Ndugu watanganyika ninaombeni mumsamehe Luhaga Mpina kwa kupima samaki kwa rula, kila mwanadamu ana mapungufu yake

Ndugu watanganyika ninaombeni mumsamehe Luhaga Mpina kwa kupima samaki kwa rula, kila mwanadamu ana mapungufu yake

mtwa mkulu

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2013
Posts
8,586
Reaction score
11,227
Ndugu zangu watanganyika,
Tumebaki yatima tusio na malezi kwenye hii nyika,
Tumetelekezwa kama bendi ýa Lesi wanyika, tumesahaulika,

Nakuja kwenu kwa unyenyekevu mwingi kumuombea msamaha Luhaga mpina mbunge wa kisesa kwenu. Hakika japo hajakili alilo lifanya lilikuwa na mapungufu makubwa kwetu watanganyika. Lakini ndiye mtu pekee anayeweza kutusemea kwa sasa. Ni mtu pekee aliye hatarisha maisha yake kwaajili yetu watanganyika.

Naombeni tumtie moyo katika safari yake. Isiishie njiani kama rafiki yake Deo filikunjombe. Tupate mawasiliano yake na tumtie nguvu wakati wote. Na muhimu kumshauri kwakuwa ni binadamu hawezi kuwa na ufanisi wa asilimia miamoja.
Nawaombeni sana mumsamehe. Waungwana husamehe. Wana CCM kama mimi wenye misimamo mikali tumsamehe, wana CHADEMA mumsamehe

Naombeni kuwasilisha.
download (8).jpeg

download (9).jpeg
 
Mpina ana hoja nzito sana siku hizi, hayo mambo ya kupima samaki kwa rula yalishapitwa na wakati.
 
nakazia na ili tumsamehe mama kwa kuambiwa faida itakayopatikana bandarini huku akisainishwa mkataba.
 
Ndugu zangu watanganyika,
Tumebaki yatima tusio na malezi kwenye hii nyika,
Tumetelekezwa kama bendi ýa Lesi wanyika, tumesahaulika,

Nakuja kwenu kwa unyenyekevu mwingi kumuombea msamaha Luhaga mpina mbunge wa kisesa kwenu. Hakika japo hajakili alilo lifanya lilikuwa na mapungufu makubwa kwetu watanganyika. Lakini ndiye mtu pekee anayeweza kutusemea kwa sasa. Ni mtu pekee aliye hatarisha maisha yake kwaajili yetu watanganyika.

Naombeni tumtie moyo katika safari yake. Isiishie njiani kama rafiki yake Deo filikunjombe. Tupate mawasiliano yake na tumtie nguvu wakati wote. Na muhimu kumshauri kwakuwa ni binadamu hawezi kuwa na ufanisi wa asilimia miamoja.
Nawaombeni sana mumsamehe. Waungwana husamehe. Wana CCM kama mimi wenye misimamo mikali tumsamehe, wana CHADEMA mumsamehe

Naombeni kuwasilisha.View attachment 2666001
View attachment 2666002
Tumsamehe kwa kosa gani? Kwani kupima samaki ni dhambi?
Mbona tunapokwenda kununua samaki, iwe feri pale, au kwenye mabucha, ni lazima wauzaji wawapime hao samaki?
Kwa hiyo, kila tukinunua samaki, tuwaombee msamaha hao wanaotuuzia?
 
Tumsamehe kwa kosa gani? Kwani kupima samaki ni dhambi?
Mbona tunapokwenda kununua samaki, iwe feri pale, au kwenye mabucha, ni lazima wauzaji wawapime hao samaki?
Kwa hiyo, kila tukinunua samaki, tuwaombee msamaha hao wanaotuuzia?
Labda hukuwepo zama zile
 
Nilikuwepo mzee wangu. Na ninakumbuka sana jinsi mhesimiwa mpina alivyoingia kwenye canteen ya bunge letu tukufu na kuchomoa rula mfukoni na kuanza kupima samaki waliokuwa tayari wamepikwa na kupakuliwa kwenye sahani tayari kwa kuliwa.

Sasa kosa lake hapo ni lipi?
Nakuomba umsamehe mkuu Tanganyika ni yetu sote
 
Kupima Samaki ni sheria , Wala usidhan alikosea, ni sheria inataka ivo.


Hawa waswahili wakikoswa majibu, ndio huamia huko
 
Tushapigwa na kitu kizito, wazenji wanachekelea, utasikia " machogo washaliwa"
 
Na bado
Mtajuta Sana,
Wasaliti msio na shukurani
 
Ndugu zangu watanganyika,
Tumebaki yatima tusio na malezi kwenye hii nyika,
Tumetelekezwa kama bendi ýa Lesi wanyika, tumesahaulika,

Nakuja kwenu kwa unyenyekevu mwingi kumuombea msamaha Luhaga mpina mbunge wa kisesa kwenu. Hakika japo hajakili alilo lifanya lilikuwa na mapungufu makubwa kwetu watanganyika. Lakini ndiye mtu pekee anayeweza kutusemea kwa sasa. Ni mtu pekee aliye hatarisha maisha yake kwaajili yetu watanganyika.

Naombeni tumtie moyo katika safari yake. Isiishie njiani kama rafiki yake Deo filikunjombe. Tupate mawasiliano yake na tumtie nguvu wakati wote. Na muhimu kumshauri kwakuwa ni binadamu hawezi kuwa na ufanisi wa asilimia miamoja.
Nawaombeni sana mumsamehe. Waungwana husamehe. Wana CCM kama mimi wenye misimamo mikali tumsamehe, wana CHADEMA mumsamehe

Naombeni kuwasilisha.View attachment 2666001
View attachment 2666002
Mh. Mpina is a good boy and I like him, lakini kwenye suala la Bandari amekuwa misdirected!
 
Watanzania bwana, ukiwajulia km nbowe lazima uwe bilionea.........ni wajingawajingaaaa. Eti mpina ni mzalendo🤣🤣🤣🤣🤣
 

Attachments

  • IMG-20230623-WA0016.jpg
    IMG-20230623-WA0016.jpg
    31.5 KB · Views: 2
Ndugu zangu watanganyika,
Tumebaki yatima tusio na malezi kwenye hii nyika,
Tumetelekezwa kama bendi ýa Lesi wanyika, tumesahaulika,

Nakuja kwenu kwa unyenyekevu mwingi kumuombea msamaha Luhaga mpina mbunge wa kisesa kwenu. Hakika japo hajakili alilo lifanya lilikuwa na mapungufu makubwa kwetu watanganyika. Lakini ndiye mtu pekee anayeweza kutusemea kwa sasa. Ni mtu pekee aliye hatarisha maisha yake kwaajili yetu watanganyika.

Naombeni tumtie moyo katika safari yake. Isiishie njiani kama rafiki yake Deo filikunjombe. Tupate mawasiliano yake na tumtie nguvu wakati wote. Na muhimu kumshauri kwakuwa ni binadamu hawezi kuwa na ufanisi wa asilimia miamoja.
Nawaombeni sana mumsamehe. Waungwana husamehe. Wana CCM kama mimi wenye misimamo mikali tumsamehe, wana CHADEMA mumsamehe

Naombeni kuwasilisha.View attachment 2666001
View attachment 2666002

Mtu yoyote aliyeshirikiana na dhalimu kutuumiza hata aje na hoja gani siwezi kumuunga mkono. Huu mchezo wa kusamehe hawa wahuni wataendelea kuumiza watu wakijua fika watakuja kuombewa Misamaha ya kimagumashi kisha watasamehewa kirahisi. Hakuna kusamehe muhuni anayepiga kelele kisa katolewa kwenye ulaji.
 
Back
Top Bottom