Ndugu wananiita mchawi wakati walilelewa na baba yangu mzazi

Nilipoona paragraph ya kuonyesha wewe ni mwanaume, nikachoka ghafla.
1. Kwa umri wako huo unamshawishi mama aombe talaka ili mkaishi wote! Unaishije na mke wa mtu?
2. Hiyo degree yako ni uchafu tu. Nenda kaichome maana haijakukomboa kabisa.
3. Hebu umshukuru baba yako kwa kukufukuza hapo nyumbani. Pengine akili yako itapata akili kidogo, maana hujielewi bado.
 
Kwa hakika kwa kutumia parameter zote nadhani hauko sawa na nadhani tatizo lako liko katika malezi. Nahisi huyo mama yako hajawahi kukupenda isipokuwa amekuwa akijipendekeza kwako ili awe mwema kwako na baba yako awe mbaya sana na hii hutokea katika familia zetu nyingi tu za kiafrika. Kwa ushauri wangu kama huna radhi za mmoja wa wazazi wako hutokuja kuishi kwa raha na kufurahia maisha hata kama utakuwa raisi wa nhi. Mimi sio mkristu lakini kuna sehemu kwenye bibilia inasema waheshimu baba na mama upate miaka mingi na heri duniani. Wala hawakusema baba au mama aliyekutendea vizuri tu ndo umuheshimu au aliyekujengea ghorofa labda. Kama mzazi wako hakutimiza wajibu wake atahukumiwa na muumba na sio wewe. Ukianza kutamani mali za ndoa kugawana mwishowe utaulizwa kwanini usiolewe wewe ili udai talaka vizuri na kwa uhuru. Na hata ingetokea wazazi wako wakachana na kugawana mali na si mahari kama ulivyoandika, basi mali hizo ni za mama yako na sio zako. Wanaokuona hauko timamu nadhani wako sahihi.
 
Pole sana mkuu.
Umejaribu kuongea na CCM labda, wakusaidie?
 
Miaka 37 lakini kula kulala na degree mkononi!!
Si hivyo tu unakula njama utenganishe ndoa ya wazazi wako.
Mzazi akiwa na mtoto kama wewe ni hasara tu.
Maelezo yote uliyojaza hapa yanakuonyesha ulivyo na matatizo kichwani
Aliyekwambia kuwa wewe ni mchawi hajakosea, wewe ni zaidi ya mchawi
 
Kwa haya maelezo uliyotoa huwezi pata connection hata kidogo , mbona unaonekana Kama huna akili vizuri tu
 
Wewe kweli mchawi😂😂😂😂😂 yaani unataka mama yako na baba yako waachane ili wagawane mali halafu mama yako akupe mtaji!!!!???
Seriously??
 
Hawezi pewa kazi huyu
 
Naungana na viongozi wa kata kwamba huna akili timamu
Kuna uzi umeleta juzijuzi ukisema una milioni sijui kumi unataka kujenga, nilikuzuzua pale kwa uongo wako leo hii umekuja tena kutuonyesha ulivyo chizi kichwani
 
Izi degree za udsm wawe wanawapima ata mkojo watu wa kuwapa.we jamaa ata ushauri siwezi kukupa ntaonekana akili kama zako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…