Ndugu wananiita mchawi wakati walilelewa na baba yangu mzazi

Miaka 37 Bado Unaishi Nyumban Kwa Wazazi?
1. Unalishwa?
2. Hauna Kazi, Uko Busy Na Chama?
3. Unamshtaki Mzee Halaf Unaishi Kwakwe?
4. Unamshauri Mamaako Akomae Na Chama Kuliko Ndoa Yake?
5. Unamshauri Mama Ako Avunje Ndoa Coz Li Chama?
6. Unamshaur Mama Adai Talaka Ili Upate Mgao Wa Mali Kptia Mama?
7. Unaleta Sheria Zako Kwenye Mji Usiokua Wako (nyumban Kwenu)
= Mzee Hajakosea Kukufukuza Kama Mbwa Koko. Na Hao Ndgu Wamekupa Jina Dogo (mchawi), Wangelikuita Mzimu Kabisa..
 
Miaka 37 still unataka urudi home siyo bure wewe NI MCHAWI
 
Kaombe ushauri kwa boss wa chama chako..
 
Mwanaume miaka hiyo huna mtoto.
Vipi ndugu yetu unatumia vidonge vya uzazi ,vijiti ama?
 
Dingi alikuwa anatafuta namna ya kukutoa ukajifunze maisha akili ipevuke, umekua kiumri ila kiakili bado. Kwa umri wako, hata serikali ya mitaa wakaona hauko timamu.

Acha kujenga uadui kati ya watu waliokuwa pamoja na kusaka maisha wote hadi uzeeni, hao ni marafiki. Na mama yako hata hajarogwa, kakuona mpumbavu, na labda mzee wako, kamwambia ukweli, kijana ameshakua NGOJA MAISHA YAMCHAPE APATE AKILI, USIMDEKEZE. Ndio maana unaona mama yako naye kala kimya.

Kuwa graduate kusikuzuzue, ujione wewe ndio wewe, mjini ishu ni pesa. Haijalishi umeipata kivulin au juani, hela haina Alama ya jasho. Jichanganye, piga dili lolote, jimix na watafutaji tena wa kawaida, utaingia ktk ramani tu.

Kubwa zaidi, Weka shingo yako kwa MUNGU atakufanikisha.
 
Tafuta hela ili usione unanyanyasika,babako anakufundisha kutafuta hela bado huelewi,umebaki kutaka mama ako aachwe upate mali,mkuu huo ni ujinga tafuta hela
Baba anamanyanyaso zana yule mzee
 
Hivi we jamaa upo timamu kweli? Ungekuwa ndugu yangu, ningekutoa kafara tu familia ipate hela.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] dah
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ we mleta Uzi una mambo ya ovyo Kama mtaa usio na mjumbe khaa!!
 
Mkuu yaani wewe utakuwa muongo,ila kama ni kweli basi una tatizo kubwa
 
Umetumia njia ndefu Sana kuomba kazi.
 
Mi sijasoma uzi wako ila achana nao vinabo tu hao.
 
Hao ofisi ya kata ulipoenda kushtaki walikwambia kitu cha muhimu sana na kama ungekizingatia ungekuwa umeshafanikiwa .....Walikwambia huna akili timamu...hivyo ungekaa na kutafakari angalau ungezitafuta hizo akili timamu maana kweli huna.
 
Umetumia njia ndefu Sana kuomba kazi.
Mkuu ni Mataga mwenzio huyo lakini na ameeleza ametimuliwa home sababu ya umataga, hauna koneksheni ya hapo Lumumba apate hizo buku saba saba?
 
Mkuu ni Mataga mwenzio huyo lakini na ameeleza ametimuliwa home sababu ya umataga, hauna koneksheni ya hapo Lumumba apate hizo buku saba saba?
Duh, mkuu siko Lumumba Wala Mimi sio matege.
 
Yani wewe ni mtu wa ajabu sana unamshauri mzazi wako aondoke kwa mume wake dunia simama nishuke kaoe na wewe ili ujue raha ya ndoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…