Bodhichitta
JF-Expert Member
- Jul 1, 2015
- 315
- 762
- Thread starter
-
- #41
Kiongozi wataka tuelezane neno Kwa neno, ukisoma hicho kifungu Cha maneno huwez kupata picha kuwa nimemaanisha Nini?Kuna mahali umeandika " NIKAMPA MTAJI ". sasa kama mtaji ulimpa hata faida nayo niyakwake sema umemnyang'anya faida na mtaji...
Maelezo yako tuu yameshakufunga hata akikusema ni sawa.
Ungesema nilimkopa mtaji na kisha nikachukua na riba yangu...
Hivi kuumpa mtu mtaji maana yake nini? Pengine mimi mgumu kuelewa mambo madogoKiongozi wataka tuelezane neno Kwa neno, ukisoma hicho kifungu Cha maneno huwez kupata picha kuwa nimemaanisha Nini?
Sa Nilimkopa mtaji ndo Nini? Emu nenda kwenye mada bhana acha kukompliketisha mambo.
Wewe hujaelewa au unataka ubishi tu? Makubaliano yalikuwa nimpe mtaji afanyie kazi, sio nimkopeshe
Ni kweli we nimgumu kuelewa,Hivi kuumpa mtu mtaji maana yake nini? Pengine mimi mgumu kuelewa mambo madogo
Ilikuwa ni ela ndogo saana, nikampa tu ili aweze kununua Walau chochote.. hii Sasa hivi imekuja Hiyo nikaona huko kiasi kinatosha kabsa Kwa yy kutokana na kazi aliyofanyaMakubaliano Yenu Yalikuaje Kwani?Mara ya Kwanza Faida Kiduchu Mkagawana Nusu Kwa Nusu Hukuona Ubaya Wa Ndugu,,,Mara ya Pili Mambo Yameenda Poa Ukakiuka Makubaliano ya Nusu Kwa Nusu,,Ndugu amekuwa mbaya.
Na hawo watu baki ufanye nao makubaliano kwa maandishi tofauti na hapo watapita na mtaji wenyeweAslaam,
Hakika huu msemo wa ndugu lawama una maana kwelikweli,
Niliamua kumshirikisha ndugu yangu kwenye kupambana na maisha.
Nikampa wazo lakufanyia biashara ya mazao, akakubali nikampa mtaji tukaanza kununua na baadae kuuza.
Baada ya mauzo mi nikatoa mtaji faida iliyopatikana ilikuwa ndogo saana ikanibidi niigawe kati, nusu nikampa yeye nusu nyingine nikabaki nayo.
Baadae msimu wazao lingine ulipofika, nikampa mtaji mwingine akanunua baadae tukauza.
Baada ya mauzo faida ikaja kama 3M, nikachukue 1.3M nikampa.
Aaaah dogo hakuridhika akaenda kunisemea kwa wazazi kuwa tulikubaliana faida ikipatikana tugawane nusu Kwa nusu imekuwaje nimempa kidogo?
Wakati huo kuna sehemu nimenunua mzigo zaida ya wakwake na nimempa laki 5 tumemalizana.
Nimeamua kumtua dogo nipambane na wabaki tu.
Mimi wakinipigiaga naliaga kama mbuzi meeeh meeeh meeh na sauti ya kujamba mbrrrr mbrrr kuwakatisha tamaa wasinisumbue lakini waapii yani mfulululizo wa mzinga ya hataree.Bado kuna misscall, zaidi ya 10 kila siku na sio kuuliza angalau mwili wako utakuja lini tuupokee.
Kizinga tena🥲
ukipewa lift hutakiwi kulalamikia spidi ya gariWewe ni dhulumati, mlikubaliana nusu kwa nusu, mpe haki yake dogo
Ahadi deniukipewa lift hutakiwi kulalamikia spidi ya gari
sioni mahali dogo kaonewa
dogo hajui unyenyekevu