Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
Acha ujinga wewe watu wote hao walale chumba kimoja walichoachiwa na huyo bodaboda?Ni meshindwa kuweka kichwa cha habari vizuri ila mtaelewa kuhuu mada hii. kijana anapoingia kujitafuta na mwenzake pande hizo mbili mnageuza studio p funk majani kila mtu kuja ijalishi mwenzenu ana vyumba vingani.
kuna kijana hapa bodaboda ana chumba kimoja yani katembelewa na mama mkwe ,dada,kaka,watoto wa mjomba inabidi yeye hakeshe kijiweni sababu chumba kimoja.
nimeogopa kuweka kabila italeta ugonvi.we utembei tu ungeona maajabuAcha ujinga wewe watu wote hao walale chumba kimoja walichoachiwa na huyo bodaboda?
Mh seriously?wa wapi hao?Siku hizi watu wameacha kutembelea ndugu zao hata kama wamefanikiwa kuwa na maisha mazuri, wanakula milo minne ya maana hakuna wa kuwatembelea. Maisha yamebadilika sana, ukioa utabaki na mke wako, watoto wako na kijakazi wenu mkila maisha kwenye jumba lenu la kifahari huko mliko. Ndugu wamechoka masimango na kuonekana ni mzigo
Aluta kontuanua hakuna kuringishiana nakusimangana sahizi.tumekubaliana kukutana misibani tu.Siku hizi watu wameacha kutembelea ndugu zao hata kama wamefanikiwa kuwa na maisha mazuri, wanakula milo minne ya maana hakuna wa kuwatembelea. Maisha yamebadilika sana, ukioa utabaki na mke wako, watoto wako na kijakazi wenu mkila maisha kwenye jumba lenu la kifahari huko mliko. Ndugu wamechoka masimango na kuonekana ni mzigo
Kipohamna kitu cha hivyo acha unafki
Shida iko kwa Bodaboda... .tunaswma boda boda boda hawana akili wanakuja kudhalilisha ndugu zao kwa ujinga wanajiona wametoboamjini.Ni meshindwa kuweka kichwa cha habari vizuri ila mtaelewa kuhusu mada hii. Kijana anapoingia kujitafuta na mwenzake pande hizo mbili mnageuza studio p funk majani kila mtu kuja ijalishi mwenzenu ana vyumba vingapi.
Kuna kijana hapa bodaboda ana chumba kimoja yani katembelewa na mama mkwe ,dada, kaka, watoto wa mjomba inabidi yeye aakeshe kijiweni sababu chumba kimoja.
Vijana wakiwa Dar wanapiga simu kijijini wanajifanya maisha mazuri.....Ndugu wakija sasa inakua aibu.Yamekukuta mzee mwenzangu mpaka unaandika kama vile una kwikwi ππ ndio ukubwa jisoti utafute room mbili makwe ndio ameshatua huyo.
Ukipenda boga penda na ua lake mwanangu, hapo bado mdogp mtu anajiandaa kuja maana dada amepata bwana mjini nao wameshatoka hivyo.
Ukiona hivyo, kijana huyo ndo tajiri wa familia.Ni meshindwa kuweka kichwa cha habari vizuri ila mtaelewa kuhusu mada hii. Kijana anapoingia kujitafuta na mwenzake pande hizo mbili mnageuza studio p funk majani kila mtu kuja ijalishi mwenzenu ana vyumba vingapi.
Kuna kijana hapa bodaboda ana chumba kimoja yani katembelewa na mama mkwe ,dada, kaka, watoto wa mjomba inabidi yeye aakeshe kijiweni sababu chumba kimoja.
watakuwa ni Waha wa Kigoma hao ndio wenye tabia za ujamaanimeogopa kuweka kabila italeta ugonvi.we utembei tu ungeona maajabu