Ndugu naomba ushauri akili imestack

Ndugu naomba ushauri akili imestack

jnbg

Member
Joined
Apr 12, 2016
Posts
84
Reaction score
82
Mimi Nina umri Miaka 38 sasa Nina mahusiano na mwanamke tangu mwaka 2014 na tumezaa watoto 4 kati ya hao 1 Mungu amemchukua na sasa Hivi tuna ambaye mwezi wa 10 atatimiza mwaka na wawili wapo shule darasa la 3 na 2.

Sijawahi kufika kwao tangu 2014 mpaka mwaka 2022 pale aliponiibia vitu vya ndani TV,pasi ya umeme, laptop,redio,baadhi ya vitambulisho vyangu,simu,blenda,Kadi ya benki,,,shs.477000 Kaitoa benki mana Anajua password.Kaondoka na watot pia!

Sababu za kutofika kwao

1.Umbali kikazi ulichangia mana
nilikuwa busy na uhamisho na mim pia kwetu sijaenda tangu 2017 Hadi 2021 kwa ajil ya Mazish

2.Huwa hatuelewani kwa Muda mrefu Katika mahusiano yetu mana Ana kiburi,madharau,akinikosea hajawahi kuomba msamah mpaka nitakapojirudi mwenyewe,,,hivyo nikawa na hofu kwamba itakuwaje Kama tutafunga ndoa Kama ktk Hali ya sasa yupo hivyo??

3. Hata akinikera hawezi kujishusha yupo tayari kupigana na tulishapigana akanipeleka ofisi ya kata tukashauriwa Lakini hakuna mabadiliko

4.Ana Tabia ya kunipekua,,,kuna siku nilitegesha pesa chini ya meza akaichukua afu nikamwambia kuna pesa nimeangusha chumban Kama aliiona akakataaa katu Lakini mwishow amekubali

5.Huwa tunakosana Sana mpaka nikaanza kunywa pombe,,,Mara pengin nashinda nje usiku Lakini Naona haimugusi wala ushaur hakuna

6.Siku aliponiibia pesa benki akajitetea nyumban kwao kuwa hakuna matumizi Jambo ambalo Halina ukwel,,,na wazazi wake wanamuunga mkono Hata nijieleze vipi

KILICHOTOKA SASA HIVI
1.Amekuwa akichukua kila pesa anayoiona kwangu,,,ndani Hata kweny akaunti ya mitandao yangu ya simu na kucheza nayo kamari

2.Amekuwa na madeni mengi ya nje hiyo pesa amepeka kweny kamari

3.Nimemshirikisha baba yake juu ya kuchukua pesa zangu kwa siri na madeni ya nje Lakini baba yake katulia tu

4.Tareh 10 kuchukua pesa iliyo ndani nilipomuuliza lawama hajui baadaye kakubali,,tarehe 11 kachukua pesa
nyingin nikaumia Sana nikampigia usiku baba yake akaniambia nimpandishe kwenye gari na watot wake,,,mim nikaenda kunywa pombe asubuh nikamtaka aondoka na Arudishe pesa zangu,,,,,tukalumbana Sana mpaka nikachukua kisu mwishowe ameondoka na watot.

KESI HUKO KWAO
Ninahitajika kwenda KWAO nikajieleze na kuomba msamah kuwa nimemfukuza pamoja na watot,,,kumbuk watot wanatakiwa kwenda shule kesho

Naombeni ushaur jaman,,,,akili haifanyi Kazi mana Nataka tuachane Lakini nafsi inakataa Sababu Nina watot Naye,,,nyumbani wanajua nimeoa hata kazin pia,,,,,,NAONA AIBU
 
Aisee! Pole.

Wengine mjifunze, kitu cha msingi unaweza wasaidia watoto wako ni kuwatafutia “mama bora”

Mleta mada we ni tatizo zaidi, haya nenda huko kwao omba hiyo misamaha (sijui umekosea nini) ilimradi upewe watoto warudi kuendelea na shule.
 
Aisee! Pole.

Wengine mjifunze, kitu cha msingi unaweza wasaidia watoto wako ni kuwatafutia “mama bora”

Mleta mada we ni tatizo zaidi, haya nenda huko kwao omba hiyo misamaha (sijui umekosea nini) ilimradi upewe watoto warudi kuendelea na shule.
Bora hata huyu kuna mmoja kafungiwa na mlango kalala nje leo yupo kumuomba msamaha mwanamke ila wanaume kuna mda tunajitakia hizi shida
 
Yaani unakaa na mtoto wa watu 2014 hadi 2022 ndo umeenda kwao..!! Seriously???? Tena pamoja na viburi vyote hivyo, bado ukazaa naye watoto wanne...!!!!! Kama hayo matabia yake ulimkuta nayo, kwanini ulizaa naye? Kwani kufunga ndoa kungekuongezea nini na umeishi naye miaka yote hiyo? Acha tu akili yako istaki
 
Mimi Nina umri Miaka 38 sasa Nina mahusiano na mwanamke tangu mwaka 2014 na tumezaa watoto 4 kati ya hao 1 Mungu amemchukua na sasa Hivi tuna ambaye mwezi wa 10 atatimiza mwaka na wawili wapo shule darasa la 3 na 2.
Sijawahi kufika kwao tangu 2014 mpaka mwaka 2022 pale aliponiibia vitu vya ndani TV,pasi ya umeme, laptop,redio,baadhi ya vitambulisho vyangu,simu,blenda,Kadi ya benki,,,shs.477000 Kaitoa benki mana Anajua password.Kaondoka na watot pia!
Sababu za kutofika kwao
1.Umbali kikazi ulichangia mana
nilikuwa busy na uhamisho na mim pia kwetu sijaenda tangu 2017 Hadi 2021 kwa ajil ya Mazish
2.Huwa hatuelewani kwa Muda mrefu Katika mahusiano yetu mana Ana kiburi,madharau,akinikosea hajawahi kuona msamah mpaka nitakapojirudi mwenyewe,,,hicho nikawa na hofu kwamba itakuwaje Kama tutafunga ndoa Kama ktk Hali ya sasa yupo hicho??
3. Hata akinikera hawezi kujishusha yupo tayari kupigana na tulishapigana akanipeleka ofisi ya kata tukashauriwa Lakini hakuna mabadiliko
4.Ana Tabia ya kunipekua,,,kuna siku nilitegesha pesa chini ya meza akaichukua afu nikamwambia kuna pesa nimeangusha chumban Kama aliiona akakataaa katu Lakini mwishow amekubali
5.Huwa tunakosana Sana mpaka nikaanza kunywa pombe,,,Mara pengin nashinda nje usiku Lakini Naona haimugusi wala ushaur hakuna
6.Siku aliponiibia pesa benki akajitetea nyumban kwao kuwa hakuna natumia Jambo ambalo Halina ukwel,,,na wazazi wake wanamuunga mkono Hata nijieleze vipi
KILICHOTOKA SASA HIVI
1.Amekuwa akichukua kila pesa anayoiona kwangu,,,ndani Hata kweny akaunti ya mitandao yangu ya simu na kucheza nayo kamari
2.Amekuwa na madeni mengi ya nje hiyo pesa amepeka kweny kamari
3.Nimemshirikisha baba yake juu ya kuchukua pesa zangu kwa siri na madeni ya nje Lakini baba yake katulia tu
4.Tareh 10 kuchukua pesa iliyo ndani nilipomuuliza lawama hajui baadaye kakubali,,tarehe 11 kachukua pesa nyingin nikaumia Sana nikampigia usiku baba yake akaniambia nimpandishe kwenye gari na watot wake,,,mim nikaenda kunywa pombe asubuh nikamtaka aondoka na Arudishe pesa zangu,,,,,tukalumbana Sana mpaka nikachukua kisu mwishowe ameondoka na watot.
KESI HUKO KWAO
Ninahitaji kwenda KWAO nikajieleze na kuomba msamah kuwa nimemfukuza pamoja na watot,,,kumbuk watot wanatakiwa kwenda shule kesho
Naombeni ushaur jaman,,,,akili haifanyi Kazi mana Nataka tuachane Lakini nasi inakataa Sababu Nina watot Naye,,,nyumbani wanajua nimeoa hata kazin pia,,,,,,NAONA AIBU
Kosa ulilifanya tangu zamani, ulimlea lea sana. Ungemnyoosha tangu zamani.
 
Mimi Nina umri Miaka 38 sasa Nina mahusiano na mwanamke tangu mwaka 2014 na tumezaa watoto 4 kati ya hao 1 Mungu amemchukua na sasa Hivi tuna ambaye mwezi wa 10 atatimiza mwaka na wawili wapo shule darasa la 3 na 2.
Sijawahi kufika kwao tangu 2014 mpaka mwaka 2022 pale aliponiibia vitu vya ndani TV,pasi ya umeme, laptop,redio,baadhi ya vitambulisho vyangu,simu,blenda,Kadi ya benki,,,shs.477000 Kaitoa benki mana Anajua password.Kaondoka na watot pia!
Sababu za kutofika kwao
1.Umbali kikazi ulichangia mana
nilikuwa busy na uhamisho na mim pia kwetu sijaenda tangu 2017 Hadi 2021 kwa ajil ya Mazish
2.Huwa hatuelewani kwa Muda mrefu Katika mahusiano yetu mana Ana kiburi,madharau,akinikosea hajawahi kuona msamah mpaka nitakapojirudi mwenyewe,,,hicho nikawa na hofu kwamba itakuwaje Kama tutafunga ndoa Kama ktk Hali ya sasa yupo hicho??
3. Hata akinikera hawezi kujishusha yupo tayari kupigana na tulishapigana akanipeleka ofisi ya kata tukashauriwa Lakini hakuna mabadiliko
4.Ana Tabia ya kunipekua,,,kuna siku nilitegesha pesa chini ya meza akaichukua afu nikamwambia kuna pesa nimeangusha chumban Kama aliiona akakataaa katu Lakini mwishow amekubali
5.Huwa tunakosana Sana mpaka nikaanza kunywa pombe,,,Mara pengin nashinda nje usiku Lakini Naona haimugusi wala ushaur hakuna
6.Siku aliponiibia pesa benki akajitetea nyumban kwao kuwa hakuna natumia Jambo ambalo Halina ukwel,,,na wazazi wake wanamuunga mkono Hata nijieleze vipi
KILICHOTOKA SASA HIVI
1.Amekuwa akichukua kila pesa anayoiona kwangu,,,ndani Hata kweny akaunti ya mitandao yangu ya simu na kucheza nayo kamari
2.Amekuwa na madeni mengi ya nje hiyo pesa amepeka kweny kamari
3.Nimemshirikisha baba yake juu ya kuchukua pesa zangu kwa siri na madeni ya nje Lakini baba yake katulia tu
4.Tareh 10 kuchukua pesa iliyo ndani nilipomuuliza lawama hajui baadaye kakubali,,tarehe 11 kachukua pesa nyingin nikaumia Sana nikampigia usiku baba yake akaniambia nimpandishe kwenye gari na watot wake,,,mim nikaenda kunywa pombe asubuh nikamtaka aondoka na Arudishe pesa zangu,,,,,tukalumbana Sana mpaka nikachukua kisu mwishowe ameondoka na watot.
KESI HUKO KWAO
Ninahitaji kwenda KWAO nikajieleze na kuomba msamah kuwa nimemfukuza pamoja na watot,,,kumbuk watot wanatakiwa kwenda shule kesho
Naombeni ushaur jaman,,,,akili haifanyi Kazi mana Nataka tuachane Lakini nasi inakataa Sababu Nina watot Naye,,,nyumbani wanajua nimeoa hata kazin pia,,,,,,NAONA AIBU
Kwanza kwa nini unamzalisha mwanamke watoto wanne?

Upo kwenye mashindano?
 
Wanawake wa Kanda ya ziwa na kaskazini wana changamoto hizo sana. Pole mkuu. Kwa kifupi hizo tabia ni za familia yake. Huwezi pata msaada wowote toka kwa baba au Mama yake. Na usionyeshe weakness kuwa unawaza sana watoto. Watakusumbua sana (yeye na familia yake). Fanya kama unapotezea usitume matumizi.

Usinyenyekee kupata kiasi.
 
Yaani unakaa na mtoto wa watu 2014 hadi 2022 ndo umeenda kwao..!! Seriously???? Tena pamoja na viburi vyote hivyo, bado ukazaa naye watoto manne...!!!!! Kama hayo matabia yake ulimkuta nayo, kwanini ulizaa naye? Kwani kufunga ndoa kungekuongezea nini na umeishi naye miaka yote hiyo? Acha tu akili yako istaki
Kosa lao wote.
 
Back
Top Bottom