Ndugu wa Hamza, mhalifu aliyeua Askari Selander bridge watiwa mbaroni na polisi

Ndugu wa Hamza, mhalifu aliyeua Askari Selander bridge watiwa mbaroni na polisi

Hawajakurupuka wala hakuna mahala polisi wamesema ndugu wa Hamza ni waharifu. Kuwa chini ya ulinzi au kukamatwa haimaanishi mtu anatuhumiwa...
Kupitia familia yake kuna taarifa muhimu zinaweza kupatikana, mfano mfumo wa maisha yake kama yana historia ya uhalifu. Wapi anaweza kuwa amejifunza matumizi ya silaha.

Pamoja na kwamba alikuwa na mapungufu lakini inaonekana si haba katika kutumia silaha. Pia kupita familia yake tunaweza kupata taarifa za mahusiano yake na watu wengine ili kuweza kutambua kama uhalifu aliyofanya ni sehemu ya organized crime.

Kwa hiyo ni sahihi kabisa kwa polisi kumshikilia mtu yeyote mwenye mahusiano na Hamza kwa ajili ya kupata taarifa muhimu na hatua.
 
Sasa hukwenda kumkamata kwann mpaka anaua askari wenzako?
Sikuwepo maeneo ya mjini,nimekumbuka video moja ilisambaa mitandaoni ya magaidi wa msumbiji walituma salamu kwa jiwe akisema"nchi yako haina ulinzi kabisa,polisi wako ni weupe mno,nilituma vijana wangu wakiwa mikono mitupu na wakawapora askari wako silaha wakaja nazo" Leo ndio nimeyakumbuka haya maneno
 
Kuhojiwa ndugu wa karibu ni protocol.

Namna gani wataikamilisha hilo ni swala jingine. Ndugu siyo wahalifu ila wanaweza kutoa maelezo yatakayotoa jibu juu ya swala zima la culprit ama wanaweza wasiwe na hayo maelezo.

Nafikiri Tz hakuna taarifa za wananchi ndiyo maana inapotokea kama hivi inabidi zitumike means zote ili kupata majibu.
 
Sikuwepo maeneo ya mjini,nimekumbuka video moja ilisambaa mitandaoni ya magaidi wa msumbiji walituma salamu kwa jiwe akisema"nchi yako haina ulinzi kabisa,polisi wako ni weupe mno,nilituma vijana wangu wakiwa mikono mitupu na wakawapora askari wako silaha wakaja nazo" Leo ndio nimeyakumbuka haya maneno
Hao magaidi walituma salamu wakiwa wamejificha? Halafu kuhusu hao magaidi vipi mbona nao hukuwakamata? Au ulikuwa nje ya mji pia?
 
Ilikuwa ni lazima. Hata marafiki zake nao watatafutwa, hiyo ni njia tu ya upelelezi na kutaka kuujua ukweli.

Haishangazi
Wamkamate na johnthebaptist ni mwenzake.

2897930_1629921896157.jpeg.jpg
 
Hao magaidi walituma salamu wakiwa wamejificha? Halafu kuhusu hao magaidi vipi mbona nao hukuwakamata? Au ulikuwa nje ya mji pia?
Nakwambia walituma video clip wakiwa msumbiji.
Hata hivyo mimi kazi yangu si askari,walioajiriwa kwa ajili ya hiyo kazi waifanye kwa uweledi
 
Nakwambia walituma video clip wakiwa msumbiji.
Hata hivyo mimi kazi yangu si askari,walioajiriwa kwa ajili ya hiyo kazi waifanye kwa uweledi
Kama wewe sio askari mambo ya weledi wa kiaskari unaozungumzia na kutoa maelekezo humu umejifunzia au kuujulia wapi?
 
Ndio na yale madini polisi waseme yako wapi! Tamaa zitawamaliza mbwa nyie manjagu!
 
Kama wewe sio askari mambo ya weledi wa kiaskari unaozungumzia na kutoa maelekezo humu umejifunzia au kuujulia wapi?
Kushindwa kumkamata muhalifu ni alama ya waziwazi kabisa kwamba kuna tatizo la uweledi.
Wala haihitaji ukafundishwe kozi za uaskari ndio uweze kuona hilo tukio.
 
Or we can use a more appropriate sentence, ndugu wamechukuliwa na polisi kwa mahojiano.

Sina imani sana na weledi wa polisi katika kuchunguza tukio hili na ndio maana hata bosi wao ameshasababisha bias kwenye uchunguzi kwa kuhusisha na mambo yanayoendelea Msumbiji.
 
Achenikupindisha story wehu nyie

Akapige Ubalozi wa France umsaidie nini?

Jamaa mlimnyang'anya madini yake kaamu kuwaua,he was right

Acheni usenge
Eeeeeh!!!
Sasa ndio wanipa picha,
Mie nilisema mbona Marehemu ni kama ana msongo wa Mawazo au mtu aliyechanganyikiwa?? Na kwanini achague kuua Polisi tu?

Sasa naanza kuelewa.
 
Kama ni kweli huu ni upumbavu wa KUKURUPUKA. Ndugu kuwa mhalifu haina maana ndugu zake wote ni wahalifu labda kama kuna ushahidi wa uhalifu wa ndugu zake. Wakamate na maccm yote basi yaliyokuwa karibu na huyo muuaji.​

View attachment 1908450
Mbona unakurupuka kama vile uko period, nani kakwambia ndugu zake walokamatwa ni wahalifu? wamechukuliwa ili kusaidia uchunguzi na ikibainika kwamba hawana tuhuma zozote wataachiwa, lakini pia watasaidia kujua huyo mhalifu alikuwa ni mtu wa vipi. Kwa ufupi watasaidia sana tu, si kwamba wamechukuliwa kwa vile ni wahalifu
 
Kushindwa kumkamata muhalifu ni alama ya waziwazi kabisa kwamba kuna tatizo la uweledi.
Wala haihitaji ukafundishwe kozi za uaskari ndio uweze kuona hilo tukio.
Hujui lolote kuhusu uaskari, hujui ni mazingira gani wanafyatua risasi kwa nia ya kuua au wanafyatua kwa nia ya kukamata mhalifu akiwa hai. Ila upo unasema unayoyasema. Hahaha, mdomo wa binadamu huo.
 
Back
Top Bottom