Ndugu wa marehemu Sam wa Ukweli wamlaani aliyesema kafa kwa UKIMWI

we ulieish zote una nn??? tuache ubazazi bhna tupo ktk kipind cha majonz karibu SA
Cjasema nimeishi nchi zote... kuna watu wa mbele mi nimewajua baada ya wao kudanki....SA ntakaribia muda si muda
 
Naamini katika usawa wa binadamu, haki kwa wote, uadilifu, na mengineyo.

Lakini siamini katika usasili hata kidogo!
Aiseeh_ Basi sawa Mkuu.. Una point lakini Nina point Zaidi za kuniridhisha kuwa lazima kuna kitu kinaitwa Mungu Kwa namna yoyote ile na visa vya Uchawi vipo na vinaogofya. Imani ni kipimo kikuu cha ushindi na inavyoonekana Imani yako imekuepusha na mengi_
 
Cjasema nimeishi nchi zote... kuna watu wa mbele mi nimewajua baada ya wao kudanki....SA ntakaribia muda si muda
poa ucjali.ila umeona umuhimu wa kukaa na watu wa mataifa?? unawajua tabia zao kiundan na namn ya kuish nao
 
poa ucjali.ila umeona umuhimu wa kukaa na watu wa mataifa?? unawajua tabia zao kiundan na namn ya kuish nao
Ndo hivyo mkubwa..pia kuna baadhi ya mambo unajifunza toka kwao...
Bst wshs [emoji113] [emoji113] [emoji113]
 
Reactions: Gef
noted mkuu
 
aisee stooopppp it yatosha tuko kwenye maombolezo jamani
 
Mbona kwenye wimbo wake amesema wazi amekufa na ukimwi? hata hivyo producer ameeleza alicho ambiwa na marehemu kuwa ana ukimwi wa kurogwa....
Hao ndugu badala ya kumshauri kutumia dawa wao wakampeleka kwa mganga wajinga hawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…