Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
Mzee wa series 3 td 320, unatumia kinywaji gani halali nikununulie? Leo weekend imekuwa poa sana.Leo kwenye kifo cha Membe kila mtu atakuwa nabii na mtoa maono na maonyo
Tumemtumia mpaka inboxMpaka huu msiba unaisha ndugu Nape atakula za uso hata kama hasomi nafsi itamkumbusha.
Umenikumbusha chuma yanguMzee wa series 3 td 320, unatumia kinywaji gani halali nikununulie? Leo weekend imekuwa poa sana.
Kufa ni faida kuishi ni Kristo mjukuu"Wazuri hawafi" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Majibu yanaonekana sasa.
kwahiyo Msiba aamue kulipa au afe deni liishe?angekufa mdaiwa sawa
warithi wapokwahiyo Msiba aamue kulipa au afe deni liishe?
Babuuuh hebu tulia kwani bas, leo tuko buzzy na team kachero.Kufa ni faida kuishi ni Kristo mjukuu
Bado ipo au umeiuza? Mimi nimeiuza kwasababu familia iligoma kutumia milango ya mbele kuingia kwenye siti za nyuma.Umenikumbusha chuma yangu
Kwa membe je?Kwa maana kwangu mimi kuishi ni Kristo, na kufa ni faida.
Wafilipi 1:21
π€π€π€π€π€Mbunge wa jimbo la mtama ndugu Nape Nnauye aliwahi kusema kuwa kifo cha rais Magufuli ni Mungu ndiye aliye amua ugomvi, swali langu kwake je, kifo cha Membe ni Mungu pia ameamua ugomvi dhidi ya ndugu Cyprian?
Fundisho: Tuchunge midomo yetu, tusiendeshwe na hisia zetu, tutumie akilizetu vyema ku control hisia zetu.
Nawatakia weekend njema, kwa upande wangu weekend imeanza vizuri sana.