Ndugu wana JF nimeamua leo mapema ni-rest in peace mapema

R.I.P. (rest in peace) ni kufa. Unatutangazia kifo chako. Huu ni uchuro isije ikatokea kweli.
 
Attack on Finland.
niko macho sanaaa
 
Kwa hiyo unataka kusema na huyu naye ni suala tu la siku mbili, tatu! Tutakula ubwabwa?
Nimegundua jamii ya hapa hawana Umakini kwenye nadharia ya lugha, na usahihi wa lugha adhim ya kiswahili.
 
Vumilia tu mkuu hata ukifa huko uendako nasikia hali ni ngumu kuliko hata huku duniani[emoji1787]
Walioko huko wanatamani kurudi ila hakuna njia
We vumilia tu hizi tozo
 
Unaona sifa usilipende sana Hilo neno R.I.P wanatamkiwa wafu

Komaa utakipata unachokitafuta
 
R. I. P
 
REST IN PEACE,
hili neno sio sawa kumtamkia marehemu! Hata BAKITA watakubaliana na mm.

hili nalo lina utata, kwamba;
Mungu ailaze mah..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…