Ndugu wana lawama sana

Ndugu wana lawama sana

Kuna mahali umeandika " NIKAMPA MTAJI ". sasa kama mtaji ulimpa hata faida nayo niyakwake sema umemnyang'anya faida na mtaji...

Maelezo yako tuu yameshakufunga hata akikusema ni sawa.

Ungesema nilimkopa mtaji na kisha nikachukua na riba yangu...
Kiongozi wataka tuelezane neno Kwa neno, ukisoma hicho kifungu Cha maneno huwez kupata picha kuwa nimemaanisha Nini?

Sa Nilimkopa mtaji ndo Nini? Emu nenda kwenye mada bhana acha kukompliketisha mambo.

Wewe hujaelewa au unataka ubishi tu? Makubaliano yalikuwa nimpe mtaji afanyie kazi, sio nimkopeshe
 
Kiongozi wataka tuelezane neno Kwa neno, ukisoma hicho kifungu Cha maneno huwez kupata picha kuwa nimemaanisha Nini?

Sa Nilimkopa mtaji ndo Nini? Emu nenda kwenye mada bhana acha kukompliketisha mambo.

Wewe hujaelewa au unataka ubishi tu? Makubaliano yalikuwa nimpe mtaji afanyie kazi, sio nimkopeshe
Hivi kuumpa mtu mtaji maana yake nini? Pengine mimi mgumu kuelewa mambo madogo
 
Makubaliano Yenu Yalikuaje Kwani?Mara ya Kwanza Faida Kiduchu Mkagawana Nusu Kwa Nusu Hukuona Ubaya Wa Ndugu,,,Mara ya Pili Mambo Yameenda Poa Ukakiuka Makubaliano ya Nusu Kwa Nusu,,Ndugu amekuwa mbaya.
Ilikuwa ni ela ndogo saana, nikampa tu ili aweze kununua Walau chochote.. hii Sasa hivi imekuja Hiyo nikaona huko kiasi kinatosha kabsa Kwa yy kutokana na kazi aliyofanya
 
Aslaam,

Hakika huu msemo wa ndugu lawama una maana kwelikweli,

Niliamua kumshirikisha ndugu yangu kwenye kupambana na maisha.

Nikampa wazo lakufanyia biashara ya mazao, akakubali nikampa mtaji tukaanza kununua na baadae kuuza.

Baada ya mauzo mi nikatoa mtaji faida iliyopatikana ilikuwa ndogo saana ikanibidi niigawe kati, nusu nikampa yeye nusu nyingine nikabaki nayo.

Baadae msimu wazao lingine ulipofika, nikampa mtaji mwingine akanunua baadae tukauza.

Baada ya mauzo faida ikaja kama 3M, nikachukue 1.3M nikampa.

Aaaah dogo hakuridhika akaenda kunisemea kwa wazazi kuwa tulikubaliana faida ikipatikana tugawane nusu Kwa nusu imekuwaje nimempa kidogo?

Wakati huo kuna sehemu nimenunua mzigo zaida ya wakwake na nimempa laki 5 tumemalizana.

Nimeamua kumtua dogo nipambane na wabaki tu.
Na hawo watu baki ufanye nao makubaliano kwa maandishi tofauti na hapo watapita na mtaji wenyewe
 
Bado kuna misscall, zaidi ya 10 kila siku na sio kuuliza angalau mwili wako utakuja lini tuupokee.
Kizinga tena🥲
Mimi wakinipigiaga naliaga kama mbuzi meeeh meeeh meeh na sauti ya kujamba mbrrrr mbrrr kuwakatisha tamaa wasinisumbue lakini waapii yani mfulululizo wa mzinga ya hataree.

Magonjwa Mtambuka 😡 Chaliifrancisco (uumbwaaa)

Nyau de adriz
 
Hizo biashara za nusu kwa nusu,mnawezaje? Fanya biashara yako mwenyewe biashara za kushirikisha watu kwa miadi ya kugawana faida ni kirusi kinachokuwa taratibu.
 
ukipewa lift hutakiwi kulalamikia spidi ya gari

sioni mahali dogo kaonewa

dogo hajui unyenyekevu
Ahadi deni
Ukihaidi kuwa utamlipa nusu ya faida, timiza ahadi

Ndio mana walivyopata kidogo, dogo hakulalamika

Jamaa kapata tamaa alipopata pakubwa

Sasa dogo anafidia kidogo alichopata last time kwa kazi kubwa.
 
Back
Top Bottom