field marshall1
JF-Expert Member
- Sep 17, 2017
- 1,171
- 2,732
Wanatiwa mbaroni kwa kosa gani? Huo ndio uonevu tunaoongelea, anaua mtoto anakamatwa mama! au kaka, dada, mjomba etc. Yaani haya ni mambo ya Taliban na North Korea. Aliyefanya makosa mlimuua wa kazi gani wakati aliishiwa risasi na akanyoosha mikono juu? Ninyi polisi ni wapuuzi kweli, sasa mmekosa information.Ndugu wa kijana Hamza aliyeuwa polisi watatu na yeye kuuawa pale daraja la Salenda wametiwa mbaroni na polisi usiku huu.
Ndugu wote wamekamatwa na nyumba yao imefungwa na iko chini ya ulinzi.
sio kwa hawa polisi wetuBaadaye wakimaliza Upelelezi watasema ukweli wa Nini kilitokea!?
Kuhojiwa haimanishi kuwakata. Na unayemkamata ni lazima awe suspect.Kama shahidi wa kwanza ni marehemu, close relatives including family members watahojiwa, ni jambo la kawaida
Sasa hivi ukimuona police ukiita hamzaaa kwa sauti kubwa....hiyo speed yake kama jet[emoji16][emoji16]Sasa polisi walizidiwaje nguvu na raia mmoja, nimejua kwanini hii nchi inaogopa maandamano
This may be a tip of the iceberg.Polisi ni sehemu salama sana, waache wachukuliwe
Kwa uchunguzi ni jambo la kawaida ndugu marafiki kushikiliwa then uachiwa,sema kukaa sela pasipo hatia hapo ni tatizo ilifaa wakae hotelini.Wanasumbua wanafamilia bure, wao CCM mbona wanamjua vizuri?
Alitenda akiwa kada au binafsiHakuna gazeti lolote lililoandika kichwa hiki cha habari...."Kada wa chama tawala aliyeamua kula sahani moja na police."
Mbona ueleweki unamanisha nini? Unaseme yule jama moja alieùa police 4 na police 20 kuangaika kumua jama moja?Dar es Salaam.
Familia inayodaiwa kuwa ya mtu aliyepambana na polisi kuchukuliwa na jeshi hilo jana usiku kwa ajili ya mahojiano zaidi.
Kwahiyo unashauri hadi mwenyekiti wake wa chama taifa akamatwe?Wanasumbua wanafamilia bure, wao CCM mbona wanamjua vizuri?
Ndio,akamatwe na ahojiweKwahiyo unashauri hadi mwenyekiti wake wa chama taifa akamatwe?
All ze wei from somalia to ccm lumumba
View attachment 1908476
[/QUtOTE]
Hii Kitete itakuwa manispaa ya Tabora karibu na shule ya msingi ya Kitete.
Ni vema polisi wangelinda eneo lao kuliko kuwasweka rumande, wana kosa gani?
Ndugu wa kijana Hamza aliyeuwa polisi watatu na yeye kuuawa pale daraja la Salenda wametiwa mbaroni na polisi usiku huu.
Ndugu wote wamekamatwa na nyumba yao imefungwa na iko chini ya ulinzi.
Chanzo: Ayo tv
===
kutoka Upanga Dar es Salaam kwenye nyumba aliyokua akiishi Hamza, Mwanaume aliyefyatua risasi na kuwauwa Watu wanne leo Jijini Dar es salaam ( Askari Polisi watatu na Mlinzi wa Kampuni binafsi mmoja).
Polisi wameifunga nyumba hiyo na kuondoka na Ndugu wa Hamza kwenda nao Polisi usiku huu ambapo walifika hapa toka saa kumi na moja jioni, endelea kukaa karibu na AyoTV na Youtube ya millardayo kufahamu zaidi.
olisi wameifunga nyumba aliyokua akiishi Mwanaume aliyefyatua risasi leo na kuuwa wanne Dar es salam, baada ya kuifunga nyumba hii iliyopo Upanga Dar es salaam wameondoka pia na Ndugu wa Mtu huyo aitwae Hamza kwenda nao Polisi usiku huu pamoja na Pikipiki aliyokua akiitumia.
Hamza amekua gumzo leo hii Dar es salaam baada ya kuwaua kwa risasi Watu wanne leo na kujeruhi wengine sita, endelea kukaa karibu na Youtube ya millardayo kufahamu zaidi.