Ndugu naomba ushauri akili imestack

Ndugu naomba ushauri akili imestack

Ktk maisha yako zingatia vitu ambavyo ukivipoyeza havirudi tena , cha kwanza wazazi cha pili watato,
Kitu cha 3 ni ndugu zako kaka dada nk, hivi vingine vikikusumbua vipunguze,

Achanana huyo taka taka chukua watoto maisha yaende,
Unakaa na mwamke anaecheza kamali??

Umeanza kunywa pombe kisa mwanamke , fukuza kunguru
 
Kweli kabisa mwanaume na mji wako, mwenye maamuzi kamili unakubali kwenda kuamuliwa kesi yako na mke wako ukweni!!!!!!!!!!!😎😎😎😎

Acha mara moja kuhudhuria hicho kikao. Kama wanataka kikao cha wazazi nendeni kwa wazazi wako.

Lakini mpaka hapo.
1. Unalo jibu lakini hautaki tu kichukua hatua
2. Ngoja watoto wakue ukiwa na huyo mke utajuta kumfahamu.
3. Jifunze kufanya maamuzi, kweli yaweza kuwa haujui kusoma, lakini je hata picha kuitafsiri?
KESI HUKO KWAO
Ninahitaji kwenda KWAO nikajieleze na kuomba msamah kuwa nimemfukuza pamoja na watot,,,kumbuk watot wanatakiwa kwenda shule kesho
 
Br
Mimi Nina umri Miaka 38 sasa Nina mahusiano na mwanamke tangu mwaka 2014 na tumezaa watoto 4 kati ya hao 1 Mungu amemchukua na sasa Hivi tuna ambaye mwezi wa 10 atatimiza mwaka na wawili wapo shule darasa la 3 na 2.

Sijawahi kufika kwao tangu 2014 mpaka mwaka 2022 pale aliponiibia vitu vya ndani TV,pasi ya umeme, laptop,redio,baadhi ya vitambulisho vyangu,simu,blenda,Kadi ya benki,,,shs.477000 Kaitoa benki mana Anajua password.Kaondoka na watot pia!

Sababu za kutofika kwao

1.Umbali kikazi ulichangia mana
nilikuwa busy na uhamisho na mim pia kwetu sijaenda tangu 2017 Hadi 2021 kwa ajil ya Mazish

2.Huwa hatuelewani kwa Muda mrefu Katika mahusiano yetu mana Ana kiburi,madharau,akinikosea hajawahi kuomba msamah mpaka nitakapojirudi mwenyewe,,,hivyo nikawa na hofu kwamba itakuwaje Kama tutafunga ndoa Kama ktk Hali ya sasa yupo hivyo??

3. Hata akinikera hawezi kujishusha yupo tayari kupigana na tulishapigana akanipeleka ofisi ya kata tukashauriwa Lakini hakuna mabadiliko

4.Ana Tabia ya kunipekua,,,kuna siku nilitegesha pesa chini ya meza akaichukua afu nikamwambia kuna pesa nimeangusha chumban Kama aliiona akakataaa katu Lakini mwishow amekubali

5.Huwa tunakosana Sana mpaka nikaanza kunywa pombe,,,Mara pengin nashinda nje usiku Lakini Naona haimugusi wala ushaur hakuna

6.Siku aliponiibia pesa benki akajitetea nyumban kwao kuwa hakuna natumia Jambo ambalo Halina ukwel,,,na wazazi wake wanamuunga mkono Hata nijieleze vipi

KILICHOTOKA SASA HIVI
1.Amekuwa akichukua kila pesa anayoiona kwangu,,,ndani Hata kweny akaunti ya mitandao yangu ya simu na kucheza nayo kamari

2.Amekuwa na madeni mengi ya nje hiyo pesa amepeka kweny kamari

3.Nimemshirikisha baba yake juu ya kuchukua pesa zangu kwa siri na madeni ya nje Lakini baba yake katulia tu

4.Tareh 10 kuchukua pesa iliyo ndani nilipomuuliza lawama hajui baadaye kakubali,,tarehe 11 kachukua pesa
nyingin nikaumia Sana nikampigia usiku baba yake akaniambia nimpandishe kwenye gari na watot wake,,,mim nikaenda kunywa pombe asubuh nikamtaka aondoka na Arudishe pesa zangu,,,,,tukalumbana Sana mpaka nikachukua kisu mwishowe ameondoka na watot.

KESI HUKO KWAO
Ninahitaji kwenda KWAO nikajieleze na kuomba msamah kuwa nimemfukuza pamoja na watot,,,kumbuk watot wanatakiwa kwenda shule kesho

Naombeni ushaur jaman,,,,akili haifanyi Kazi mana Nataka tuachane Lakini nasi inakataa Sababu Nina watot Naye,,,nyumbani wanajua nimeoa hata kazin pia,,,,,,NAONA AIBU
Bro samahani kam nitakukosea...utakuja kuzeeka vibaya sana na huo mda hautapata nafas ya kushauriwa jamii forum....achana nae usimuoee ila ukijifanya kichwa ngumu hii text utaikumbuka hadi uzeeeni...tafta mwanamke mwingine oa
 
Aisee! Pole.

Wengine mjifunze, kitu cha msingi unaweza wasaidia watoto wako ni kuwatafutia “mama bora”

Mleta mada we ni tatizo zaidi, haya nenda huko kwao omba hiyo misamaha (sijui umekosea nini) ilimradi upewe watoto warudi kuendelea na shule.
Msamaha ni kwa sababu ameishi na mtoto wa watu almost miaka kumi bila kwenda kuwaona wazazi wake na kumzalisha juu,yapo makabila kwa kosa hilo wanatoza hadi faini.

So hata akienda leo hakitazungumzwa kitu mpaka aombe msamaha.
 
Kosa lao wote.
Hivi unajua ni miaka 18 wameishi bila mtu kuonekana kwa mwenzie na huyu mgandiwa akili naye hajonekana kwao toka 2017..!!??? Kwa maelezo hayo tu unaona ana akili kweli huyo?? Sawa, kosa lao wote, lakini aliyeomba ushauri ni huyu ambaye akili yake imestaki..! Kwa mwandiko ule, acha akili igande..!!
 
Hadi sasa mkeo kashakuwa kichwa cha familia, Umezubaa kidogo kakuvua vyeo sasa anakuendesha.
 
Mimi Nina umri Miaka 38 sasa Nina mahusiano na mwanamke tangu mwaka 2014 na tumezaa watoto 4 kati ya hao 1 Mungu amemchukua na sasa Hivi tuna ambaye mwezi wa 10 atatimiza mwaka na wawili wapo shule darasa la 3 na 2.

Sijawahi kufika kwao tangu 2014 mpaka mwaka 2022 pale aliponiibia vitu vya ndani TV,pasi ya umeme, laptop,redio,baadhi ya vitambulisho vyangu,simu,blenda,Kadi ya benki,,,shs.477000 Kaitoa benki mana Anajua password.Kaondoka na watot pia!

Sababu za kutofika kwao

1.Umbali kikazi ulichangia mana
nilikuwa busy na uhamisho na mim pia kwetu sijaenda tangu 2017 Hadi 2021 kwa ajil ya Mazish

2.Huwa hatuelewani kwa Muda mrefu Katika mahusiano yetu mana Ana kiburi,madharau,akinikosea hajawahi kuomba msamah mpaka nitakapojirudi mwenyewe,,,hivyo nikawa na hofu kwamba itakuwaje Kama tutafunga ndoa Kama ktk Hali ya sasa yupo hivyo??

3. Hata akinikera hawezi kujishusha yupo tayari kupigana na tulishapigana akanipeleka ofisi ya kata tukashauriwa Lakini hakuna mabadiliko

4.Ana Tabia ya kunipekua,,,kuna siku nilitegesha pesa chini ya meza akaichukua afu nikamwambia kuna pesa nimeangusha chumban Kama aliiona akakataaa katu Lakini mwishow amekubali

5.Huwa tunakosana Sana mpaka nikaanza kunywa pombe,,,Mara pengin nashinda nje usiku Lakini Naona haimugusi wala ushaur hakuna

6.Siku aliponiibia pesa benki akajitetea nyumban kwao kuwa hakuna matumizi Jambo ambalo Halina ukwel,,,na wazazi wake wanamuunga mkono Hata nijieleze vipi

KILICHOTOKA SASA HIVI
1.Amekuwa akichukua kila pesa anayoiona kwangu,,,ndani Hata kweny akaunti ya mitandao yangu ya simu na kucheza nayo kamari

2.Amekuwa na madeni mengi ya nje hiyo pesa amepeka kweny kamari

3.Nimemshirikisha baba yake juu ya kuchukua pesa zangu kwa siri na madeni ya nje Lakini baba yake katulia tu

4.Tareh 10 kuchukua pesa iliyo ndani nilipomuuliza lawama hajui baadaye kakubali,,tarehe 11 kachukua pesa
nyingin nikaumia Sana nikampigia usiku baba yake akaniambia nimpandishe kwenye gari na watot wake,,,mim nikaenda kunywa pombe asubuh nikamtaka aondoka na Arudishe pesa zangu,,,,,tukalumbana Sana mpaka nikachukua kisu mwishowe ameondoka na watot.

KESI HUKO KWAO
Ninahitajika kwenda KWAO nikajieleze na kuomba msamah kuwa nimemfukuza pamoja na watot,,,kumbuk watot wanatakiwa kwenda shule kesho

Naombeni ushaur jaman,,,,akili haifanyi Kazi mana Nataka tuachane Lakini nafsi inakataa Sababu Nina watot Naye,,,nyumbani wanajua nimeoa hata kazin pia,,,,,,NAONA AIBU
Kakuroga huyo mwanamke aisee
 
Back
Top Bottom