Ndugu wana JF nimeamua leo mapema ni-rest in peace mapema

Ndugu wana JF nimeamua leo mapema ni-rest in peace mapema

Ndugu wana JF nimeamua leo ni-REST IN PEACE MAPEMA,kwa nini nimechukua uamuzi huu?

Kwa sababu niliamka mapema sana saa 11 asubui nikaenda mazoezin,then baadae nikajiandaa kwenda job,
Kutokana na uchovu wa leo wa kuamka mapema na kufika kazini kukuta kazi,nyingi za kampuni,

Nimefanya kwa juhudi kubwa na kuitumikia kampuni sasa nimerudi home nikiwa Nimechoka sana, hapa,nimeoga nimekula sasa nimeamua ni rest in peace
Nipumzike kwa amani.
Yani nijipumzishe mapema tu hili kesho pia niamke mapema Kuelekea kazini..!! [emoji848]

#RestInPeace
R.I.P. (rest in peace) ni kufa. Unatutangazia kifo chako. Huu ni uchuro isije ikatokea kweli.
 
Attack on Finland.
DSC_0397.JPG

niko macho sanaaa
 
Kwa hiyo unataka kusema na huyu naye ni suala tu la siku mbili, tatu! Tutakula ubwabwa?
Nimegundua jamii ya hapa hawana Umakini kwenye nadharia ya lugha, na usahihi wa lugha adhim ya kiswahili.
 
Ndugu wana JF nimeamua leo ni-REST IN PEACE MAPEMA,kwa nini nimechukua uamuzi huu?

Kwa sababu niliamka mapema sana saa 11 asubui nikaenda mazoezin,then baadae nikajiandaa kwenda job,
Kutokana na uchovu wa leo wa kuamka mapema na kufika kazini kukuta kazi,nyingi za kampuni,

Nimefanya kwa juhudi kubwa na kuitumikia kampuni sasa nimerudi home nikiwa Nimechoka sana, hapa,nimeoga nimekula sasa nimeamua ni rest in peace
Nipumzike kwa amani.
Yani nijipumzishe mapema tu hili kesho pia niamke mapema Kuelekea kazini..!! [emoji848]

#RestInPeace
Vumilia tu mkuu hata ukifa huko uendako nasikia hali ni ngumu kuliko hata huku duniani[emoji1787]
Walioko huko wanatamani kurudi ila hakuna njia
We vumilia tu hizi tozo
 
Ndugu wana JF nimeamua leo ni-REST IN PEACE MAPEMA,kwa nini nimechukua uamuzi huu?

Kwa sababu niliamka mapema sana saa 11 asubui nikaenda mazoezin,then baadae nikajiandaa kwenda job,
Kutokana na uchovu wa leo wa kuamka mapema na kufika kazini kukuta kazi,nyingi za kampuni,

Nimefanya kwa juhudi kubwa na kuitumikia kampuni sasa nimerudi home nikiwa Nimechoka sana, hapa,nimeoga nimekula sasa nimeamua ni rest in peace
Nipumzike kwa amani.
Yani nijipumzishe mapema tu hili kesho pia niamke mapema Kuelekea kazini..!! [emoji848]

#RestInPeace
Unaona sifa usilipende sana Hilo neno R.I.P wanatamkiwa wafu

Komaa utakipata unachokitafuta
 
Ndugu wana JF nimeamua leo ni-REST IN PEACE MAPEMA,kwa nini nimechukua uamuzi huu?

Kwa sababu niliamka mapema sana saa 11 asubui nikaenda mazoezin,then baadae nikajiandaa kwenda job,
Kutokana na uchovu wa leo wa kuamka mapema na kufika kazini kukuta kazi,nyingi za kampuni,

Nimefanya kwa juhudi kubwa na kuitumikia kampuni sasa nimerudi home nikiwa Nimechoka sana, hapa,nimeoga nimekula sasa nimeamua ni rest in peace
Nipumzike kwa amani.
Yani nijipumzishe mapema tu hili kesho pia niamke mapema Kuelekea kazini..!! [emoji848]

#RestInPeace
R. I. P
 
REST IN PEACE,
hili neno sio sawa kumtamkia marehemu! Hata BAKITA watakubaliana na mm.

hili nalo lina utata, kwamba;
Mungu ailaze mah..
 
Back
Top Bottom