Lakini yeye ndio alimsimulia producer maradhi yake..Ndugu wa marehemu Sam wa Ukweli wamemjia juu producer wa muziki ambaye alikuwa wa kwanza usiku wa jana kutoa taarifa za kifo cha ndugu yao kinyume na taratibu huku akitangaza kuwa marehemu alikuwa anaugua ugonjwa wa UKIMWI wa kurogwa.
Ndugu wa marehemu Sam wa Ukweli wamesema kuwa marehemu amekufa kwa Malaria na UTI na magonjwa hayo yameanza kumsumbua tangu Ijumaa ya wiki iliyopita baada ya kuwasili kutoka Singida alikoenda kwenye show.
Ndo ukimwi wenyewe HuoMalaria na Pressure ni magonjwa yanayoongoza kwa kusingiziwa
Umeshawai kupima VVU?Ukimwi kuuzungumzia ni mwiko na ni aibu!!...Huwezi kutatua tatizo ambalo huwezi hata kulizungumzia!!....Afrika bhana!!....ni kweli we are shithole countries!!
True, nahisi ana matatizo yule ni kitu cha ajabu sanAkwa upeo wake wa kufikiri aliona kuwa amefanya poa "" Mkuu.."" mtu timamu hawezi kutoa kauli kama ile wakati "" mtu bado yupo hospital "" alipaswa kusema daktari kilichomuua Sam "" nikipi " nasio yeye""....
Umeongea point kubwa sanaYeye kusema ni jambo moja, na hizo media je zilishindwa ku edit?
Au aliposti kwenye mitandao?
Ya pampas nimeiskia huko whatsapp skutaka kuiaminiWimbo wake wa mwisho kasema kuwa anaumwa ukimwi wa kutengenezwa
Ndugu zake wanabweka bure tu aliugua siku nyingi wakati producer ndo amemfia mikononi na hakutaka hata nduguze wajue kuwa yu mahututi, mshkaji mpaka anamfunga pampas jamani huyu kaka abarikiwe tu kwa msaada wake kumfunga mtu mzima pampas ni moyo wa kipekee sana mnaomlaumu producer nawashangaa sana
Apumzike mahali pema
Umenena kitaalamu sana, HIV hushusha kinga ya mwili, kinga ikishuka mtu anakuwa na upungufu wa kinga (UKIMWI), ambao upelekea magonjwa nyemelezi (opportunistic disease), na haya ndo hupelekea kifo. Hakuna ugonjwa unaoitwa UKIMWI unaoweza kumuua mtu.Clinically ukimwi haujwahi kuua mtu...Bali magonjwa nyemelezi hivyo hata kama alikuwa na HIV hii haimaanishi Sam kafariki kwa HIV....sababu HIV kazi yake ni kupambana na kushusha kinga ya mwili then magonjwa nyemelezi kitaalamu wanaita opportunists disease ndio yanaua kama maralia, mafua, amiba, typhod e.t.c and not HIV.
Kwa hiyo mshkaji kafariki kwa maralia na sio ukimwi na ukimwi hajawahi kuua mtu hata siku moja kwa hili tusiusingizie.
Marehemu Sam amekufa Kwa maralia na UTI na sio HIV.
Hope you are in better place Sam.
Tangulia Sam, tunakuja!
Kwa watu wa maktaba, Biblia wanaicategorise kma general literature. Ni kitabu cha historia ya wananisraeli na Mungu wao and nothing else.Uchawi haupo. Kama upo nirogeni!
Hivyo unavyoviita vitabu vya dini ni mkusanyo wa riwaya tu.
Mimi nimesoma islamic seminary kun sheikh alikua anatembea na biblia katika kila page aliyosoma akiona hakimpendezi anazungushia pen nyekundu afu anaandika OONGO nkKwa watu wa maktaba, Biblia wanaicategorise kma general literature. Ni kitabu cha historia ya wananisraeli na Mungu wao and nothing else.
Kwahiyo unataka umwambieji Ali Choki?Bendi ya Twangapepeta ndio wameisha kabisaa....
humu JF? sio watu hawakupendi umekuwa unaandika shits siku za karibuni watu hawakawii kukuchana!Imani potofu za kijinga na kipumbavu tu.
Uchawi haupo!
Ungekuwepo basi mimi ningekuwa nimesharogwa zamani sana maana wanaopenda nitokewe na mabaya ni wengi!
Aisee!Uchawi haupo. Kama upo nirogeni!
Hivyo unavyoviita vitabu vya dini ni mkusanyo wa riwaya tu.
Hiyo ni kawaida mtu akifa lazima akumbukwe, hata wewe inawezekana ukawa na jirani ambaye siyo rafiki yako ila akifa utashiriki msiba wake inawezekana hata kaburi ukashiriki kumchimbia.Kifo cha Sam wa ukweli kinanitatanisha sana hasa kwa hizi media kupiga nyimbo zake baada ya kufa wakati alivyokuwa hai tulikuwa hatusikii kama sio unafiki ni nini?
Sasa utarogwaje nahio fake IDUchawi haupo! Kilichopo ni dhana ya kufikirika tu na ndo maana hakuna anayeweza kuniroga!