Ndugu Mwigulu, VAT ikishushwa Kwa 2%, Serikali haitapata HASARA ya bil 600 Bali itaongeza idadi ya walipa kodi!!!

Ndugu Mwigulu, VAT ikishushwa Kwa 2%, Serikali haitapata HASARA ya bil 600 Bali itaongeza idadi ya walipa kodi!!!

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
21,625
Reaction score
33,688
Salaam, Shalom!!

Sina ugomvi binafsi na Ndugu Mwigulu, ugomvi wangu ni juu ya Elimu ya Uchumi na maamuzi ya mtu huyu mwenye kibri ajiitaye msomi kuliko wasomi wengine.

HIZI HAPA FAIDA ZA KUPUNGUZA KODI HASA KWA WATU WA KIPATO CHA KATI NA WA KIPATO CHA CHINI.

1. BIASHARA ZILIZOKUFA ZITAFUFUKA.

Kinachoua biashara nyingi na kupunguza idadi ya walipa kodi ni utitiri wa Kodi, kupunguza Kodi, ni kuongeza idadi ya walipa kodi hivyo kimahesabu, kapu litatuna.

2. ITAONDOA NA KUPUNGUZA UKWEPAJI WA KODI.

Kodi himilivu haikimbiwi, na utalipwa Kwa Tabasamu tele usomi.

3. MAPATO NA MAKUSANYO YA KODI YATAONGEZEKA.

Biashara zikiongezeka, mapato yataongezeka sababu ya faida ya wingi.

4. UCHUMI UTAKUA MARA DUFU.

Wingi wa walipajidi lazima utakuza Uchumi.

5. MZUNGUKO WA FEDHA UTAKUA.

Ushiriki wa wengi kwenye Uchumi, utaleta manufaa makubwa.

HITIMISHO.

Aina ya Uchumi unayoenda nayo ndugu Mwigulu, utalipeleka Taifa pabaya, ni maombi yangu mamlaka za juu zikupumzishe Ili tupate changamoto mpya.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿. Amen.

Karibuni 🙏
 
Kwanini jitiada hazifanyiki kuongeza idadi ya walipa kodi?

Kuondoa utitiri wa Kodi ni kupata faida ya namba hivyo hakuna HASARA.

Ni kama tu kwenye biashara, Ukiwa na uhakika wa kupata mauzo makubwa, na mzunguko mkubwa Kwa kupunguza Bei kidogo, HAKIKA HASARA haitokuwepo Bali faida.

Mwigulu apumzishwe🙏
 
Hata Mimi Ile hotuba yake imenishangaza sana Yani tuna viongozi ambao maono Yao ni madogo sana

VAT ilitakiwa ishuke Hadi 10% angeona jinsi database ya walipa Kodi inavyoongezeka

Hivi ajiulizi maswali haya
1) Kwa Nini wafanya biashara wagumu kutoa risiti?

2) Kwanini wanaandika bei pungufu?

Mfanye biashara anatakiwa alipe Kodi huku Kwa hiyari sio Kwa kulazimishwa


Hi nchi mwenye PHD na alioishia darasa la saba wote sawa tu
 
Nch
Hata Mimi Ile hotuba yake imenishangaza sana Yani tuna viongozi ambao maono Yao ni madogo sana

VAT ilitakiwa ishuke Hadi 10% angeona jinsi database ya walipa Kodi inavyoongezeka

Hivi ajiulizi maswali haya
1) Kwa Nini wafanya biashara wagumu kutoa risiti?

2) Kwanini wanaandika bei pungufu?

Mfanye biashara anatakiwa alipe Kodi huku Kwa hiyari sio Kwa kulazimishwa


Hi nchi mwenye PHD na alioishia darasa la saba wote sawa tu
Nchi gani ya Afrika mashariki in VAT ya 10%
 
Tatizo siyo kushusha viwango, hatuna utamaduni wa kulipa kodi kama nchi Mkuu.

Unafikiri endapo wafanyakazi wangekuwa wanapewa mshahara wote then wao wakalipe kodi badala ya kukatwa Moja kwa moja kama sasa, unadhani wangapi wangepeleka yote?

Tusilee non compliance nchini
Hata Mimi Ile hotuba yake imenishangaza sana Yani tuna viongozi ambao maono Yao ni madogo sana

VAT ilitakiwa ishuke Hadi 10% angeona jinsi database ya walipa Kodi inavyoongezeka

Hivi ajiulizi maswali haya
1) Kwa Nini wafanya biashara wagumu kutoa risiti?

2) Kwanini wanaandika bei pungufu?

Mfanye biashara anatakiwa alipe Kodi huku Kwa hiyari sio Kwa kulazimishwa


Hi nchi mwenye PHD na alioishia darasa la saba wote sawa tu
 
Ukiwa siyo kiongozi ni rahisi sana kufikiri viongozi wanazingua kwenye haya mambo ya viwango vya kodi.

Rejea bwana Ruto, alivyokuwa anasema kabla ya kuwa Rais na sasa ni kina Ruto tofauti kabisa
Kwanini jitiada hazifanyiki kuongeza idadi ya walipa kodi?

Kuondoa utitiri wa Kodi ni kupata faida ya namba hivyo hakuna HASARA.

Ni kama tu kwenye biashara, Ukiwa na uhakika wa kupata mauzo makubwa, na mzunguko mkubwa Kwa kupunguza Bei kidogo, HAKIKA HASARA haitokuwepo Bali faida.

Mwigulu apumzishwe🙏
 
Ukiwa siyo kiongozi ni rahisi sana kufikiri viongozi wanazingua kwenye haya mambo ya viwango vya kodi.

Rejea bwana Ruto, alivyokuwa anasema kabla ya kuwa Rais na sasa ni kina Ruto tofauti kabisa
Haya mambo ni Rahisi sana,

Kama ambavyo Bei ikipunguzwa wateja huongezeka na kupata faida itokanayo na mzunguko na mauzo, Hivyo hivyo, kupunguza Kodi, Kuna uhusiano mkubwa na kuongeza mzunguko wa pesa na kuongeza mapato nk nk
 
Tatizo siyo kushusha viwango, hatuna utamaduni wa kulipa kodi kama nchi Mkuu.

Unafikiri endapo wafanyakazi wangekuwa wanapewa mshahara wote then wao wakalipe kodi badala ya kukatwa Moja kwa moja kama sasa, unadhani wangapi wangepeleka yote?

Tusilee non compliance nchini
Shida pia wezi wengi ndio maana watu wanaona bora kujifidia tu CAG kila siku analeta madudu ila hakuna anayeshughulikiwa.
 
Hmmm

Suala la kodi na kulipa kodi ni 'fumbo la imani'...

Lina 'Ushetani' zaidi na si umalaika...

Kimoja tu kinachoweza kuondoa 'Ushetani'--UCHUMI MAMA...

Kinachotokea Kenya hata Tanzania kina 'Kimvuli' chake...

Ikiwa tunaweza kutiana nuru, mageuzi bila 'machafuko' yanawezekana... Mageuzi hayafananii kuja na kiongozi yeyote aliyeko madarakani....

Ni wanachi wenyewe, mageuzi yenyewe...

KAMWE yeyote asidanganyike na visomo vya UCHUMI na mashauri ya Uchumi na Kodi kwa ustaarabu na ustawi wa kileo June 2024... Ni mambo ya kulishana 'Matango Pori'... Majibu ya Haki na Amani kupitia Riziki yanahitaji namna ya uchumi unaojiengua na mambo ya 'mikopo na ufadhili'...

HILI LINAWEZEKANA.... Hata kama ni safari ya miaka 25-50...


View: https://www.youtube.com/watch?v=JZor3JLWKLU&t=1480s

Je, huyo mzungu anayezungumzia kuhusu Kodi na Kumeza mitaji ya biashara, Tanzania, anaeleweka?

Kodi na 'kibano chake' vina uhusiano na kulemewa na madeni ya kitaifa na mataifa...

IPO NAMNA YA KULIAMUA HILI... Japo hii inahitaji sana UMMA na VIONGOZI washikane kwa moja--kusimama katika UONO NA UFIKIRIFU MIFUMO kwa umma wote...

Majibu ya 'Utangamano' wa jamii katika riziki, maendeleo na utu bora yapo akilini na mioyoni pa wengi ambao 'Wamejisahau'...
 
Hmmm

Suala la kodi na kulipa kodi ni 'fumbo la imani'...

Lina 'Ushetani' zaidi na si umalaika...

Kimoja tu kinachoweza kuondoa 'Ushetani'--UCHUMI MAMA...

Kinachotokea Kenya hata Tanzania kina 'Kimvuli' chake...

Ikiwa tunaweza kutiana nuru, mageuzi bila 'machafuko' yanawezekana... Mageuzi hayafananii kuja na kiongozi yeyote aliyeko madarakani....

Ni wanachi wenyewe, mageuzi yenyewe...

KAMWE yeyote asidanganyike na visomo vya UCHUMI na mashauri ya Uchumi na Kodi kwa ustaarabu na ustawi wa kileo June 2024... Ni mambo ya kulishana 'Matango Pori'... Majibu ya Haki na Amani kupitia Riziki yanahitaji namna ya uchumi unaojiengua na mambo ya 'mikopo na ufadhili'...

HILI LINAWEZEKANA.... Hata kama ni safari ya miaka 25-50...


View: https://www.youtube.com/watch?v=JZor3JLWKLU&t=1480s

Je, huyo mzungu anayezungumzia kuhusu Kodi na Kumeza mitaji ya biashara, Tanzania, anaeleweka?

Kodi ni kibano chake vina uhusiano na kulemewa na madeni ya kitaifa na mataifa...

IPO NAMNA YA KULIAMUA HILI... Japo hii inahitaji sana UMMA na VIONGOZI washikane kwa moja--kusimama katika UONO NA UFIKIRIFU MIFUMO kwa umma wote...

Majibu ya 'Utangamano' wa jamii katika riziki, maendeleo na utu bora yapo akilini na mioyoni pa wengi ambao 'Wamejisahau'...

Ngoja nirudie kusoma tena.
 
Salaam, Shalom!!

Sina ugomvi binafsi na Ndugu Mwigulu, ugomvi wangu ni juu ya Elimu ya Uchumi na maamuzi ya mtu huyu mwenye kibri ajiitaye msomi kuliko wasomi wengine.

HIZI HAPA FAIDA ZA KUPUNGUZA KODI HASA KWA WATU WA KIPATO CHA KATI NA WA KIPATO CHA CHINI.

1. BIASHARA ZILIZOKUFA ZITAFUFUKA.

Kinachoua biashara nyingi na kupunguza idadi ya walipa kodi ni utitiri wa Kodi, kupunguza Kodi, ni kuongeza idadi ya walipa kodi hivyo kimahesabu, kapu litatuna.

2. ITAONDOA NA KUPUNGUZA UKWEPAJI WA KODI.

Kodi himilivu haikimbiwi, na utalipwa Kwa Tabasamu tele usomi.

3. MAPATO NA MAKUSANYO YA KODI YATAONGEZEKA.

Biashara zikiongezeka, mapato yataongezeka sababu ya faida ya wingi.

4. UCHUMI UTAKUA MARA DUFU.

Wingi wa walipajidi lazima utakuza Uchumi.

5. MZUNGUKO WA FEDHA UTAKUA.

Ushiriki wa wengi kwenye Uchumi, utaleta manufaa makubwa.

HITIMISHO.

Aina ya Uchumi unayoenda nayo ndugu Mwigulu, utalipeleka Taifa pabaya, ni maombi yangu mamlaka za juu zikupumzishe Ili tupate changamoto mpya.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿. Amen.

Karibuni 🙏
Watawala ni waoga sana kwenye kugusa kodi wao hufikiriaxmatumizi na kuongeza kodi
 
Salaam, Shalom!!

Sina ugomvi binafsi na Ndugu Mwigulu, ugomvi wangu ni juu ya Elimu ya Uchumi na maamuzi ya mtu huyu mwenye kibri ajiitaye msomi kuliko wasomi wengine.

HIZI HAPA FAIDA ZA KUPUNGUZA KODI HASA KWA WATU WA KIPATO CHA KATI NA WA KIPATO CHA CHINI.

1. BIASHARA ZILIZOKUFA ZITAFUFUKA.

Kinachoua biashara nyingi na kupunguza idadi ya walipa kodi ni utitiri wa Kodi, kupunguza Kodi, ni kuongeza idadi ya walipa kodi hivyo kimahesabu, kapu litatuna.

2. ITAONDOA NA KUPUNGUZA UKWEPAJI WA KODI.

Kodi himilivu haikimbiwi, na utalipwa Kwa Tabasamu tele usomi.

3. MAPATO NA MAKUSANYO YA KODI YATAONGEZEKA.

Biashara zikiongezeka, mapato yataongezeka sababu ya faida ya wingi.

4. UCHUMI UTAKUA MARA DUFU.

Wingi wa walipajidi lazima utakuza Uchumi.

5. MZUNGUKO WA FEDHA UTAKUA.

Ushiriki wa wengi kwenye Uchumi, utaleta manufaa makubwa.

HITIMISHO.

Aina ya Uchumi unayoenda nayo ndugu Mwigulu, utalipeleka Taifa pabaya, ni maombi yangu mamlaka za juu zikupumzishe Ili tupate changamoto mpya.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿. Amen.

Karibuni 🙏
Toa upuuzi wako wewe,weka hapa calculated reversal itakayoonesha walipakodi watakaoongezeka Ili kuziba pengo.

Unajaribu kudanganya nani ikiwa USA kwenye Kodi ndogo Bado watu wanakwepa? Unadhani Kwa Ajili Yako mbovu Kuna mfanyabiashara anapenda kulipa Kodi?
 
Toa upuuzi wako wewe,weka hapa calculated reversal itakayoonesha walipakodi watakaoongezeka Ili kuziba pengo.

Unajaribu kudanganya nani ikiwa USA kwenye Kodi ndogo Bado watu wanakwepa? Unadhani Kwa Ajili Yako mbovu Kuna mfanyabiashara anapenda kulipa Kodi?
Kwamba uwiano wa idadi ya walipa kodi wa Marekani na Tanzania ni sawa!!
 
Kwamba uwiano wa idadi ya walipa kodi wa Marekani na Tanzania ni sawa!!
Wewe kichwa chako ni maji ,weka hapa hesabu zinazoonesha jinsi Serikali itaziba Hilo gap.

USA ni mfano tuu wa wenye Kodi ndogo na watu wanakwepa,hoja ya uwiano Inatoka wapi?

Ndio ujinga huu mumepanga kwenda kuongea eti mnachambua Bajeti ambayo imeshapitishwa? Mna akili kweli nyie Machadema? 😂😂

Mwisho Serikali itapunguza hiyo VAT hatua Kwa hatua pale tuu ikipata chanzo Cha kuziba hiyo gap ,probably next year wataounguza at least 1% na itakuwa hiyo mwaka haid mwaka kadiri uchumi unavyokua.

Unaweza kuziba Gap ya Bil.300 kwa.mwkaa mmja ila sio ya Bilioni 600.
 
Wewe kichwa chako ni maji ,weka hapa hesabu zinazoonesha jinsi Serikali itaziba Hilo gap.

USA ni mfano tuu wa wenye Kodi ndogo na watu wanakwepa,hoja ya uwiano Inatoka wapi?

Ndio ujinga huu mumepanga kwenda kuongea eti mnachambua Bajeti ambayo imeshapitishwa? Mna akili kweli nyie Machadema? 😂😂

Mwisho Serikali itapunguza hiyo VAT hatua Kwa hatua pale tuu ikipata chanzo Cha kuziba hiyo gap ,probably next year wataounguza at least 1% na itakuwa hiyo mwaka haid mwaka kadiri uchumi unavyokua.

Unaweza kuziba Gap ya Bil.300 kwa.mwkaa mmja ila sio ya Bilioni 600.
Ningekuwa mimi ningeshauri,

Kupata hicho kiasi kinachopungua Serikali iache kununua ma V8.

Kisha ningeshauri safari za nje ya Nchi zifutwe.

Unaweza kuniambia safari Moja ya kiongozi wetu kwenda nje ya Nchi na watu wake ni shilingi ngapi?

Tuanzie hapo.

Tuanzie kwanza kupunguza matumizi ya Serikali.
 
UCHUMI wa kileo unakichochezi cha 'Kuibiana' kwa ajili ya 'kujihami' ama 'kujitengenezea salama'--Haijalishi hili 'linakaushiwa' na wanajamii--iwe wanajamii wenyewe, viongozi, wasomi na jumuiya ya kimataifa...

Kwa hivyo aidha watu waanze kuzungumza kinaga ubaga jinsi ambavyo wao wenyewe wanaweza kukemea na kulaani rushwa; na wasisahau kujinyooshea kidole wao wenyewe: hali yao ya kushiriki kwenye uchumi unaozalisha rushwa bila ukomo -- wanajamii wanaoishi na huu uchumi wao wenyewe kwa kupenda ama kutokupenda; na kama vile 'wamepumbazika'-- hawajui kusema 'Jongoo atupwe na Mjiti wake'...

Wananchi wao wenyewe wanaridhia kuishi kinyonge kwa kukosa ujasiri--na hili likumbushe wananchi wasio jasiri huwa viongozi wasio wajasiri vile vile... Ujasiri wa viongozi wa jamii hii huwa ni viburi, kutishia na 'kuwapanga wananchi'. SI ujasiri wa 'UTU BORA' bali hulka za 'UDHALIMU'.

Wananchi hawapaswi 'kulala'--mambo bado, na mapambano kati ya 'Nuru ya Ufahamu' na 'Udhalimu' katika utu ni 'Jihadi'... Kila mtu yampasa na kupambana na nafsi yake ya kiza na aishinde, ndipo ataweza kuwa 'Simba'; siyo nyau wa kutishia 'wenye madaraka'...

Kenya viongozi wamesahau, wamepuuzia na 'wanachezea shilingi shimoni' na hali 'wamepata kusikia mapema juu ya dosari za ubepari'...

Ubepari ni Ushetani unaweza kujivikaa ngozi ya kondoo--kwa kuwa hili ndilo 'jina la mchezo wenyewe'...

Kwa hivyo mambo ya fedha, benki yanaasili ya 'kuvuruga akili' umma kwa ajili ya haya kudumu kuwepo... Huvutia Viongozi, wa umma na hata dini, wasomi na 'wadanganyika wengine wote'--kalamu na ulimwengu wa watu waliojikataa...

Adha za mitihani ya Kiroho, maadili na miiko kuhusu fedha ni fumbo la imani ndani ya mtu mmoja mmoja.

Ikiwa wengi mtihani huu unawatia 'Kishawishini' basi Fedha ni amana ya Ushetani, na kama ulimwengu wa fedha ni nguo basi Nguo ya Kuazima haistiri maungo ya 'Muungwana'...

Viongozi wanaongia madarakani pasipo kujimulika nafsi zao ili kubaini wanatafuta kuingia madarakano kwa ajili ya utumishi ama matumbo yao--kutafuta umaarufu na kuacha majina; hawa ni 'wadau wa himaya ya Shetani'...

Only fools rush in ... Husema kwa kiingereza wenye busara...

Wananchi wanasahau 'mazuri/mema' ya Mwalimu Nyerere: Wito kilijenga taifa la 'Simba' na siyo 'Kondoo wa Matoleo'... CHAMA CHA MAPINDUZI IMARA ni wananchi wenyewe kuwa ndiyo wenye nchi; kuwa mwenye nchi siyo 'mikato ya kulalamikia serikali kila kukicha'...

Kuwa mwenyenchi ni kusemezana na kusikilizana katika ukweli, maarifa na Ufahamu--siyo porojo, kusemana semana, kuombea 'mabaya' viongozi wadhalimu wafe ama wapinduliwe... Kwa kuwa haya yote pia ni 'Sarakasi za Shetani'...

SASA, maendeleo ni kujichagulia kupitia fanusi ya mwangaza bora katika UTU.

Mwalimu Kambarage Nyerere na Washirika walitengeneza njia kwa ajili shauri la ‘Mtu na Maendeleo’ kwa ule mwanzo wa Siasa za Ujamaa na Kujitegemea. Kwa kuwa Mwalimu, alikuwa ni mtu wa ‘Tumaini’; msaada wa nje na ndani, alikuwa nao kiroho na akili.

Ni muktadha wa Elimu 1.0, Elimu 2.0 na Elimu 3.0 ndiyo unaweza kutukadirishia vina sahihi vya tafsiri kwa misingi ya jitihada zake—dhamira, azma na maono. Kwa hivyo, ipo namna tunaweza kubaini hata yale ambayo watu, kwa muktadha wa Elimu 1.0 wanaweza kudhani ‘alikosea’--kuhusiana imani na misingi ya siasa za chama kimoja, ‘Azimio la Arusha’ na ‘Sera za siasa ya Ujamaa na kujitegemea’, Je, Mwalimu alikosea kwa hayo?

++++


View: https://www.youtube.com/watch?v=8IYbv0bW43w&list=LL&index=29&t=522s&pp=gAQBiAQB

++++

Tabasuri ya Elimu 2.0 inatupatia topografu za kutangamanisha mashauri kwa hata topolojia ufikirifu kuwa: labda Mwalimu Nyerere hakukosea hasa juu misingi ya tawala ya dola ya chama kimoja, na tena Azimio la Arusha lilipopelekea sera za Ujamaa na Kujitegemea na baadaye Katiba ya mwaka 1977; ila ilikuwa ni mgongano wa ‘kiufahamu, akili, upeo, utayari, mifumo’ kwenye nasibu ya kukadirisha ‘ushawishi’ katika akili ya umma—umma uliokatika mapambano kati ya ‘nuru’ na ‘giza’ vyenye kudhihiri kwa sura fundamentali ya ‘Ujinga, Umaskini na Maradhi’; sura ambayo pia ni inaweza kudumishwa kwa namna moja ama ingine na mifumo mibovu ya ‘ukoloni wa ndani’ ama/na ‘ukoloni mamboleo’ katika nchi-dola, ndani ya utamaduni globali.

Kwa muktadha wa Elimu 2.0, ipo topografu moja ya ubayanifu -- topolojia ufikirifu 2.0 kadiri kana kubaini kuwa: hata kukiri kwake kidhamira kuhusu ‘makosa’ ndiko kunaleta/kulileta fasaha ya yeye kupambanua na kujipambanua na adha ya haya yote ilivyo ni ‘Nia thabiti’ kwa fasaha ya ‘Vitendo/Matendo’ na ‘Jiometria ya utendekavyo maamuzi jamii’. Kwa kuwa kupitia jiometria ya utendekavyo maamuzi jamii, rizayati juu ya ‘utashi na maendeleo’ ndiyo hukadirika sura—ukirifu wake Mwalimu kwa kusema maendeleo si majengo na kazi za utumwa; unaweza kumpelekea punda penye maji, lakini hauwezi kumlazimisha yeye kunywa. Kiufundi, migongano ya kijamii inaweza kusuluhishwa kwa ‘fanusi’ ya ‘alama za umoja’, ambavyo hata Elimu 1.0 hubayanisha kuhusu jamii na mashauri yenye kuchanganua habari za fanusi-jamii, nadharia migongano na muingiliano wa alama oanifu.

Utashi na Maendeleo ni shauri la Wananchi wenyewe, ikiwa wanalo jukwaa sahihi kwa ajili ya kuwakilisha matamanio yao na uzalendo wao kwa nchi-dola na mustakabali wake. Mwalimu Kambarage alipozungumza ya Maendeleo kuja kwa misingi ya ‘Elimu’ na ‘Ufanyaji-Maamuzi’ alikuwa analeta ‘shauri-mbegu’ kwa jiometria ya utendekavyo maamuzi jamii. Topolojia ya haya ndiyo inatutaka tusawiri dhana za ‘matamanio’ , ‘uzalendo’, ‘Utashi’ na ‘Maendeleo’ kulingana na wanajamii/wananchi na muktadha wa tawala na ustawi.

MATAMANIO-UZALENDO-UTASHI-MAENDELEO

Kwa zana ya fremu-kazi ya Uono na Ufikirifu Mifumo, Elimu 2.0 inatupatia topografu na topolojia kwa tabasuri ya ‘matamanio’; kwamba ni kitu tunachoweza kukikadirisha kwa ‘vekta ya Kujisikia’ na ‘vekta ya Ushawishi’. Jamii ya watu ni mjumuisho ya watu wenye ‘mawazo’, ‘hisia’ na ‘kiu/hamu’ viwezavyo kukadirisha ‘Vekta Muundo’. Namna hii, kwa mfano, ndiyo tunaweza kupata dhana na tafsiri ya ‘Taifa’ ilivyo ni ‘Taasisi’; muktadha wa wanajamii katika taifa hukadirika topografu ya ‘Nchi-dola’ kama ‘Muundo-tawala dunia’ kwa wakati. Kwa topografu ya nchi ya Tanzania, namna hii yawa basi ndiyo msingi wa fasili zilizopo katika Utangulizi-- ‘Sehemu ya Kwanza’ ya >Katiba< kuhusu ‘Jamhuri ya Muungano ya Tanzania.’


Kwa zana ya fremu-kazi ya Uono na Ufikirifu Mifumo, Katiba ni chombo kinachokadirisha ‘vekta ya Mwongozo’. Kwa kuwa kwake hivi, ni ‘vekta Nia’ na ‘Vekta Vitendo’ hukadirisha ‘Sura na Mienendo wa jamii ilivyo ni Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania; ambavyo ‘Nia’ na ‘Vitendo’ katika kuukadirisha sura na Mienendo ya JMT ndiyo hutajwa katika Utangulizi--‘Sehemu ya Pili’ ya Katiba yetu:


Kwa zana ya fremu-kazi ya Uono na Ufikirifu Mifumo, katiba ni chombo kinachotupatia fremu-kazi ya ‘vekta Mfumo’--mifumo Nchi-dola; na kuwa kwake hivi ndiyo tunapata mwongozo kwa ‘vekta Ushawishi’ na ‘Vekta Nia’. Kwamba viwili hivi ndivyo vinakadirisha ‘mipaka ya kiutendaji’ na ‘Wajibu wa mtu/chombo’ katika sura ya tawala na stawi ya nchi-dola. Ushawishi hukadirisha ‘mahusiano ya kinguvu/uweza’ ambavyo adili ama kusudi la mtu/chombo litajipambanua ndani ya muundo-jamii, katika ustawi wa wanajamii pasipo ‘kukera’ ama ‘shurti’, fanusi ya ‘Kujisikia’ katika wanajamii. Na basi ‘Nia’ ya mtu/chombo ni fanusi ya ‘Mwongozo’ katika wajibu na vitendo—jinsi ambavyo mtu ama chombo, kifuatishavyo taratibu zinazokubalika na kurasimishwa na jamii nzima kama taifa lenye serikali na vyombo vya sheria.

Haya, kimsingi, ndiyo hufanya na kukadirisha shauri la ‘Ukuu wa Katiba’ ilivyo ni Utaasisi wa Nchi-dola kwa dhana za Mihimili Mitatu ya Dola—mihimili ilivyo ni vyombo vya kiustawi, maendeleo na utendaji; >‘Ukuu wa Katiba’ambavyo huweza kuwapa wananchi mamlaka ya kufukuzia mbali ‘serikali’ ikiwa haitendi ipasavyo na ‘matamanio’ ya umma kwa misingi ya ‘haki na usawa’ ambayo wamejiamulia ama kuridhia wenyewe<… Kwenye katiba yetu haya hukadirishwa na tamko lililo ni msingi wa Katiba, katika ‘Utangulizi’, na kisha hubayanishwa sehemu ya muktadha wake kwenye Utangulizi-- ‘Sehemu ya Tatu’ ilivyo ni maelekezo/mashauri ya mastahikio haki wakati wowote na mazingira yote:-


Kwa tasaburi juu ya maelekezo ya misingi ya Katiba, Elimu 2.0 inatupatia topografu rahisi ya ili kubaini topolojia ya ufikirifu kwa miktadha wa ‘matamanio’, ‘uzalendo’, ‘Utashi’ na ‘Maendeleo’; namna ambavyo hii inasadifiwa kwa mapana jumuishi ya kimashauri juu ya ‘mtu/mtanzania na ustawi’. Kwamba haya yote, katika eneo linalotambulika kama Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, hukadirisha sura na mielekeo ya jamii/taifa yenye kuakisi tunu kuu zilizo ni ‘uhuru, haki, udugu na amani’.

Jambo hili kuifanya katiba kuwa ni msingi wa sheria zote, mahusiano yote, kujaliana na kutosumbuana ndani ya mipaka ya nchi. Lakini kumbe pia, namna hiyo hiyo kuhakikisha usumbufu wa namna yoyote ulioni nasibu ya kutokea nje ya mipaka ya nchi, wanachi wote wanasimama kama nguvu moja kulinda, kutetea na kudhihiri usovereini wa nchi-dola. Kwamba, serikali inawakilisha wanachi na basi kiuhalisia wa mambo, wenye mamlaka kamili ya nchi ni wanachi wenyewe ama/na wawakilishi wao—wawakilishi, wakati hata wakati, ni watu wenye dhamana za utumishi wa umma kupitia mifumo.

Kiuono na ufikirifu mifumo, haya ndiyo yanaleta wajibu wa wanajamii wote kuzifahamu sheria za nchi, kuwa watiifu kwa vyombo na mamlaka za nchi kwa kuwa mwongozo wa Ujamhuri ni katiba ya watu wenyewe ilivyo ni mkataba kati ya watawala na watawaliwa. Hili ndilo kwa nini hulazimu kipengele cha kuilinda na kuitetea katiba ya nchi ni kitovu kikuu cha kiapo chochote cha utumishi/uwakilishi katika chombo cha mamlaka kwa niaba ya umma.

Elimu 2.0 ndiyo inaweza kuwapatia wanajamii ‘vina sahihi vya tafsiri’ kufaa muktadha wa maingiliano ya utendaji, haki na ustawi wa jamii. Uzalendo ni kuwa na imani na Ujamhuri kupitia misingi ya katiba. Imani ni fanusi ya ‘Nia’ ambavyo kukadirishwa na Mizania ya ‘Kujisikia’ na ‘Vina vya tafsiri’ katika mwanajamii kwa wakati. Katika jamhuri, kuridhika ama kutoridhika kwa mwanajamii hutafsirika kivitendo kwa ushikiriki wake kwenye ‘siasa za nchi’; na hasa hasa katika shughuli na utaasisi wa uchaguzi/upigaji kura.

Utashi ni zao la ‘Kujitambua’, ncha OX katika fremu-kazi ya uono na ufikirifu mifumo; ambavyo huu huleta dhamira ya ‘uzalendo’ kwa yule mwenye kujua ilivyobora. Kwa topolojia ya kukagua na kuyaagua matatu, Nia-Kujisikia-Vina vya tafsiri, muktadha wa uzalendo wa mtu unaweza kubayanishwa. Uzalendo huleta ‘uwajibikaji sahihi’ katika mifumo ya tawala na ustawi wa nchi-taifa. Uwajibikaji usiyosahihi, kiufundi ni ‘Usaliti kwa Umma’; jambo ambalo huhitaji wanajamii wenyewe wawe macho sana na mifumo yao ya tawala, na wawe na Elimu 2.0 pia rizayati ya Elimu 3.0. Kwa kuwa uwajibikaji usiyosahihi una asili ya mawili: ‘kutokujua ilivyobora’ au ‘mmomonyoko wa maadili ya utumishi/dhamana ya cheo’.

Kutokujua ilivyobora, ni topografu inayobeba topolojia ya ufikirifu kuhusiana na hadhi ya aidha mtu kutokuwa na kumbukumbu ama uzoefu kiutendaji, hivyo kuwa na uwezekano wa kufanya makosa ya namna moja ama ingine bila kukusudia. Dawa ya kutokujua ilivyobora ni NIA na bidii ya kutafuta kujua ilivyobora—kutafuta Elimu na Maarifa zaidi. Ni kwa kusudi hili, mkazo wa Elimu, kujielimisha pia Haki ya kupata elimu vinanafasi ya kipekee hata kwenye maelekezo ya Katiba. Elimu ndiyo huleta ‘Kujitambua’--hasa hasa ikiwa na misingi fasaha na muafaka kwa Elimu 1.0, Elimu 2.0, na Elimu 3.0. Kiufundi, elimu ya madarasa pekee kwa mfano, si ufunguo kamili wa kumuwezesha mwanajamii kujitambua na kutekeleza ‘yote’ ya wajibu wake kwa fasaha na ukamilifu. Elimu rasmi na isiyo rasmi hutengeneza mazingira ya mtu kupata kujitambua na kuwajibika kwa kadiri ya yale aliyona uzoefu nayo. Kwenye vyombo vya utumishi na shughuli, kutokujua ilivyobora ndiyo hukabiliwa kwa mafunzo ya wakati hata wakati na ‘semina elekezi’--pia ujuzi wa tathmini za kiuendaji.

Mmomonyoko wa maadili ya utumishi/dhamana ya cheo, ni topografu inayobeba topolojia ya ufikirifu kuhusiana na hadhi ya ‘kushawishika vibaya’ na basi kujinasibu na makusudi yenye kuharibika kiutendaji na wajibu --kwenye nafasi ya mtu katika jamii. Ushawishi mbovu katika jamii ni ‘mbegu ya uovu’—uovu ni jambo lenye kuleta madhara/athari hasi katika sura na hadhi ya msimamo ama maendeleo ya jamii. Hili litukumbushe, wema au ubaya, ni tafsiri zetu sisi wanadamu; na huwa hivi kwa kuwa jambo jema hutuletea wanajamii ‘kujisikia vizuri/vema/salama’ na wakati jambo baya/bovu hutuletea ‘kujisikia ugonjwa/maradhi/kero/kadhia’. Kwa hivyo ili kuzuia yale kuweza kupelekea athari hasi kijamii, wanajamii hutaasisi vyombo kama ‘Bunge’ na ‘Serikali’ ili kuzitengeneza sheria za nchi, na tena kuzitekeleza. Kuwa kwamba, yale mambo yaliyo ‘rafiki’ kwa ustawi wa umma yanapewa ‘uhai’, na wakati yale ‘yasiyo rafiki’ yanathibitiwa/kutokomezwa ama na kuzuiwa yasijiri katika muktadha wa ‘Matukio-Wakati-Machaguo ya Kitaasisi-Jamii’. Kiufundi, Sura na Mienendo ya Jamii, iwe hasi ama chanya, ni fanusi ya ‘maadili’; kwa kuwa mwenye kujua ilivyobora, hutenda ilivyobora…

Kwa hivyo, kiuono na ufikirifu mifumo, ‘Haki na Wajibu’ hutengenezewa ‘vina vya tafsiri’ kwenye katiba, na kumbe utendaji wa mwanadamu unahitaji muktadha fasaha wa matendo ili kukadirisha ‘utendaji kwa mizania’; chombo cha kutafsiri, ‘sura ama mwenendo wa jambo la jamii’—ikiwa unakaa ama kwenda kwa ‘sura rafiki’ ama ‘sura isiyo rafiki’ dhidi ya ‘tamko la Ujamhuri’, kwa wakati, ndiyo ‘Mahakama’.

Kwa hivi, dhana ya ‘utekelezaji wa haki’ ni fanusi ya kukinga maadili ya taifa kwa ncha moja; na ncha nyingine ni kulinda nasibu ya ‘utashi juu ya ustawi mwema’ wa kila mmoja wa mwanajamii. Hili ndilo huleta busara ya kila mmoja ni sawa mbele ya sheria; maamuzi ya Mahakama ni ya mwisho japo uhalali wa sheria hufanywa na uwakilishi wa watu kupitia shughuli za Bunge la Nchi.

Wanachi kupitia siasa za Demokrasia ya Kiuwakilishi wanaouwezo wa kujitungia sheria, kuzibadilisha ama hata pia kuzifuta kwa matakwa, maslahi ama/na mustakabali wa nchi yao. Uwakilishi wa watu ndiyo hufanyika kwa shughuli za siasa za nchi; ugombeaji nafasi za madaraka na uwakilishi kupitia uchaguzi, kushiriki katika uchaguzi na ushikaji wa hatamu za uongozi kwa vipindi maalum. Haya ndiyo hukadirsha haki ya kuchagua au kuchaguliwa, kuwajibika katika mifumo ya ustawi na maendeleo, kwa vigezo na masharti yaliyoainishwa katika Katiba—msingi wa ujamhuri kuwa ni mkataba kati ya watawala na watawaliwa kwa ridhaa ya wananchi wenyewe.

Kiuono na ufikirifu mifumo, Utashi juu ya ustawi mwema kwa jamii ni ‘vachu/siha njema’ ya raia mwema. Kwenye fremu-kazi ya uono na ufikirifu mifumo hili ndilo huja na metafizikia ya ‘vinasaba mwili’ ilivyo ni ‘utu’. Na basi ‘Utu’ ni mwendelezo wa fizikia ya mwili wa mwanadamu wenye miguu miwili, mikono miwili, kiwiliwili na kichwa chenye milango tano ya fahamu na vipawa vya akili. Haya kwenye katiba, ndiyo msingi wa kustahikia haki kwa ajili ya ‘usawa’, ‘kuishi’, ‘kufanyakazi’, na ‘uhuru wa mawazo’.

Utendaji na wajibu wa mtu katika jamii na Jamhuri, ndiyo nguzo ya ustawi na maendeleo. Yale matendo yote yaendayo kinyume na dhamira hii ni ‘madhambi’ yanayoweza kutafsiriwa hivi mbele ya vyombo vya sheria; japo kimsingi mtu ‘hana hatia’ hadi pale ‘athibitishwe makosa pasi na chembe ya mashaka’ mbele ya Mahakama.

Kiuono na ufikirifu mifumo, utendaji na wajibu wa chombo cha umma katika jamii na Jamhuri, ndiyo dhamana kwa shughuli za kulinda na kudumisha nguzo ya ustawi na maendeleo ya mtu/mwanajamii/wanajamii. Haya, katika katiba yetu ya JMT, ndiyo hukadirisha mwongozo wa ‘wajibu wa jamii’, ‘masharti ya jumla’ na ‘madaraka ya pekee ya Mamlaka ya nchi’. Haya yanatukumbusha kuzingatia umhimu wa utamaduni kuweka madarakani ile serikali ya kuundwa na taasisi imara ya wawakilishi/watendaji wenye uwezo, umakini, na upeo wa kuyabayanisha maendeleo na ustawi wa umma. Kwa katiba yetu ya sasa, hili ndilo hutajwa kuwa ni siasa za mfumo wa vyama vingi.

Sasa, hapo awali JMT ilikuwa chini ya siasa za mfumo wa ‘Chama Kimoja’; kwa namna hii bado katiba iliyopo ‘inafaa zaidi’ ule umma na siasa za mfumo wa chama kimoja. Hili linaweza kufanyiwa kisomo ama rejea, kubaini namna gani ule ‘utayari wa marekebisho ya katiba kufaa siasa za vyama vingi’ ulitokea katika historia ya nchi.

Kwa hivyo, uono na ufikirifu mifumo, unaweza kutusaidia kubaini ‘hekima yeyote’ katika kutafuta kuelewa ‘kiu ya mabadiliko’ ya katiba katika jamii yetu ikiwa ‘Utashi’ umeongezeka. ‘Rasimu ya Katiba’ iliyotokana na mchakato uliopita wa Bunge la Katiba(2012) unamaboresho yenye kuakisi ‘matakwa mapya kimifumo ya nchi’; topografu za kipekee ni pamoja kujitokeza upya kwa yale maudhui yaliyoipa hadhi na heshima kipekee chama tawala, Chama cha Mapinduzi, mambo kama vile ‘mamlaka ya wanachi’, ‘utu’,’udugu’, ‘ukombozi na umoja wa Bara la Afrika’ n.k.--maudhui haya yanakuwa sehemu ya ‘heshima ya kihistoria na mustabali wa nchi’ kikatiba. Serikali na vyombo vyake kufafanuliwa mwongozo kwa sura na pia utendaji wake mpya kwa ajili ya Maendeleo na Ustawi wa umma; Vivyo hivyo, malengo ya maendeleo na ustawi yanabayanishwa kisiasa, kiuchumi, kijamii, kiutamaduni na kimazingira; ambavyo pia muktadha wenye kukazia ‘Utafiti, Dira ya Maendeleo, Mipango na Utekelezaji wa Malengo ya Taifa’ unakuwepo kikatiba.

Rasimu hii ya Katiba(2012), kimaudhui ya uchumi na maendeleo na msuko wake, umeepa dhana za ‘siasa za ujamaa na kujitegemea’ kwa mashauri mbadala juu ‘watu/kazi/maendeleo/ustawi’; kama vile: “kuimarisha na kujenga uwezo wa vyama vya ushirika ili viwe vyombo madhubuti vya kueneza maarifa, mbinu na zana bora za kisasa katika kilimo, ufugaji na uvuvi ili kuongeza tija katika uzalishaji, kutoa mikopo, kutafuta na kuendeleza masoko ya mazao yao;” pia “kuhamasisha uwekezaji wa pamoja baina ya raia na wasio raia katika miundombinu ya uchumi, uvunaji wa rasilimali na maliasili za Taifa;”. Japo kiufundi, maendeleo ya sayansi, tekinolojia na ubunifu si tu yanaweza kubadilisha sura na mienendo ya watu/kazi/maendeleo/ustawi lakini pia yanaweza kubadili dhana za ‘fedha na mikopo’ kwenye ushirika; ama ‘mitaji ya pamoja kiuwekezaji’ kwenye shughuli za kibiashara. Hili la asili ya ‘Mawezekano ya Mapinduzi ya Kifikra katika mbinu za uzalishaji mali’ ndilo rasimu hii imeepa--imeepa misimamo jasiri juu ya ‘kupambana na ubepari/unyonyaji na ubeberu’ ndani na nje ya nchi; hata kama misimamo hii inawezekana--inawezekana pasipo ulazima wa tashtiti dhidi ya ubepari wenyewe, azma ya kujikweza kiuchumi na basi pia kudindiana kimifumo katika mseto wa jamii ya ‘wanaojua isivyobora’ na ‘wanaojua ilivyobora’.

Topografu ya kumulika kauli: “utajiri wa Taifa unaendelezwa, unahifadhiwa na kutumika kwa manufaa ya wananchi wote na kuzuia unyonyaji wa aina yoyote;’’ kwa mujibu wa rasimu hii ya katiba(2012) ni ‘utata’ kwa yote mawili—dhana za ‘utajiri/mali wa taifa’ na ‘unyonyaji’; kwa kuwa hata hivi leo na kwa katiba tuliyonayo kwa mfano, ‘unyonyaji’ haujaweza ‘kuzuiwa’. Biashara huria leo hii, 2023, kwa mujibu wa sura ya uliberali wa kileo zinaasili ya ulanguzi na pia unyonyaji wakati wote!

Uono na ufikirifu mifumo unatusaidia kubaini topografu ya kwamba ‘katiba’ si kisomo ama ‘ahadi za ushawishi kwa ajili ya kugombea nafasi ya uchaguzi’, mfano wa kuahidi ‘kuwajaza mapesa wananchi’... Japo ndiyo katiba yapasa kuwa ni ‘shauri muafaka’ miongoni mwa wanajamii wenyekujua ilivyobora. ‘Katiba kamilifu’, kiufundi ni muhari kuwepo, kwa kuwa wanajamii wanatofautiana upeo na karama za akili juu ya maisha na mifumo pamoja na vina vya tafsiri zake, basi hata utaasisi ma-mabadilisho ya katiba wakati mmoja hata mwingine bado ni kompromaizi ijayo na ‘maridhiano’ ya kijamii.

Haya yatulete kwenye Shauri la Mwalimu Nyerere kuhusu kusudi la kuanzishwa kwa Chama cha Mapinduzi, 1977. Kiufundi mengi ambayo kwenye Katiba yetu ya sasa(1977) yanayoweza kubainishwa kwamba ni ‘mapungufu’ yalikusudiwa kuja kukamilishwa na ‘shughuli’ ya Chama cha Mapinduzi. Hiki ni chombo kilichokusudiwa kuitengeneza njia kwa uhuru wa ndani wa wananchi, maendeleo ya watu na vitu, pia daraja na jukwaa madhubuti kati ya wananchi na serikali yao. Azma na dhamira ya kukitangaza Chama hiki kama ni ‘mwanzo mpya’ wa demokrasia ya siasa za ujamaa na kujitegemea kuliitangulia hata kule kutoka rasmi kwa Katiba ya nchi ya mwaka 1977.

Elimu 2.0 inatupatia topografu na topolojia za ufikirifu wenye kujua ilivyobora juu ya Utaasisi wa Chama cha Mapinduzi; rizayati ya Elimu 3.0 ndiyo inakamilisha ‘Topolojia muafaka kwa Ontolojia na Metafizikia ya Kuundwa na Kuanzishwa kwa Chama hichi --kilicho ni chombo kwa ajili ya utekelezaji wa siasa za uwakilishi katika Jamhuri ya watu wa Tanzania. Kwa kutumia fremu-kazi ya uono na ufikirifu mifumo, tunaweza kuichambua katiba ya Chama cha Mapinduzi ili kubaini elementi muhimu za kukadirisha ‘Sura na Mwenendo wa Chama cha Mapinduzi’.

Katika fraktali ya ‘Mpango Mzima’, Chama cha Mapinduzi, kilianzishwa kwa ‘vekta Dhamira’ ya ‘siasa za ukombozi’ zenye chimbuko la ‘vekta Vina vya Tafsiri’ kama vilivyobayanishwa na “Azimio la Mkutano Mkuu wa Taifa wa pamoja wa TANU na ASP”; mnamo tarehe 21 Januari, 1977 mjini Dar es Salaam, chini ya uongozi wa pamoja wa Mwalimu Julius K. Nyerere Rais wa TANU na Ndugu Aboud Jumbe, Rais wa ASP. Maazimio yalifanyika kutokana na muktadha wa uono na ufikirifu mifumo juu ‘Sura ya Nchi na Tawala ya Tanzania’ ambavyo vilipelekea msimamo wa matatu(3); Mosi, kuvivunja vyama vya TANU na ASP ili kuunda chama kipya kilicho ni ‘Chama cha Mpinduzi’; Pili, Kuweka ‘Kumbukumbu-Uzoefu sawa’ juu ya mwisho vyama hivi viwili na hapo hapo kuwa ni mwanzo wa Chama cha Mapinduzi. Kwamba huku hakukuja ‘kutokana na kushindwa kimajukumu’ bali ‘ni jitihada ya kupiga mbele hatua mpya’ ya jambo lile lile la msingi: Mapambano ya Ukombozi wa Taifa letu na wa Bara la Afrika; na Tatu, Kuyaendeleza Mapinduzi ya Kijamaa na matakwa ya kwamba: “Chama cha Mapinduzi kiwe ni chombo madhubuti katika muundo wake na hasa katika fikra zake na vitendo vyake vya kimapinduzi vya kufutilia mbali aina zote za unyonyaji nchini, na kupambana na jaribio lolote lile la mtu kumuonea mtu au shirika au chombo cha nchi kuonea na kudhalilisha wananchi, kudhoofisha uchumi au kuzorotesha maendeleo ya Taifa”.

Katika fraktali ya ‘Uongozeaji Njia/Mapito’, Chama cha Mapinduzi kinasibishwa na ‘Vekta Nia’, adhimu, ilivyo ni ‘Imani ya Chama’; ambavyo ni matatu katika moja; Mosi, “Binadamu wote ni sawa”; Pili, “Kila mtu anastahili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake”; na Tatu, “Ujamaa na Kujitegemea ndiyo njia pekee ya kujenga jamii ya watu walio sawa na huru”. Haya ndiyo yanasadifiwa katika ‘vekta Mwongozo’ kama kanuni na taratibu kumi nne(14) za utekelezaji zilizotungwa kwa ajili ya kuongoza shughuli mbalimbali za Chama cha Mapinduzi. Na basi matendo ya Chama kwa kadri ya ‘vekta Vitendo’ ndiyo yale makusudi kumi na tisa(19) yenye kukadirisha Malengo/Shabaha za Chama cha Mapinduzi.

Katika fraktali ya ‘Utengeneaji’, Chama cha Mapinduzi kina ‘vekta muundo’ ilivyo ni muundo wa ‘Wanachama na Viongozi’ katika ngazi na safu mbalimbali za utendaji; wenye majukwaa ya mashauriano, maamuzi, utekelezaji wa maagizo ya Kichama. Namna hiyo hiyo, hadhi ya utaasisi wa Chama cha Mapinduzi hukadirishwa na ‘vekta Ushawishi’ ilivyo ni wajibu wa kila mwanachama ndani ya uhai wa Chama; uenezi wa itikadi ya Chama ni ‘maneno na matendo’—mtu/mwanachama kuwa mfano halisi wa maneno na matendo yake kwa kuielewa na kuitekeleza siasa ya Ujamaa na Kujitegemea; hili ndilo linakadirisha ‘vekta Kujisikia’ miongoni mwa wanataasisi wa Chama cha Mapinduzi.

Katika fraktali ya ‘Uthibiti Sura na Mienendo ya Chama’, Chama cha Mapinduzi kina ‘vekta Mfumo’ ilivyo ni shughuli ya ‘kushika hatamu’ kadiri ya ilivyopambanuliwa ki-’Dhamira-Mwongozo’ na ‘Vina vya tafsiri-Kujisikia|Hamasa ya Chama’ kuelezwa dhahiri katika azimio la kuanzishwa kwake:

Chama tunachokiunda tunataka kiwe chombo madhubuti katika muundo wake na hasa katika fikra zake na vitendo vyake vya kimapinduzi vya kufutilia mbali aina zote za unyonyaji nchini, na kupambana na jaribio lolote lile la mtu kumuonea mtu au shirika au chombo cha nchi kuonea na kudhalilisha wananchi, kudhoofisha uchumi au kuzorotesha maendeleo ya Taifa;

Chama tunachokiunda tunataka kishike barabara hatamu za uongozi wa shughuli zote za umma kwa maslahi ya Wafanyakazi na Wakulima wa Taifa letu;

Chama tunachokiunda tunataka kiwe kiungo kati ya Wanamapinduzi wa Tanzania na Wanamapinduzi wenzetu kokote waliko.”


SASA, Ni Uono na Ufikirifu Mifumo wenye ‘Njia’ ya katika sura na jitihada za kujisahihisa na kitaasisi na mifumo kwa taifa letu la Tanzania. Kuzingatia nasaha na ushauri wa Mwalimu Kambarage Nyerere, siku ya ufunguzi wa Chama cha Mapinduzi, 1977, kuanza kwa chama ilikuwa ni mwanzo wa ‘Huduma’; kwamba watu wamadaraka ni watu wa dhamana ya uwakilishi kwa makusudi ya ustawi na maendeleo wenye kuazimia ‘Uhuru wa Ndani Hasa wa Nchi’ wa nchi sovereini ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ikiwa watu wenye dhamana wataonekana hawafai mbele ya macho ya umma wa Watanzania, basi ni wanachi wenyewe wanaweza kuwaondoa hawa madarakani ili kuwaweka wale wenye ‘Nia Njema’ na ‘Moyo wa Utumishi’ wa Umma.

Siasa za Ujamaa na Kujitegemea, kiuno na ufikirifu mifumo hazitengemai katika jamii kwa sababu za kuwepo kwa ‘Chama’ ama/na ‘Serikali’ yenye kujitangaza kuwa ni ‘Taifa la kimapinduzi ya Kijamaa’. Kwa Elimu 2.0 yenye rizayati ya Elimu 3.0; ‘Ujamaa’ wa kweli katika sura na mwenendo wa jamii ni mithili ya topografu ya ‘Metamofosia’ ya ‘Kiumbe Hai’. Topolojia ya ufikirifu 2.0 kwa metamofosia ndiyo kuakisi sura na mienendo ya uhai wa kiumbe ambacho, wakati mmoja, chawa hivi na mwingine kuwa vile; kwa mfano, Yai kuangua na kuwa lava; lava kukomaa na kuwa Buu; Buu; Buu kungamala hadi ‘Kipepeo’ kujitokeza kutokea kwenye gamba la Buu… Kwa taifa letu la Tanzania, Siasa za Ujamaa na Kujitegemea ni fanusi ya maisha na safari ya ‘Kipepeo’. Ujamhuri ulitaamulika, ni fahari Kipepeo iliyo ni ‘vinasaba metafanusi’ kwa ‘furaha’, ‘Uhuru’, ‘Upekee’ na ‘Uinosenti wa Utu’.

Jamii mabadilikoni, katika jicho la watu wa mwangaza, ni sawa na bustani. Watunza bustani ni wananchi wenyewe, lakini chini ya uangalizi wa ‘Malaika’; Jamii iliyotaamulika—iliyofanikiwa kuvuka kipindi cha Tumaini, hufikia fahari ya kuifahamu ‘lugha ya wanadamu na malaika’. Kwa hivi, kupitia fremu-kazi ya uono na ufikirifu mifumo mtu anaweza kufanya kisomo kwa jamii yoyote—iwe Duniani ama kwenye Sayari nyingine; na kuweza ‘kutafsiri’ elementi za ‘Sura na Mienendo’ ya jamii. Ikiwa ujuzi wa hili unakuwa na wananchi, basi uwezo unafanyika kwa wao kuwa na ‘hekima na busara’ juu ya ‘bustani zao’.

Kiufundi, ‘siasa safi’ ni muhari kuwepo ‘wakati wote’—jamii kuwa pamoja ni shughuli na harakati za kujenga muafaka juu ya sura na mwendendo wa jamii’. ‘Uongozi Bora’ si jambo la madaraka kwa kujitenga katika jamii. Kwa kuwa kiuno na ufikirifu mifumo, uongozi ni kufanya maamuzi na kuongozea njia katika kudhihiri mabadiliko ya sura na mwenendo wa jamii. Ikiwa kwa mfano, tunakwenda kufanya Elimu 2.0 na Elimu 3.0 ni fikio la wengi miongoni mwa wanajamii; sura za kisiasa, uchumi, usoshali na utamaduni zinakwenda kubadilika katika taifa na nchi. Metamofosia katika ‘Kujisikia’ ndiyo itakwenda kufanya mawezekano ya ‘panga/pangua’ ya taasisi na mifumo ya jamii. Vitu vingi vitakwenda kubadilika -- tunayoyafahamu na kuyafuatisha kivitendo leo kama ‘Sheria’ yatakoma, ama kubadilika kabisa. Hili litukumbushe, kuna hata mambo ambayo leo hii tunaweza kujinasibu nayo ‘kimkakati ama/na mikataba ya kimataifa’ kutokana kutokujua kwetu ilivyobora, kesho si tu mambo yatabatilishwa kwa raha—yanaweza kubatilishwa kwa uchungu. Uchungu huo kuwa ni ‘Ubatizo’ wa ‘Maji ama/na Moto’. Kwa hivyo, ni raha|huzuni ‘huleta watu pamoja’ na maumivu|Uchungu ‘husambaratisha watu’ -- ilivyo ni ‘metamofosia’ za kimaendeleo na ustawi. Hili kuwa basi, fanusi ‘Malaika’ ni usentienti wa ‘akili-hisia-imosha’ na ‘akili-fikara adilifu-intuji’. Hili leo hii, kwa misingi ya Elimu 1.0, tunalifahamu kwa ‘juu juu’ kama mashauri ya ‘Amani’ ama/na ‘Mshikamano’ wa kinchi. Kufikiri hili labda linaweza kuwa mikononi mwa vyombo vya nchi-dola, kama maarifa ama/ujuzi wa kukusanya taarifa za kisogoni kwa ajili ya ‘kudumisha utawala’ --kwa afisi kuu ya tawala na mikakati ya kutumia ‘mhimili wa nne’ wa nchi-dola ili ‘kuchezea akili na hisia’ za ‘umma usiyojua ilivyobora’...

Makusudi yenye kuharibika katika Mtu, katika ‘UTU’, daima ndiyo kifunguzi cha ‘Nia ovu’ katika muktadha wa maendeleo na ustawi wa umma. Wanadamu wote tu ni wepesi wa kujichanganya kwenye ‘nia ovu’--kwa kuingia katika ‘vishawishi’. Katika ulimwengu wa Uhuru, utashi ni ‘kujichagulia fungu’ la kupata ama kukosa kilichobora kulingana na upeo wa akili na mazingira rafiki/yasiyo rafiki kwa maendeleo na ustawi binafsi. Mwalimu Kambarage Nyerere alivyoasa wananchi wawe macho na chama chao, chama cha wananchi, Chama cha Mapinduzi, alikuwa katika ‘Nia njema’ ya kulijenga taifa la watu ‘wanyoofu’ wa ‘waadilifu’. Unyoofu na uadilifu ndiyo nguzo ya ‘Chama’ na ‘Serikali’ kwa sura na mienendo ya ‘tabia rafiki’ kwa ajili ya ‘Haki na Usawa’ katika Taifa. Uadilifu wa mwanachi ama/na mtumishi ni kuhakikisha yale yenye ‘enzi’ kwa ‘maendeleo na ustawi wa taifa’ yanatuzwa na kuzingatiwa wakati wote. Ikiwa, kitaifa, tumeazimia ‘Siasa za Ujamaa na Kujitegemea’ basi ni wajibu wa kila mwananchi kutekeleza haki na wajibu wenye kukadirisha muelekeo wa taifa la Kijamaa na Kujitegemea’.

Makusudi yenye kuharibika katika Mtu, katika ‘UTU, ndiyo kile tunachoweza kukikadirisha kuwa ni muktadha wa ‘Rushwa’--ilivyo ni kile tunachokitaja kwamba ni adui wa ‘Haki’. Miiko ya ‘Chama’ na ‘Serikali’ ipo kwa ajili ‘kuratibu’ mienendo ya kitabia za watumishi na pia watu wa madaraka. Kwenye fremukazi ya uono na ufikirifu mifumo, miiko ni muktadha wa ‘vinasaba-vyombo’ ambavyo huwezesha watendaji kuwa na kadiri ya sura ya uadilifu kwa ‘mipango na mapito’; basi ndiyo kusema pia, ‘utekelezaji wa mapito kwa ajili ya Maendeleo na Ustawi wa Umma’. Kila nchi dola ina ‘Miiko’ kwa asili moja ama ingine, na ikiwa miiko hii ‘haizingatiwi’ taifa la watu ni lenye kuelekea ‘kuzorota’. Kwa watu wa Mwangaza, viashirifu vya uzorotefu wa taifa, huwa bayana kwa visomo 1.0 juu ya mazingira ya ndani na nje ya nchi-dola, vinavyofuzu Elimu 2.0 na Elimu 3.0 ilivyo ni kadiri ya ni usentienti wa ‘akili-hisia-imosha’ na ‘akili-fikara adilifu-intuji’. Kwa hivyo, ‘ulinzi halisi kwa maendeleo na ustawi wa mataifa’ hauko na vyombo vya kawaida vya nchi-dola hasa, bali na fanusi ‘malaika’ ambavyo wakati mwingine hutenda na sambamba na wale wenye ‘nia njema’ na ‘wito’ katika ‘wakati sahihi’. Kiufundi, mtu yeyote ni ‘mdau’ wa ‘ulinzi kwa maendeleo na ustawi’ ikiwa ni muaminifu kwa ‘akili’ na ‘moyo’; na anafikiwa wakati wowote na ‘malaika’ ifaavyo kwa ‘Matukio-Wakati-Machaguo ya Kitaasisi-Jamii’.

Kuanza kwa shughuli ilivyo ni taasisi ‘Chama cha Mapinduzi’, kwa watu wa Mwangaza, Mwalimu Nyerere kuwa ni Shahidi wa haya, ilifahamika fika kuwa ni mwanzo wa ‘jamvi la wavu’ lenye kutupwa kokoroni baharini. Hili litavuwa yote, halali na haramu—fumbo la imani likabakishwa, Je, ni nani atakayekadirisha ‘manufaa’ ama ‘hasara’ ya kuutanguliza uvuvi huu tuliouita ‘siasa za ujamaa na kujitegemea’ katika Taifa changa? Hichi kilikuwa ni kitendawili ambacho ‘mji ulikwisha kutolewa’ ikiwa wanachi wanashindwa kukitegua. Majibu yake yako dhahiri kwa mtu wa ELIMU 1.0, ELIMU 2.0 na ElLIMU 3.0…

Chama cha Mapinduzi kilianzishwa kwa kupambanua muktadha wa maendeleo na ustawi kama kama chama cha wananchi—walio ni ‘Wakulima na Wafanyakazi’. Hili lilikuwa ni ingilio la ‘akitipu jamii’ kwa mujibu wa ufundi wa ‘metamofosia’ ya ‘akili-hisia-imosha’.

Kwa mtu wa Elimu 2.0 anaweza kutazama ile topografu ya Kisa cha Maisha na Huduma ya Yesu kule Mashariki ya Kati. Yeye alizaliwa katika jamii ya ‘Wakulima walio wengi’, pia ‘Wavuvi’ na ‘Wajenzi’; alikuwa ni Mtu wa Nyumba ya Seremala/Mjenzi/Mwashi. Watu wake, Wayahudi waliowengi, wanajamii ya Galilaya, walikuwa chini ya Utawala wa Kijeshi wa Dola ya Rumi; hawakuwa huru ‘kisiasa’ na ‘kiuchumi’ na tena kulikuwepo na vuguvugu la ‘ukombozi’ daima katika umma wake kukadirisha Wayahudi Watamaduni wenye milengo ya makundi kama Masadukayo, Mafarisayo, Mangangari na Wa-eseni. Kulikuwa na ‘unabii’ wa Maona wengi wa zamani kuhusu kuja/kuzaliwa kwa‘Masiha’--mtu wa ‘ukombozi’. Sasa, kilichotokea kwake Yesu, ni ‘walio wake’ kijamii kumkataa isipokuwa ‘kwa wachache’ wenye ‘Roho ya Ushindi’. Kwa hivyo, ni muhimu kuipatia jamii ‘nyenzo’ kwa ajili ya kujikwamua kiufahamu juu ya mambo ya ‘Matukio-Jamii-Machaguo ya Kitaasisi-Wakati’ kwa ajili ya ‘Utashi’ wao kujiamulia mustakabali wa maendeleo na ustawi wao—ikiwezekana, katika wakati muafaka, hili lipitilize shughuli ya ‘taasisi za kuvusha muktadha wa maendeleo na ustawi wa umma kwa mifumo ya imani za kimakundi’.

Elimu 2.0: Uono na ufikirifu mifumo unatupa Hekima na Busara juu ya akili ya kutegemea ‘Masiha’ ilivyo ni mushkeli. Mtu anapoishi katika ustawi wa kimateka ama utumwa na huku akiendekeza akili ya unyonge na kuwa muhanga wa mifumo, kumtarajia ‘mkombozi’; huyu anaweza kuteseka kwa kujipendea yeye mwenyewe, pasi kujua—ama kujua isivyobora. Mifumo yote ya maisha duniani, ni matokeo ya figisu za kibinadamu na tabia zake—pia metafizikia yake. Ikiwa wanajamii wanaomuktadha bora wa elimu na kujitambua, mifumo inayowavuna ujinga wanajamii kulingana na misingi ya Kujisikia, kuchochea Hofu na kujihami kwa mfano, itayeyuka. Kiuono na Ufikirifu mifumo, Mifumo yote inayowafunga wanadamu na hofu hufanyika kwa ufundi na utundu wa kucheza na mifumo ya usadikifu – kuzitawala fikra za wanajamii kwa kule kutishia mustabali wao wa maisha ya dunia ama hata kupitiliza duniani—iwe kwa kheri fulani, ama vipi.

Chama cha Mapinduzi, kiliasisiwa kwa hekima, busara na tahadhari kubwa kisije kuja kuwa ‘dubwana la kusujudiwa’ na umma kwa hofu—kwa kuwa ikiwa hali ingalifikia hivi, ni ishara ya muelekeo usiofaa wa maendeleo ya watu na ustawi wao, na kukengeuka kwa maadili ya Taifa. Ukengeufu wa maadili ya Taifa si suala gumu kulibaini kwa ‘mtu wa Njano ya Dhahabu’; linafahamika kwa ‘watu wa nyakati’ pia ilivyo ni ‘Fanusi Malaika’ ya jaala na mustakabali wa Jamii Tumaini—Jamii Mabadilikoni. Kwenye nembo yetu ya Taifa, haya yote yako dhahiri kwa mtu wa Elimu 1.0, Elimu, na Elimu 3.0. Pembe za Ndovu ni uashirifu wa ‘Akili Tiba na Kinga’ kwa maendeleo na ustawi wa umma ambavyo huwa na mizizi ya miiko ya Taifa kwa ajili ya yote mawili: msimamo wa ‘Mali Akili’ na ustawi wa ‘Tunu za Utaifa Jipya’.

Chama cha Mapinduzi, kiliasisiwa kwa Hekima, Busara na tahadhari kubwa kisije kuwa ‘dubwana la udhalimu’ kwa umma wenye kulazimishwa; kuwa kana kwamba watu wa madaraka ya Chama ndiyo wajua ilivyo bora kuliko wananchi kwa yote na kila kitu. Kwa kuwa ikiwa hali kufikia hivi, lile kusudi la ‘uhuru wa ndani’ wa nchi u ni wenye kufifia na basi maendeleo ya watu na ustawi wao kuwekwa rehani kwa mifumo ya kidhalimu ‘ilivyo kwa namna za dhahiri’ ama ‘kwa namna za kujificha’, na tena basi kukengeuka kwa maadili ya Taifa. Ukengeufu wa maadili ya Taifa si suala gumu kulibaini kwa ‘mtu wa Njano ya Dhahabu’; linafahamika kwa ‘watu wa nyakati’ pia ilivyo ni ‘Fanusi Malaika’ ya jaala na mustakabali wa Jamii Tumaini—Jamii Mabadilikoni. Kwenye nembo yetu ya Taifa, haya yote yako dhahiri kwa mtu wa Elimu 1.0, Elimu, na Elimu 3.0. Pembe za Ndovu ni uashirifu wa ‘Akili Tiba na Kinga’ kwa maendeleo na ustawi wa umma ambavyo huwa na mizizi ya miiko ya Taifa kwa ajili ya yote mawili: msimamo wa ‘Mali Akili’ na ustawi wa ‘Tunu za Utaifa Jipya’.

‘Dubwana la kusujudiwa’ na ‘dubwana la udhalimu’, kwa mtu wa Elimu 2.0: Uono na ufikirifu mifumo ndiyo ‘anti-thesisia’ ya ‘Uhuru na Umoja’. Huu huja kulingana na makusudi yaliyoharibika miongoni mwa jamii wenyewe na viongozi wake, ikiwa ‘Hekima, Umoja na Amani’ yawa ni ‘kiini macho’ kwa uzorotefu wa maendeleo na ustawi wa kweli. Ambavyo, watu wa madaraka wanaweza kujivisha kiburi moto ama baridi juu ya ‘kupoteza njia/uelekeo’ wa kufanikisha ‘Jamii isiyo na unyonyaji, matabaka ya wenye nacho na wasiyo nacho, kudharauliana kwa wazi ama kificho, kubaguana, siasa za hadaa n.k’. Ambavyo, watu wasio na madaraka wanajibeza, wanashikwa na hofu na uwoga, kusahau kuwa mamlaka ya nchi ni yao pamoja na viongozi wao. Ikiwa wananchi wamejisahau wajibu wao na wajibu wa serikali yao; mzizi wa fitina ni ‘mmomonyoko wa maadili ya Utaifa’ na pia muktadha wa ‘mioyo iliyovunjika’...

Mikutadha wa ‘mmomonyoko wa maadili’ na ‘mioyo iliyovunjika’ katika nembo yetu ya Taifa ndiyo husadifiwa ‘dawa’ yake kwa ‘Mwenge wa Uhuru’ katika robo ya juu ya Vesika-Paisisi—Ngao ya Ustawi; na pia ‘Shoka na Nyengo’ katika robo ya pili kutoka chini. Mkuki wa Jaala—Imani ya Uumoja ndiyo alama ya kudumu na kudhihiri kwa ‘Fanusi Malaika’ ya ‘Jamii ya JMT’ ambavyo ‘wakati’ ni jamvi la ufahamu katika >Nia ya Usingurali< kukadirisha mamlaka, uweza, uwepo wa ‘Sovereini Jumuifu’. Na basi, ni mtu wa Elimu 2.0 na rizayati ya Elimu 3.0 mwenye kuweza kufumbua kitendawili cha ‘Roho ya Ushindi’ kama ilivyowazi machoni pa wanajamii – kuiona kila mahala pa taasisi za maendeleo na ustawi wa umma; kuwakilisha ‘wito’ na ‘wajibu’ wa pamoja na kwa pamoja kulijenga taifa la kinara kwa ‘Uhuru na Umoja’ barani Afrika.

Chama cha Mapinduzi kimerasmishwa, si kwa kubahatisha, na alama ya ‘Jembe na Nyundo’, kwa alama X ilivyo ni uaminifu daima, pia rangi za kijani na njano, kama mwanzo wa safari ya jamii KUTOKA uchanga wa Kitaifa kiuchumi na Siasa kuelekea katika ‘Ujamhuri Uliotaamulika’. Kwa watu wa mwangaza, inafahamika wakati wote—dhahabu haiwi safi hadi ipitia tanuru la moto; Jamii ya Watanzania chini ya hatamu ya Chama cha Mapinduzi ingalijua sura ya awali ya jamii mabadilikoni kwa mawezekano yote ya jamii na watu wake wa madaraka kupatia ama/na kukosea mapito ilivyo ni muktadha wa jiometria ya utendekavyo maamuzi jamii yenye kukadirisha ‘Matukio-Wakati-Machaguo ya Kitaasisi-Jamii’. Kumbe hili linakadirisha sura na mienendo ya CCM 1.0 na CCM 2.0. Ya kwanza haina kinga dhidi ya yale yote tunayoweza kubaini ni muktadha wa vipofu kuongoza vipofu wenzao. Kwa hii tunaweza kubaini viashirifu rahisi vya mmomonyoko ama uzorotefu wa maadili ya Utaifa kwa Siasa za kinafiki, upambe, uchawa, fitina, ufisadi, uzandaki n.k. Ya Pili, daima imekuwa ni kitendawili—lakini uwepo wake ni ‘fumbo la imani’; watu wote wenye nia na mapenzi mapema, wenye kutakaswa, kujitakasa na kutakasa kimifumo na basi ndiyo muktadha wa ‘Fanusi Malaika’ ilivyo ni ‘Bibi na Bwana’ katika nembo yetu ya Taifa.

Watu wa mioyo safi, na dhamira safi—watu wa ‘moto wa utakaso’, ndiyo wadau wa ‘ngano safi’ kutoka katika shamba lenye magugu. Siasa za Ujamaa na kujitegemea haziendani na ulimwengu wa ubepari na ubeberu wa kiutamaduni. Watu wa mioyo safi na dhamira safi kwa ajili ya furaha, Amani na Mapenzi mema Duniani ni fanusi malaika ambavyo Yesu, wakati wa nyakati zake, ni ‘Wateule’-- watu waliyo na ‘Roho ya Ushindi’; kwamba ‘Wanaoitwa ni wengi na hali Wateule ni Wachache’. Kwa hivyo kiufundi, shughuli ya CCM 2.0 ni hasa kukadirisha sura ya maendeleo na ustawi wa umma utoke kwenye ‘akili mushkeli’ ya kusubiri ‘Masihi’ na basi jamii yenyewe ijiongoze na kuzaliwa upya katika UTU. Watu hawatakombolewa na ‘mtu fulani wa kipekee ama vipi kuwepo madarakani’ – wala kukombolewa na ‘chama’ chochote, kwa kuwa wao wenyewe ndiyo ‘Chama’--kila yule mwenye ujasiri wa kuushinda uwoga na hofu za ‘kimifumo mfu’ ama yenye kadiri ya kuelekea kuzorota kimakusudi yake adilifu.

Chama cha Mapinduzi 2.0, ni mbivu na mbichi za kufanikisha maazimio kama yalivyoongozea kuzaliwa kwa Chama cha Mapinduzi. Hili linawezekana kwa Umma uliomarika kwa muktadha wa Elimu 2.0 na rizayati ya Elimu 3.0 ambavyo ‘Hamasa na Kujisikia’ hufuzu kujua ilivyobora na tena ‘Roho ya Ushindi’ kudhihiri katika mwanajamii. Hili linakuja kwa kadiri ya mapinduzi ya kweli kifikra—‘vina vya tafsiri’ kuhusu ujamaa na kujitegemea kuakisika kwenye sura na mwenendo wa jamii/Taifa na basi kukadirisha ‘Uchumi wa Kijamaa’ na ‘Utamaduni wa Kijamaa’. 2023 na kusonga, hili linafungulia njia kubaini ukweli wa Maendeleo ya Watu na vitu kuzidia mbali ‘nasibu zetu za kushawishika vibaya’ na ‘mambo ya nyakati’ na ‘kujua isivyobora’.

Maendeleo si kutamania Majengo Mazuri na Mabarabara na kujifunga kwa mambo ya siasa, diplomasia na uchumi mbovu wa Duniani. Badala ya muktadha wa matamanio yetu kujinasibu na njia za mkato za uchumi wa fedha/biashara, fremukazi ya uono na ufikirifu mifumo inaweza kutupatia muktadha wa topografu sahihi za maendeleo ya watu na vitu --zinazofuzu na kukadirisha ukweli wa ‘Kujitegemea’. Fedha nyingi, majengo na amari za Duniani si ‘Maendeleo’; vivyo hivyo kufikiri pesa, kwa misingi ya kipato ama/na kodi, inaweza kununua ‘mali’ na ‘maisha bora’ ni ufikirifu mushkeli. Mwalimu Kambarage Nyerere alifahamu haya fika. Simulitali ya ‘Kuijenga nchi’ na ‘kulijenga taifa’ ni jambo lenye asili ya ‘Kazi’ siyo ‘Biashara/sera malishazi za mambo ya nje/Koporetikrasia/Hijimoni za siasa maslahi-taifa n.k’. Hili litukumbushe, TUWE MACHO na mambo ya kutamanishwa na kuhadaika kidiplomasia za uchumi… Wabantu tuna msemo: ‘Siyo kila king’aacho ni dhahabu’ na pia ‘Usione vyaelea, vimeundwa’--Elimu 2.0 inaweza kutupatia maarifa ya kuunda upya muktadha wa maendeleo na ustawi wetu wa Kitaifa; pasipo kuiga njia za msafara wa ‘Mamba’.

Muktadha wa ‘Kutamani Mali ya Mtu mwingine’, kupitia fremukazi ya uono na ufikirifu mifumo kunatupatia mapelekeo ya vina vya tafsiri vinavyoweza kubayanishwa na majaribu ya ‘vishawishi/Ushawishi’ na ‘Nia isiyonjema kwa Ustawi wa Pamoja na kwa Pamoja’ wa Jamii. Mifumo mibovu ni chaka la watu wenye makusudi yenye kuharibika; hawa kwa upotofu wa kimaadili na kuzozingatia maadili na madaraka/nafasi zao katika jamii wanazinajisi afisi zao za utumishi wa umma kwa tabia-vitendo zenye kupindisha misingi ya ‘Haki na Usawa’. Kwa Elimu 2.0 juu ya Ubepari tunaweza kutambua na kukadirisha topolojia ufikirifu juu ya ‘Mizizi ya tamaa ya kuwa na mali nyingi binafsi ama nguvu katika mifumo ya maendeleo na ustawi wa jamii. Juu ya Ukomunisti kwa mfano, tunaweza kutambua na kukadirisha topolojia ya ufikirifu juu ya ‘Mizizi ya Wivu kwa mali maendeleo ya wengine vyenye kuchochea ‘roho za kauzibe’’. Udhalimu kwenye dola ya kibepari ama kikomunisti huinuka kwa matendo na dhamira mbovu za wachache kutawala wengi wakitumia ‘mifumo ya siasa za hadaa’ na huku wakisukumwa na ‘roho-ya-mtaka-vitu’...

Basi ndiyo katika Katiba yetu, utangamano kulingana na hisia za yale manufaa yajayo kwa misingi ‘mali binafsi’ na ‘mali za umma’ yana mwongozo ilivyo Sheria mama; na tena msingi wa sheria zingine zote mahsusi za nchi juu ya usalama raia na haki zake -- kisiasa, kiuchumi na utamaduni. Kwa muktadha huo shughuli za kila siku za riziki na maendeleo za wanajamii, zinahakikishiwa ‘uhuru’ na ‘haki’ katika ‘kujitafutia/kutekeleza majukumu’ na pia kulinda raia, viongozi na mali zao—kwa mujibu wake. Hili, kishughuli ya kitaasisi, lina insignia ya ‘Shoka na Nyengo’ vyenye ‘Mkuki wa jaala ya Uumoja’, muktadha wa taji la ‘Mwenge wa Uhuru’ na kauli mbiu ya ‘Usalama wa Raia’. Kiufundi, ‘Haki na Usawa’ huinua taifa lolote—dhuluma, maonezi, vitisho, upendeleo ubaguzi n.k huliangamiza taifa. ‘Vitendo-tabia’ visivyo rafiki kwa mbegu ya ‘Uhuru na Umoja’ ni viashirifu vya uzorotefu wa mifumo ya Maendeleo na Ustawi wa Taifa, kwa watu wa mwangaza – Watu Halisi wa Mwenge; kuakisi tafsiri ya unyemelezi wa kuangushwa kwa misingi ya ‘maadili’ na ‘miiko’ ya utaifa – kana usemi: Hauwezi kupanda pilipili ukajakuvuna parachichi

Chama cha Mapinduzi 2.0 ni dhamira ya ‘UTU MPYA’ fahari ya ‘Simba’; na si ‘kondoo’ wa matoleo ya kimifumo mibovu. Ni dhamira ya ‘kujitambua na kusimika nafasi yako’ na si kusubiri ‘kutambuliwa’ ama ‘kujitambulisha sifa za kipambe’ ili ‘ukubalike’/kustahiki upendeleo wa nafasi ya kupewa na mwingine. Hili kulisadifu kwenye topografu ya michezo na utamaduni, linashahibiana na ‘Utani wa Jadi’ kati ya Vilabu vya Kabumbu vya Yanga na Simba kutoka ‘Jangwani’ na ‘Msimbazi’--maskani mbili za kutengenishwa na mto Msimbazi. Yanga(Vijana Afrika—Young Africans) daima imewakilisha temperamenti baridi kama udongo, na hali Simba ni ‘hisia za fahari na ukali/moto’. Ikiwa Yanga ni ‘Umoja wa Mataifa’ basi Simba ni ‘Taifa Kubwa’. Tofauti ya Umoja wa Mataifa na Taifa Kubwa/Muungano wa Sovieti za Urusi ni kujipambanua ‘Kiuchumi’ na ‘Siasa’ ambavyo Merekani imepata kuwa hasimu wa Urusi kwa hijimoni za ‘Ukoporetikrasia’ dhidi ya hijimoni za ‘Mabaraza ya Wafanyakazi—Sovieti’. Sasa, siyo bahati mbaya kwamba rangi za bendera ya Yanga zinafanana ni za CCM na hali za Simba hufanana na Sovieti—tena na Nyekundu ya robo ya pili ya Vesika-Paisisi iliyo ni ‘Ngao ya Ustawi’.

‘Jembe na Nyundo’ ni ncha moja ya mkuki-- ya metamofosia ya Chama cha Mapinduzi ambavyo ncha ya pili ni kadiri ya ‘Shoka na Nyengo’. Kimetafo, Chama cha Mapinduzi 2.0 ni chenye maskoti ‘Shoka na Nyengo’ ilivyo ni muktadha wa wanajamii wenyekujua ilivyobora. Wanajamii waliofaulu kuvuka ‘Mto Msimbazi’ kutokea ‘Jangwani’ kadiri sawa na kutokea Msimbazi kufika Jangwani—kuizidi fanusi ya utengano. Chama cha Mapinduzi kilitambulishwa kwa alama ya jembe na nyundo –kwa kuwa ni chama cha wananchi walio wengi ambavyo ni Wakulima kwa Wafanyakazi. Kwenye Muungano wa Nchi za Kisovieti zilitumia alama za >‘Mundu na Nyundo’< kama insignia kwa ‘nguvu ya umma’. Kiufundi, hizi ni alama za ‘Kimapinduzi’ japo ukweli wake hubakia fumbo kwa umma wa wengi juu ya ontolojia na metafizikia ya alama zenyewe.




Ikiwa mapinduzi ni mageuzi kamili ya kiuchumi, siasa, jamii na utamaduni, haya yatakuwa hatua ya kimetamofosia ya mifumo ya jamii na fahari yake. Mageuzi haya ndiyo yataelekea kukadirisha ‘Jamii ya Dhahabu’ ambavyo ‘Moto wa Uwepo’ – daima kuwaka mahala patakatifu pa ‘Nyumba ya Tawala na Ukuhani wa Nchi’. Raia wake wangalikuwa ni Simba wasioingiliwa nafasi zao za fahari ya Utu na Ustawi. Na basi matatu yangekadirisha muktadha wa fahari ya ‘Jamii yenye Kujua Ilivyobora’--(1) Ushujaa, (2) Uhodari na (3) Umahiri; katika Dhamiri ya Utu, Matendo na Kuheshimiana kwa Dhati.

Chama cha Mapinduzi 2.0 ni shughuli ya muktadha wa ontolojia na metafizikia ya dhamiri ya ‘Kuzaliwa upya’ Kiakili, Mwili na Roho ili kuachana na mifumo ya kinyonyaji, utwana na utumwa ndani ama nje ya nchi—hili si dhahiri katika ulimwengu wa leo; na hali kutokea hapa Afrika Mashariki, jitihada zinafanyika kulifanya hili liwe ‘Hali Halisi’. Hili linakwenda kuwezekana kupitia watu wenye utayari wa ‘kuhama’ – KUTOKA, katika Mifumo Babiloni ili kufikia muktadha wa Maendeleo na Ustawi wa Kibindamu ulivyo ni ‘Nchi Mpya, Mtu Mpya’. Pahala pa kuimba “Nitakwenda na Jembe langu, Nitangaze Ujamaa Tanzania Kote”, basi ndiyo kuja kuimba “Nitainuka na Shoka na Mkuki na Nyengo zangu, Nitangaze Ujamaa Tanzania, Afrika na Duniani kote”...

Wanajamii wa fahari ya Simba, ni watu wa kuwa na ile roho ya Nia yenye Ujasiri kwa kuwa na vitendo-tabia ya kwenda kinyume na kujisikia hofu mbele ya mifumo ama/na taratibu za kidhalimu; ni watu wa Nia ya Uhodari kwa vitendo-tabia vyao vyenye kufuzu kutoghairighairi ama/na kutokukata tamaa na basi kukomalia lile ‘walionalo ilivyo bora’; na kuamini njia/mapito yao kuelekea fahari ya UTU katika ‘Haki na Utashi’ ilivyo ni ‘kujiamulia mustakabali wa nchi yao’. Ni watu wa Nia ya Umahiri kwa maneno na vitendo kufungamanisha nguvu sawa kwa fraktali ya Uono Fasaha, Vina vya Tafsiri vilivyo maridhawa na Dhamira ya dhahabu.

Katika muktadha wa ‘Ndoto Mama Afrika’, mtawala Haile ‘Ras Tafari’ Selassie I wa Ethiopia ndiye alikusudia Afrika Mpya iwe na msimamo unaotokana na >‘watu wa dhamira ya dhahabu’<--kwamba panapo uhatarishi kwa amani na mshikamano wa jamii, ‘Hoja ya Nguvu’ iwe batili mbele za ‘Nguvu ya Hoja’. Afrika na Watu wake ije kuwa ni jamii ya watu wa jinsi na rangi zote--wasiotawaliwa na ‘mifumo ya imani sadikifu za kimakundi’ zilizo za kigeni; na hali wao wenyewe basi kukosa nguzo za kubaini ukweli wa ‘maisha ya kiroho’. Kwamba ‘Maisha ya Kiroho’ ni jambo la ‘kujitegemea’ katika mtu—mtu mmoja hapaswi kuhoji njia ya mwenzake kwa kuwa hakuna afahamuye kiukamilifu fumbo la ‘Moto wa Uwepo’. Basi dhamiri ya nia juu ya shauri la kutafuta ‘kujua ilivyobora’ juu ya mtu, UTU, maendeleo na Ustawi, ni ‘Safari’ ilivyo ni bidii ya Elimu 1.0, Elimu 2.0 na rizayati ya Elimu 3.0 ambavyo vyote kutegemea na mtu mwenyewe—mtu kutafuta ‘Ushirika na Roho ya Ushindi’ ili njia zake zipate ‘fahari ya dhahabu’ na ‘Ubarikika’.

Renansi Afrika inakwenda kudhihiri kwa >‘Roho ya Ushindi’< ambavyo >‘fahari ya Simba’< imetufikia kwa Sanaa na Michezo yenye kutuletea ‘hisia’ na ‘moto mpya’ dhidi ya >‘Mifumo Babiloni’<. Afrika kuamka na kusimama na kushika mahala pake katika ‘jamvi la usupashi-nyakati’ ni vuguvugu lililoanza nusu ya pili ya karne ya 20—‘wimbo wetu’ kwa >‘Liberiti Afrika’=Afrika Unite< ni ujumbe wa ‘Uhuru na Umoja’. Ni ujumbe huu tutaubeba kwa ‘fahari ya Simba’ hata Angani—kwenye Nyota, ambako mapambano baina ya kiza na nuru ya nafsi yangalikuendelea. Mtu wa nadhiri kwa haya ni ‘Mtu Mtamaduni’ – ni mtu ‘Rasta’ kwa fahari yake kutokutafuta ‘utukufu’ wa fahari za kikondoo na ufikirifu pofu wa kimakundi. Si lazima mtu kuzivaa drediloki ili awe ‘mtu-Rasta’; yeyote mwenye ujasiri, uhodari na umahiri katika dhamira ya dhahabu yeye ni ‘Muafrika’ katika Moyo na Matendo; na hasa ikiwa Bara la Afrika ni mahala ambapo yeye ajichagulia kuwa ni ‘nchi yake’ ya ‘Wito wa Dhahabu’ kuifanya ‘Nchi mpya, Mtu mpya’…

Tutakapofikia ‘mfano bora’ wa jamii yenye muamko na kupiga hatua; itatupasa kuliangalia upya suala la uzalendo na uraia—kulitengenezea vina maridhawa vya tafsiri kwa ‘uhamiaji’ na ‘Ustawi wa Mwanadamu’. Siku za mbele itakuwa ni dhahiri, kuwa ‘Muafrika’ si rangi ya ngozi; ni hamasa ya watu kudhihiri ‘Nguvu ya Roho’ dhidi ya madhalimu ya kinchi na dola yatokanayo na mmomonyoko wa maadili na kutozingatia miiko ya Utaifa wa ‘Haki na Usawa’ kwa Wote--’Roho ya Ushindi’. Afrika itajengwa kwa ushikiriano wa watu kutoka kote—Kaskazini, Mashariki, Magharibi na Kusini mwa bara lenyewe na Jiografia yake.

‘Mfano bora’ ni >harakati ama/mapambano yasiyo na ghasia<. Iwe ni kwa muziki wenye kuleta watu pamoja ama michezo yenye kuchochea nidhamu, uhodari na umakini, haya ndiyo mambo yakayojiri katika ‘Vituo vyetu vya Utamaduni’ kuelekea Ujamhuri Uliotaamulika. Muziki wa Rege ni ‘Zawadi’ na ‘Tunu’ ya kutangamanisha mapigo ya moyo, ujumi na rithimu ya dhahabu. Tutumie muziki kuleta watu pamoja na kupanda mbegu bora za UTU na wito bora kwa maendeleo ya watu na vitu Afrika na Kupita… Tutumie ‘Sanaa’ kupeleka mbele dhahania za UTU bora, Ujumi na Kujidhihiri utu bora… Tufikishe ujumbe kote, Afrika na Kupita—Ujumbe wa Furaha, Amani na Mapenzi Mema kwa Watu na Viumbe vyote Duniani na Ulimwenguni kote…

Tutambue fumbo ya kile ‘Kilicho ni Khasa’-- asili ya ‘uzima’ wetu na ‘metafizikia’ yake-- ni ‘moto unaowaka pasi kuzima daima na milele’ ndani yetu. Ni moto huu ambao hutujaza ‘Roho ya Ushindi’ kutufanya sisi wote, wenye kujinasibu na dhamira ya dhahabu, kuwa ni ‘Shoka’ lenye kuweza kukata hata mbuyu mkubwa ulioje – mbuyu wa mifumo Babiloni. Sisi kuwa ni ‘Nyengo’ yenye kuvuna manufaa ya ‘mema ama/na mabaya’ yatokanayo na wanajamii ‘kujijazia mabatili ya nafsi’ --katika wakati muafaka wa ‘mavuno’.

2023 na Kusonga, ni wakati wa mavuno.

Tuinuke na kusimama pamoja kuifanyakazi.

+++++++


View: https://www.youtube.com/watch?v=qaZ1oFlryeM
Hmmmm
 
Kenya viongozi wamesahau, wamepuuzia na 'wanachezea shilingi shimoni' na hali 'wamepata kusikia mapema juu ya dosari za ubepari'...

Ubepari ni Ushetani unaweza kujivikaa ngozi ya kondoo--kwa kuwa hili ndilo 'jina la mchezo wenyewe'...

Kwa hivyo mambo ya fedha, benki yanaasili ya 'kuvuruga akili' umma kwa ajili ya haya kudumu kuwepo... Huvutia Viongozi, wa umma na hata dini, wasomi na 'wadanganyika wengine wote'--kalamu na ulimwengu wa watu waliojikataa...
Blessed Love and Respect Brother Ruto,

and All.

Thank You for representing...

Addressing global community pertinent to the 'Honey pots' and money issues (Global Capitalism | Corporate Profits | Shareholder's Interests) and proffering typical solutions which seem to go against the 'Global Financial System'(or supposing they ought to be 'transformed') is such a 'strong message' and/or 'a tall order' against the Establishment; and on the behalf of the downtrodden.

This is definitely one front, out of many--many fronts of the war against global injustices as related to the world community development, equal opportunity and common prosperity. This has to be well coordinated, and beforehand, for the prospects of 'win win situations' are always cumbersome to effect in due course. If this is not well considered within the contexts of Education 2.0, it manifests itself as a fleeting illusion -- supposing that which is to be pursued but never to be attained.

Talking money and talking senses before the informed and uninformed lot is a daunting task with mixed potential outcomes. It calls for practical orientations and discernment--not just basking in adulation of fellow dire compatriots in hopes and aspirations; for such audacity can also attract animosity from those with plying eyes--maintaining the 'status quo' through the system. It is not that 'matters are not well thought or sorted out--all in advance' on the table and pulpit of the wicked ones in the high place. They are calculated moves and assorted dramma out of the backdoor ushered in unto the world stage as a front door... Even those international congregations and platforms are 'chase game tables' of anonymous master players, quietly contemplating the game, moves and anticipation of its eager participants--such an embarrassing charade...

Climate Change Politics and environmental discourses are 'diversions' from critical matters and real issues pressing the global community. It is through a combination of Education 2.0 and Education 3.0, our predicaments as nations of people -- qualified as 'developed and/or underdeveloped' bunches, can be resolved. In the world of Education 1.0, 'Win win deductions' are rhetorical jabs in the plains of 'intellectual and/or common' sense; however it is impossible to assert them pragmatically. The present global economic paradigm operates within the game plan of losers and winners--no other recourse, or it is a catch 22 situation--it is either you loose and you loose. People of 'Power That Be' know this well, and they keep this under the rug... Let them 'fools' play the game of 'Rat Races'...

Kaka Ruto, ukumbuke usemi wa Kiswahili--Jongo atupwe na mjiti wake... Tutafute kujitoa katika dhana na ulimwengu wa ubepari. Ikiwa sisi watu wa Afrika, watu wa Afrika kwa mwili na roho, tunataka kuleta mabadiliko ya kweli na ya kheri basi tuelewe fika haya hatutaletewa na mtu na wala hatuyabembeleza kutoka kwa wengine. Siyo kwamba huko duniani, vinara wa mifumo ya uchumi wa dunia hawajui ukweli wa mfumo mbovu wa kiuchumi na fedha wa dunia--WANAJUA FIKA NA ZAIDI. Labda tukushukuru wewe Ruto kama mtu kwa kuwa unasema kweli na hadharani; kwa kuwa hili linasaidia kufumbua watu akili na fahamu zao--si Kenya na Afrika tu, bali Duniani kote. Ndiyo, dhamira na nia yako ni sahihi na njema, tulete mazungumzo haya mezani na tuongee--unafiki tuuache, vivyo hivyo kujitweza na kusindikiza siasa za kiuchumi za dunia--zenye kutengeneza harakati za 'Magharibi' dhidi ya 'Mashariki'. Japo kufanya hivyo ni 'kuumbua mfumo' lakini, wakati mwingine inatupasa kuchukua hatua sahihi pale 'maji ya shingo' yanapotunyemelea...

Kaka Ruto, sema ukweli juu ya mifumo ya fedha ya dunia na usihofu, japo unafahamu fika maneno pekee yake hayatabadili mambo--useme ndani ama nje ya nchi.

Nchi ya Kenya inayonusu ya ufunguo wa mabadiliko makubwa ya maendeleo na ustawi wa watu, nusu ingine iko Tanzania. Ikiwa ni vema kufumbua sura ya mabadiliko hayo, basi ifahamike tu kuwa: mabadiliko yatakuja kulingana na masahihisho ya kitaasisi na mifumo ambayo tutayafanya katika kipindi hichi cha miaka 25 kutokea mwaka huu 2023.

Ninyi viongozi wa nchi mtajifunza mambo mazito na mtahitaji vifua hasa, lakini tayari mnasaidiwa usiku na mchana 'fikra sahihi ziwafikie'. Ndiyo, kwa nafasi na dhamana yenu, haya ni masuala ya 'mtu na mungu wake' lakini pia hili kuna namna si 'mtihani' hasa--kwa kuwa penye nia pana njia; ikiwa kiongozi unataka hasa kutatua magumu ya nchi kwa njia isiyo ya mkato--hili linataka moyo, dhamira safi na nia njema katika ulimwengu uliojaa ghiriba, utapeli na 'siasa za uchumi wa kiuwizi'.

Kukimbia ama kuyazidi matatizo ya utapeli na uwizi wa ndani ya nchi hakutatuliwi kwa kujisalimisha kwa 'wakubwa' wa nje kwa sura ya uwekezaji ama nini. Kwa kuwa kufanya hivi, ni kuiabudu 'mifumo ya fedha ya kileo' badala ya kuongoza maendeleo ya watu kwa ndani na nje. Kwa hivyo mtihani na kipimo cha kiongozi yeyote wa Afrika ya Leo na kesho ni 'Hekima, Umoja na Amani'... 'Fedha, mitaji na uwekezaji' ina mengi yaliyo ya mtego na 'njia inayoonekana ni sahihi kwenye macho ya mwanadamu na hali ni njia ya mauti'. Hapo hapo, kuna namna jambo hili ni 'dhambi kubwa' ya kimaadili ya uongozi... Shughulika na watu wako, wakikushinda ama unaona wanakushinda ni bora uwajibike kwa kujiuuzuru na kupisha mtu mwingine. Uongozi ni zaidi ya kutawala mifumo ya fedha, kwa kuwa huu ni dhamana juu ya watu, taasisi, utendaji na ustawi. Lakini utamaduni globali unawapelekesha viongozi kutawala kwa 'kufikiria fedha' na 'utegemezi', kana kwamba ndiyo fimbo ya karibu ya kumuua nyoka -- hili si jambo salama kwa usovereini wa taifa ama/na mataifa. Kwa kuwa, pasipo kujua ilivyobora, kuna kudhani 'umepata' na kumbe 'umepatikana'...

Kujisahihisha daima kunawezekana, na wakati wowote; kunataka tu dhamira, nia na matendo stahiki.

Kaka Ruto, Sisi watu wa Afrika, tujifunze kutotegemea watu wengine wafanye maamuzi kwa niaba yetu ili tupate afueni; ama labda kufikiri 'tunaweza kuja kuamua kwa pamoja na watu wa mataifa'--leo ama kesho fulani; badala yake tuanze kujipanga na kujisuka upya kiuchumi na utendaji kwa namna ambayo fedha si hasa msingi wa maendeleo bali 'kazi'. Tufanye umma wetu uelewe kazi na kujenga nchi ni kitu gani hasa; siyo kudanganyana nao kwa maneno ya 'tatizo ni mitaji na rasilimali'--kwa kuwa kufanya hivi ni kuwa wakala na kuwadi wa mifumo mibovu wa uliberali wa kileo.

Kaka Ruto, Uliberali wa kileo ni 'uwizi' kupitia mabenki na ukoporeti. Hili tayari limeshaelekezwa akilini mwako na dawatini kwako, wewe unalizungumza kwa nje kwa sura na tafsiri juu ya 'shida ya madeni' na 'Kenya kufanya vizuri katika nyanja ya Nishati Safi'. Hatuhitaji akili ya maajabu kutambua kwenye 'faida/profits' pana shetani wa 'panga/pangua' ya sura na mienendo ya jamii. Ndiyo huyo huyo ambaye huja kwa utaasisi wa benki zenye 'mikopo na riba'. Tumkatae huyu Shetani!

Mchawi wa kukwama kwetu ni ushamba wetu wa kushobokea mifumo hii ya fedha na kudanganyika kuwa ndiyo 'usasa'. Tumeishia kwenye uhuni wa ELIMU 1.0. Tukishtukia 'jambo fulani' kuhusu nishati na kazi, tutakuwa tunajinasua na jinamizi hili. Ila inatutaka tuundae kwanza umma wetu vizuri na ELIMU 2.0 na ELIMU 3.0.

Ni nchi ya Kenya ndiyo inayopaswa kuiongoza Tanzania kuhusu mabadiliko ya kishughuli na utendaji--kwa kuwa hili ndilo hasa Nchi ya Kenya inabeba ahadi hii ya mageuzi makuu. Kenya tayari inayonasibu ya kubadili mifumo ya fedha(sarafu za kidijitali, SIYO SARAFU KRIPTO), shughuli za ujasiriamali na matokeo kwa kasi hasa(Kupitia Umahiri wa mifumo ya TEHAMA) na hazina; ili kudhibitisha ufaulu wake katika sura moja ya kupata 'kuujaribu ubepari' kwa akili yote na kumbe huu 'si wa kuwekewa imani'; na basi 'kujiongeza' kutoka ujasiriamali wa kibiashara kuelekea kwenye ujasiriamali wa kijamii uchumi. Ubebari wa kileo ni kitumbua kinachochomwa nusu nusu--hauaminiki; na unatuzalishia roho za tamaa, ulafi, uwizi, ujasiriamali-mifumo na madanganyo katika ulimwengu wa siasa mbovu za kiuchumi na ikolojia duniani. Kenya ituletee Afrika Mashariki na Afrika, kuiunuka na kuiva kwa dhima halisi ya 'HARAMBEE'... Watu kuja pamoja na kufanya yao kwa pendo moja, nia moja na kusudi moja--maendeleo na uhuru halisi.

Kaka Ruto, wakati mmoja -- ukifanya vizuri, hautalazimika 'kuiuza Kenya' kwa maneno na sifa fulani za kibinadamu--Kesho ya Kenya ni kubwa kuliko mtu, ni kubwa kuliko 'ushamba wa kibepari'--juhudi fulani zimefanyika kuifunika nyota ya Kenya kwa ghiriba za hadhi, sifa na maendeleo kama ya kimagharibi. Kesho ya Kenya inabeba uwezekano wa kudhihiri usahihi na ubora wa kiusoshalisti wa Kiafrika--Suala ni basi je, ni nani anakwenda kuwa mjanja wa kuipindua meza(?)

Dunia bila 'siasa za hadaa' na 'Uchumi Mauti', Afrika na Kupita, inawezekana kwa 'akili mpya' na 'roho mpya'...

Amini katika Mungu wa vyote, mote na wakati wote, si mungu wa Kenya ama Afrika--kwa kuwa tunaelekea kujua ilivyo bora. Suluhu zetu za kitaasisi na maendeleo ya watu na vitu hazinabudi kuakisi 'Metafanusi' ilivyo ni kweli ya uzima wa mambo na si ubovu --watu wa ELIMU 1.0 huzungumza mashauri ya 'Mungu' ilivyo ni mapokeo, fikra za kitumwa, na utamaduni wa kimateka... Basi, Metafanusi ilivyo ni 'Mungu', kupitia ELIMU 2.0 -- 'katika hii Tuaminie'--sivyo kusadiki.

HARAMBEE!
 
Ningekuwa mimi ningeshauri,

Kupata hicho kiasi kinachopungua Serikali iache kununua ma V8.

Kisha ningeshauri safari za nje ya Nchi zifutwe.

Unaweza kuniambia safari Moja ya kiongozi wetu kwenda nje ya Nchi na watu wake ni shilingi ngapi?

Tuanzie hapo.

Tuanzie kwanza kupunguza matumizi ya Serikali.
Wewe nimekwambia akili huna , Serikali inatumipa Bilioni 600 kununua V8?

Mwisho napokwambi wewe ni zwazwa uwe unaelewa,jumlisha safari za Marais wote kuanzia Nyerere hadi Samia hiyo pesa haifiki.

Nyie Machadema mnachoweza ni kesi Sidhani kama uchumi mnaujua,jielimishe hapa Kutoka Bungeni, Serikali imesema Itakata OC Kwa 20%,Magari Kwa 50%, Matengenezo Kwa 50%.Itaondoa Kodi kwenye gesi
 
Back
Top Bottom