Clinically ukimwi haujwahi kuua mtu...Bali magonjwa nyemelezi hivyo hata kama alikuwa na HIV hii haimaanishi Sam kafariki kwa HIV....sababu HIV kazi yake ni kupambana na kushusha kinga ya mwili then magonjwa nyemelezi kitaalamu wanaita opportunists disease ndio yanaua kama maralia, mafua, amiba, typhod e.t.c and not HIV.
Kwa hiyo mshkaji kafariki kwa maralia na sio ukimwi na ukimwi hajawahi kuua mtu hata siku moja kwa hili tusiusingizie.
Marehemu Sam amekufa Kwa maralia na UTI na sio HIV.
Hope you are in better place Sam.
Tangulia Sam, tunakuja!