Ushahidi kwamba mkusanyaji wa mapato ya Serikali bandarini ni DP world?Weka ushahidi ๐ผ
Amesema tulipe Kodi, pesa haziingii mifukoni kwake๐คmama anaupiga mwingi wewe.......
Ndio nimeuliza swali mje kunielimisha๐คKwani zile hesabu za TRA zinafanywa na DP world
Kanywa Mbege iliyolala.Ushahidi kwamba mkusanyaji wa mapato ya Serikali bandarini ni DP world?
Halafu Mimi nimeuliza swali , wewe unanidai Mimi ushahidi๐ค
Mbona unazeeka vibaya!!
๐ โโ๏ธShamba la Bibi.CCM ni ukoo wa panya.
Siku ya mwisho kila goti litapigwa, kumbe hata wewe unayajua haya?Ila chura kiziwi ni kituko jamani,
๐๐
50% itoke wapi wakati bandari mmeiuza? hilo shati la mtumba ulilovaa ambalo ulinunua mnadani huwa unawapa 50% waliokuuzia ?Mm ningependa kufahamu ni ofisi hipi ya ukaguzi wa hesabu za kifedha itakuwa inakagua hesabu za bandari ili tuwe na wakika wa hyo asilimia 50 maana kama watajichagulia wenyewe external auditor uwezekano wakupigwa ni mkubwa.
Ni mapichapicha ndugu,Mm ningependa kufahamu ni ofisi hipi ya ukaguzi wa hesabu za kifedha itakuwa inakagua hesabu za bandari ili tuwe na wakika wa hyo asilimia 50 maana kama watajichagulia wenyewe external auditor uwezekano wakupigwa ni mkubwa.