukusanyaji tutakwepaje kuwa bankrupt?
Tuliambiwa kwamba, akiingia DP World, atasaidia kufadhili budget ya nchi yetu zaidi ya 50%
Wananchi Bado tunasubiri hiyo neema Toka Kwa mwekezaji mwarabu wa DP World.
NB: Njia ya mwongo ni fupi!!
Karibuni mnisaidie kupata majibu ya swali hapo juu🙏
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Amen
Ikiwa lango la Nchi, lililo na makusanyo makubwa kuliko yote, tumemkabidhi mgeni atukadirie mapato baada ya Kutoa gharama zake za uendesgaji na ukusanyaji tutakwepaje kuwa bankrupt?
Tuliambiwa kwamba, akiingia DP World, atasaidia kufadhili budget ya nchi yetu zaidi ya 50%
Wananchi Bado tunasubiri hiyo neema Toka Kwa mwekezaji mwarabu wa DP World.
NB: Njia ya mwongo ni fupi!!
Karibuni mnisaidie kupata majibu ya swali hapo juu🙏
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Amen