Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
Kwa kwelKuna mtumishi wa TRA alikuwa na nyumba 400 dar peke yake.
Halafu unaambiwa Serikali Haina pesa, ujue Kuna Mahali zinaenda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kwelKuna mtumishi wa TRA alikuwa na nyumba 400 dar peke yake.
Halafu unaambiwa Serikali Haina pesa, ujue Kuna Mahali zinaenda.
Shida ya watanzania ndio ipo hapo hatuna uwezo kutunga sera zetu tumezoa kucopy copy tuNch
Nchi gani ya Afrika mashariki in VAT ya 10%
Tanzania sio kisiwa Mkuu na mfumo wa kodi unaelekeana au kufanana kwa nchi zinazofanana kwa sababu ya sababu mbalimbali ikiwemo regional integrations nk.Shida ya watanzania ndio ipo hapo hatuna uwezo kutunga sera zetu tumezoa kucopy copy tu