Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
Mbunge wa jimbo la mtama ndugu Nape Nnauye aliwahi kusema kuwa kifo cha rais Magufuli ni Mungu ndiye aliye amua ugomvi, swali langu kwake je, kifo cha Membe ni Mungu pia ameamua ugomvi dhidi ya ndugu Cyprian?
Fundisho: Tuchunge midomo yetu, tusiendeshwe na hisia zetu, tutumie akilizetu vyema ku control hisia zetu.
Nawatakia weekend njema, kwa upande wangu weekend imeanza vizuri sana.
Fundisho: Tuchunge midomo yetu, tusiendeshwe na hisia zetu, tutumie akilizetu vyema ku control hisia zetu.
Nawatakia weekend njema, kwa upande wangu weekend imeanza vizuri sana.