Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
- Thread starter
- #21
Nini🤔🤔🤔🤔🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nini🤔🤔🤔🤔🤔
Wanasema ugomvi umeamliwa?Mpaka muda huu nikisoma nyuzi zote hakuna anayesema R.I.P
Si vizuri kufurahia kifo cha mtu, tukumbuke kuwa kila mmoja lazima atakufa tu..
Kauli ni za kuchunga sana kwa kila mmoja wetu.....Sina mengi, walipokuwa wanalia wafiwa,wewe ulikuwa unashangilia.
Ulikosea, wamekushtaki kwa MWENYEZI Mungu..
Ahsante
Acha hizo, why aombe radhi, kwa dudumizi lile Mungu aliamua ugomviSina mengi, walipokuwa wanalia wafiwa,wewe ulikuwa unashangilia.
Ulikosea, wamekushtaki kwa MWENYEZI Mungu..
Ahsante
Unaijua karma wewe, mwache NAPE ashupaze shingo malipo ni hapa hapa Duniani. Mbinguni tunaenda kuchomwa moto tuTuacheni porojo. Waliokufa wamekufa sababu siku zao zilishafika.
Waliosema kauli zao walisema lakini hazina athari yeyote katika kuamua hatma ya wanaadamu wengine.
Kusema aseme Nape miaka 2 iliyopita kufa afe Membe jana. Bullshit.
Tatizo mnaangalia sana movie.Unaijua karma wewe, mwache NAPE ashupaze shingo malipo ni hapa hapa Duniani. Mbinguni tunaenda kuchomwa moto tu
Nyuzi zote hadi hii yako mkuuMpaka muda huu nikisoma nyuzi zote hakuna anayesema R.I.P