Lissu akamatie hapohapo....Hizi siasa za kuchafuana utu kwa mambo ya kipuuzi, kumshushia mwenzako hadhi ya ubinadamu wake na huku ukijua alikotokea ni jambo la kipuuzi na linapaswa kukemewa hadharani.
Hii inanifanya niamini kuwa hukumu za jana ndani ya mahakama ya Kisutu zilikusudiwa kupangwa kisiasa.
Watanzania tunajua kuwa Tundu Lissu hakupenda kwenda kuishi huko Ulaya ambapo mnasema ana uraia. Kilichompeleka huko ni gharama za siasa zetu mufilisi za kuwa tayari kuua pale mnapokuwa hamkubaliani kwa hoja. Hivyo ni lazima tuwe na hofu ya Mungu maana Karma ni kweli!
Kitendo cha Polepole kumpakazia Tundu Lissu ushoga hadharani kwa kweli hakikubaliki. Alienda Ulaya kutibiwa baada ya kuumizwa na wasiopenda ushindani wa kisiasa! Kusema hivyo ni kukosa hoja mbadala za ushindani wa kisiasa na kutapelekea matatizo zaidi.
Nakuona unaongea kwa ukali kuhusu kada wenu aliyeuawa huko Njombe, kama wewe ulivyoumia basi kila mmoja wetu linapomfika tatizo anapata kipimo hicho hicho cha maumivu. Lazima tuheshimu uhai wa kila mmoja wetu! Nchi hii siyo ya bata na kuku! Ni ya watu wenye miili sawa, na kila mmoja wetu linapomfika tatizo huumia kwa kiwango kile kile kilichokuumiza wewe! Tafadhali sana!
Mtaanza kuja na ujinga wa kudhalilisha utu wa watu kwakuwa tu mnataka madaraka. Hilo kamwe halikubaliki. Tufanye siasa za hoja zikitolewa tuhuma zijibiwe bila kudhalilishana kwa kiwango unachopanga kufanya. Hiyo ndiyo maana halisi ya siasa.
Polepole, unakoelekea siko!
KWENYE USHOGA eeehLissu akamatie hapohapo....
Narudia Lissu kamatia hapohapo...KWENYE USHOGA eeeh
NARUDIA TENA CHADEMA MMESIMAMIA WAPI KWENYE SWALA LA USHOGA SISI CCM TUNAKEMA NA TUNAKATAAAAA USHOGA TANZANIANarudia Lissu kamatia hapohapo...
Wanaume hatuna chama.....tunaangalia mchezo kwa pembeni boya wewe....NARUDIA TENA CHADEMA MMESIMAMIA WAPI KWENYE SWALA LA USHOGA SISI CCM TUNAKEMA NA TUNAKATAAAAA USHOGA TANZANIA
Unaona sasa Mnapokosea kwa Hiyo CHADEMA Imekufaaa hahaha NDIO MAANA TUNASEMA CCM NI TAASISI Nyie Kachama ka Mbowe Kapo mfukoniYaani Lissu Vs CCM yote...Mungu amtie Nguvu..
Safari hii wanalo
HAHAHA HAYA WAFUASI WA LISSU MNASIMAMA WAPI KUHUSIANA NA USHOGA SISI WAFUSIA WA MAGUFULI TUNAKEMEA USHOGAAAAA NA KUUKATAA WAFUASI WA LISUUUU JEWanaume hatuna chama.....tunaangalia mchezo kwa pembeni boya wewe....
Huyu ni mmoja Kati ya waliotuharibia nchi yetu ,kwa kushauriana na m.kiti vibaya.Asitafute kichaka Cha kujificha awajibike kwa aliyoyafanya.Hizi siasa za kuchafuana utu kwa mambo ya kipuuzi, kumshushia mwenzako hadhi ya ubinadamu wake na huku ukijua alikotokea ni jambo la kipuuzi na linapaswa kukemewa hadharani.
Hii inanifanya niamini kuwa hukumu za jana ndani ya mahakama ya Kisutu zilikusudiwa kupangwa kisiasa.
Watanzania tunajua kuwa Tundu Lissu hakupenda kwenda kuishi huko Ulaya ambapo mnasema ana uraia. Kilichompeleka huko ni gharama za siasa zetu mufilisi za kuwa tayari kuua pale mnapokuwa hamkubaliani kwa hoja. Hivyo ni lazima tuwe na hofu ya Mungu maana Karma ni kweli!
Kitendo cha Polepole kumpakazia Tundu Lissu ushoga hadharani kwa kweli hakikubaliki. Alienda Ulaya kutibiwa baada ya kuumizwa na wasiopenda ushindani wa kisiasa! Kusema hivyo ni kukosa hoja mbadala za ushindani wa kisiasa na kutapelekea matatizo zaidi.
Nakuona unaongea kwa ukali kuhusu kada wenu aliyeuawa huko Njombe, kama wewe ulivyoumia basi kila mmoja wetu linapomfika tatizo anapata kipimo hicho hicho cha maumivu. Lazima tuheshimu uhai wa kila mmoja wetu! Nchi hii siyo ya bata na kuku! Ni ya watu wenye miili sawa, na kila mmoja wetu linapomfika tatizo huumia kwa kiwango kile kile kilichokuumiza wewe! Tafadhali sana!
Mtaanza kuja na ujinga wa kudhalilisha utu wa watu kwakuwa tu mnataka madaraka. Hilo kamwe halikubaliki. Tufanye siasa za hoja zikitolewa tuhuma zijibiwe bila kudhalilishana kwa kiwango unachopanga kufanya. Hiyo ndiyo maana halisi ya siasa.
Polepole, unakoelekea siko!
Hata PhD yake.Tuliwaambia mgombea wenu hauziki amkusikia Ni mweupe na mwepesi Sana kwenye reasoning kujenga hoja za ushawishi kulingana na eneo husika Sasa kijijini unazungumzia ndege, flyover, mabeberu hata awaelewi.Jiwe ajawahi shinda chochote bila kubebwa.
Polepole ni munafikiHizi siasa za kuchafuana utu kwa mambo ya kipuuzi, kumshushia mwenzako hadhi ya ubinadamu wake na huku ukijua alikotokea ni jambo la kipuuzi na linapaswa kukemewa hadharani.
Hii inanifanya niamini kuwa hukumu za jana ndani ya mahakama ya Kisutu zilikusudiwa kupangwa kisiasa.
Watanzania tunajua kuwa Tundu Lissu hakupenda kwenda kuishi huko Ulaya ambapo mnasema ana uraia. Kilichompeleka huko ni gharama za siasa zetu mufilisi za kuwa tayari kuua pale mnapokuwa hamkubaliani kwa hoja. Hivyo ni lazima tuwe na hofu ya Mungu maana Karma ni kweli!
Kitendo cha Polepole kumpakazia Tundu Lissu ushoga hadharani kwa kweli hakikubaliki. Alienda Ulaya kutibiwa baada ya kuumizwa na wasiopenda ushindani wa kisiasa! Kusema hivyo ni kukosa hoja mbadala za ushindani wa kisiasa na kutapelekea matatizo zaidi.
Nakuona unaongea kwa ukali kuhusu kada wenu aliyeuawa huko Njombe, kama wewe ulivyoumia basi kila mmoja wetu linapomfika tatizo anapata kipimo hicho hicho cha maumivu. Lazima tuheshimu uhai wa kila mmoja wetu! Nchi hii siyo ya bata na kuku! Ni ya watu wenye miili sawa, na kila mmoja wetu linapomfika tatizo huumia kwa kiwango kile kile kilichokuumiza wewe! Tafadhali sana!
Mtaanza kuja na ujinga wa kudhalilisha utu wa watu kwakuwa tu mnataka madaraka. Hilo kamwe halikubaliki. Tufanye siasa za hoja zikitolewa tuhuma zijibiwe bila kudhalilishana kwa kiwango unachopanga kufanya. Hiyo ndiyo maana halisi ya siasa.
Polepole, unakoelekea siko!
5 Days for this crechelism.....Ndo mmechochea moto wa MAPAMBANOUmenikumbusha Haji Manara na Jerry Muro!
Haya mambo ya ushoga msiyaendekeze sana yana madhara yasiyotarajiwa!
Mkuu uko sahihi. Lissu hana makandokando hapo ndo wanakwama. Ila ukiangalia body language ya Polepole leo unaona ni jinsi gani wanavyoteseka na Lissu, daah mpk matusi. Oooh Lissu ni Msukule, ni mlendamlenda yaani mambo ya ovyo kabisa kusemwa na msemaji wa chama kikubwa kama CCM. Hamna namna wafungashe watuachie ikulu yetu hatutawalipiza mabaya waliotutendeaLisu Hana kashfa yeyeto Ni clean sio fisadi, mwizi, mbinafsi, mdini, mkabila, mkanda, visasi, Ni mtu sahihi wa kutuvusha
Hii tume ambayo msingi wake mkubwa ni double standards...Tundu Lissu asiende tuone kitakochofanyika...Hizi siasa za kuchafuana utu kwa mambo ya kipuuzi, kumshushia mwenzako hadhi ya ubinadamu wake na huku ukijua alikotokea ni jambo la kipuuzi na linapaswa kukemewa hadharani.
Hii inanifanya niamini kuwa hukumu za jana ndani ya mahakama ya Kisutu zilikusudiwa kupangwa kisiasa.
Watanzania tunajua kuwa Tundu Lissu hakupenda kwenda kuishi huko Ulaya ambapo mnasema ana uraia. Kilichompeleka huko ni gharama za siasa zetu mufilisi za kuwa tayari kuua pale mnapokuwa hamkubaliani kwa hoja. Hivyo ni lazima tuwe na hofu ya Mungu maana Karma ni kweli!
Kitendo cha Polepole kumpakazia Tundu Lissu ushoga hadharani kwa kweli hakikubaliki. Alienda Ulaya kutibiwa baada ya kuumizwa na wasiopenda ushindani wa kisiasa! Kusema hivyo ni kukosa hoja mbadala za ushindani wa kisiasa na kutapelekea matatizo zaidi.
Nakuona unaongea kwa ukali kuhusu kada wenu aliyeuawa huko Njombe, kama wewe ulivyoumia basi kila mmoja wetu linapomfika tatizo anapata kipimo hicho hicho cha maumivu. Lazima tuheshimu uhai wa kila mmoja wetu! Nchi hii siyo ya bata na kuku! Ni ya watu wenye miili sawa, na kila mmoja wetu linapomfika tatizo huumia kwa kiwango kile kile kilichokuumiza wewe! Tafadhali sana!
Mtaanza kuja na ujinga wa kudhalilisha utu wa watu kwakuwa tu mnataka madaraka. Hilo kamwe halikubaliki. Tufanye siasa za hoja zikitolewa tuhuma zijibiwe bila kudhalilishana kwa kiwango unachopanga kufanya. Hiyo ndiyo maana halisi ya siasa.
Polepole, unakoelekea siko!
Walitegemea hoja ya sgr, ndege, flyover, mabeberu, corona ingewabeba Sasa hawana jipya la kuwaeleza wananchi zaidi ya hayo marudio ya miaka 5Mkuu uko sahihi. Lissu hana makandokando hapo ndo wanakwama. Ila ukiangalia body language ya Polepole leo unaona ni jinsi gani wanavyoteseka na Lissu, daah mpk matusi. Oooh Lissu ni Msukule, ni mlendamlenda yaani mambo ya ovyo kabisa kusemwa na msemaji wa chama kikubwa kama CCM. Hamna namna wafungashe watuachie ikulu yetu hatutawalipiza mabaya waliotutendea
PhD hata ukiwa na claiming capacity unaipata tu Sheria inahitaji reasoning capacityHata PhD yake.
The way uanvyoongea hapa unaonekana kama binaadam wa maana sana lakini mambo ya ovyo anayoongea Lissu kamwe hatutayakubali.Na hata kama kuna mpumbavu mwingine anayemuunga mkono naye hatumkubali hata kama ni wewe au mwingine.Bora abakie na huo ushoga wake lakini kitendo cha kusema ataweka mali zetu rehani ili tupate hiyo misaada ya watu wake hatutaki.Hizi siasa za kuchafuana utu kwa mambo ya kipuuzi, kumshushia mwenzako hadhi ya ubinadamu wake na huku ukijua alikotokea ni jambo la kipuuzi na linapaswa kukemewa hadharani.
Hii inanifanya niamini kuwa hukumu za jana ndani ya mahakama ya Kisutu zilikusudiwa kupangwa kisiasa.
Watanzania tunajua kuwa Tundu Lissu hakupenda kwenda kuishi huko Ulaya ambapo mnasema ana uraia. Kilichompeleka huko ni gharama za siasa zetu mufilisi za kuwa tayari kuua pale mnapokuwa hamkubaliani kwa hoja. Hivyo ni lazima tuwe na hofu ya Mungu maana Karma ni kweli!
Kitendo cha Polepole kumpakazia Tundu Lissu ushoga hadharani kwa kweli hakikubaliki. Alienda Ulaya kutibiwa baada ya kuumizwa na wasiopenda ushindani wa kisiasa! Kusema hivyo ni kukosa hoja mbadala za ushindani wa kisiasa na kutapelekea matatizo zaidi.
Nakuona unaongea kwa ukali kuhusu kada wenu aliyeuawa huko Njombe, kama wewe ulivyoumia basi kila mmoja wetu linapomfika tatizo anapata kipimo hicho hicho cha maumivu. Lazima tuheshimu uhai wa kila mmoja wetu! Nchi hii siyo ya bata na kuku! Ni ya watu wenye miili sawa, na kila mmoja wetu linapomfika tatizo huumia kwa kiwango kile kile kilichokuumiza wewe! Tafadhali sana!
Mtaanza kuja na ujinga wa kudhalilisha utu wa watu kwakuwa tu mnataka madaraka. Hilo kamwe halikubaliki. Tufanye siasa za hoja zikitolewa tuhuma zijibiwe bila kudhalilishana kwa kiwango unachopanga kufanya. Hiyo ndiyo maana halisi ya siasa.
Polepole, unakoelekea siko!