Okay, na hilo eneo ni wapi, Dar, Dodoma, Arusha? Kuna mtu alisema Arusha hizo Tshs 200 ni kiwanja kimoja!Usiwekeze kwenye kilimo usiwekeze kwenye daladala.
Nunua ardhi sehemu potential ambapo ardhi ni ghali angalau eka moja kwa milioni 10 unapata eka 20.Zisajili kata viwanja panga mitaa chonga barabara weka nguzo za tanesco kila plot,weka plot number hapo hapo fungua ofisi huku ukianza mradi wa matofali na vifaa vya ujenzi.Anza kuviuza viwanja hivyo kwa cash na Mkopo KILA eka moja gawa viwanja 6 uza milioni 10 KILA kiwanja so heka moja unapata milioni 60 so kwa heka 20 utapata bilioni 1.2 unaendelea kununua mashamba mengine kwa plan hiyo hiyo.Ndani ya miaka 2 sio wewe tena.
Real estate ukiijulia inalipa sana.
Hii aina stress wala hasara we Kazi yako ni kuwapigia tu simu wateja.
Hakuna kupewa hati bila kumaliza kulipa, unaruhusiwa kujenga huku ukiendelea kulipa sharti vifaa vya ujenzi ununue kwangu.
Ndio hao jamaa yangu anasema wanaitwa come easy go easy, hawawi serious na hizo hela kwa kuwa hakuna risk factor!Alijisemea wa ukae akili za kuambiwa changanya na zako, Kuna washiliki wa bigbrother walishinda mipesa wapo wapi? Mmoja juz alikuja kwenye msiba wa ndugu yake, hata Mimi mchovu naafazari.
Hapa ndo Tanzania broMkuu, kuacha kazi sio uamuzi wangu, ni sharti la sponsor! I give you USD 100,000 only if you are willing to quit your job and seriously pursue business, commit to it. You cant have both, your job and the USD 100,000.
Hujawahi fanya biashara ndio maana. Hapo una hofu kibao ya kushindwa. Sikuambii ni ipi. Nakushauri tafuta mtu aliyefanikiwa katika biashara na unaemumini awe mentor wako. Hela zipo katika biashara ndugu. Na hiyo biashara ni ile ambayo mwenyewe unashiriki sio ambao hujui chochote.Ndio mawazo yangu. Lakini hiyo bashara ni biashara gani basi? Nina mtaji nataka niingie huko.
Changamsha akili bro🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ni milioni Mkuu. Actually amesema atanipa USD 100,000.
Exactly! Nina hofu kubwa mno ya kufeli. Nina mke na watoto wadogoHujawahi fanya biashara ndio maana. Hapo una hofu kibao ya kushindwa. Sikuambii ni ipi. Nakushauri tafuta mtu aliyefanikiwa katika biashara na unaemumini awe mentor wako. Hela zipo katika biashara ndugu. Na hiyo biashara ni ile ambayo mwenyewe unashiriki sio ambao hujui chochote.
Arusha na Dar ndio Tza.Pengine huko plot zipo chini sana.Okay, na hilo eneo ni wapi, Dar, Dodoma, Arusha? Kuna mtu alisema Arusha hizo Tshs 200 ni kiwanja kimoja!
Get bonds za benki kuu hazina kufeli hizoExactly! Nina hofu kubwa mno ya kufeli. Nina mke na watoto wadogo
Sijamwomba. In fact yeye anaona kama ananisaidia kutoka utumwa wa kuajiriwa hadi kuzeeka. Anasema hakuna mtu Tanzania anakuwa tajiri na kufanikiwa kwa mshahara. Lazima awe ni mwizi, mla rushwa au fisadi, na anajua mie ufisadi siwezi kufanya na hata hivyo kazi yangu sio ya kufanya ufisadi au rushwa hata ningetaka. Sana sana nikijiongeza ni trip ya mikoani ya kikazi na sio nyingi, labda mbili au tatu kwa mwaka.Changamsha akili bro
Kwani kakushikia bastola?!
Kwani ulimuomba?
Hii ni fursa ya wewe kutoka kimaisha itumie vizuri kwa namna inayokufurahisha na kukunifaisha wewe zaidi
Niache kazi kwani nilikuambia siipendi kazi yangu
Angejua hajui wallahy!
Kanunulie woh bus Cruser ya utalii mil 190 ndani ya miezi sita ela inarudi yote utalii ni hot sana gari ikienda kazin inalaza mil 5 kwa wiki nunua hio hautajutia mkuuMara nyingi nimetetea uraia pacha ili wana Diaspora wapewe nafasi za kuwekeza nchini. Sababu kubwa ya kufanya hivyo ni kwamba nina ndugu yangu huko nje alichukua uraia wa huko, na sasa anasema inakuwa vigumu kuwekeza Tanzania kwa kuwa yeye sio raia tena wa Tanzania.
Sasa juzi hapa kanishauri niachane na kazi za kuajiriwa (mshahara wangu ni kama Tshs 1.5m kwa kwenzi). Ananiambia yuko tayari kunipa mtaji wa Tshs 200m kwa shart moja tu, niachane na kazi ya kuajiriwa ili nijikite kwenye kuzitumia hizo Tshs 200m zizalishe. Kaniambia hatanipangia cha kufanya, ni juu yangu, na kwamba kama nikizipoteza pia ni juu yangu, wala hatanidai. Ila hataki anipe hizo hela huku naendelea na kazi ya kuajiriwa.
Naombeni ushauri - kwanza kama ni wazo zuri mie kuacha kazi kwa hiyo Tshs 200m, na kama ndivyo nikiacha kazi nizitumie kwenye biashara gani? Nikiacha kazi, nina mafao yangu ya kama Tshs 70m, kwa hiyo nitakuwa na jumla ya kama Tshs 270m, lakini bado sielewi nifanye shughuli gani. Kilimo? Daladala? Nyumba? Biashara ya mazao? Niziweke tu benki niwe nachukua interest? Au niendelee tu na kazi yangu ya kuajiriwa yenye uhakika wa mshahara kila mwezi?
Mashine za ku-crush kokoto!Project namba tu kwamba kufunga crusher ya kusaga mawe kupata kokoto na Changarawe nje nakuwa karibu na macontractor ikiwemo kuwapa tip na commission KILA wakipata Kazi nawasambazia kokoto za ujenzi.
Basi jitafakariSijamwomba. In fact yeye anaona kama ananisaidia kutoka utumwa wa kuajiriwa hadi kuzeeka. Anasema hakuna mtu Tanzania anakuwa tajiri na kufanikiwa kwa mshahara. Lazima awe ni mwizi, mla rushwa au fisadi, na anajua mie ufisadi siwezi kufanya na hata hivyo kazi yangu sio ya kufanya ufisadi au rushwa hata ningetaka. Sana sana nikijiongeza ni trip ya mikoani ya kikazi na sio nyingi, labda mbili au tatu kwa mwaka.
Muoneni hili jingaMara nyingi nimetetea uraia pacha ili wana Diaspora wapewe nafasi za kuwekeza nchini. Sababu kubwa ya kufanya hivyo ni kwamba nina ndugu yangu huko nje alichukua uraia wa huko, na sasa anasema inakuwa vigumu kuwekeza Tanzania kwa kuwa yeye sio raia tena wa Tanzania.
Sasa juzi hapa kanishauri niachane na kazi za kuajiriwa (mshahara wangu ni kama Tshs 1.5m kwa kwenzi). Ananiambia yuko tayari kunipa mtaji wa Tshs 200m kwa shart moja tu, niachane na kazi ya kuajiriwa ili nijikite kwenye kuzitumia hizo Tshs 200m zizalishe. Kaniambia hatanipangia cha kufanya, ni juu yangu, na kwamba kama nikizipoteza pia ni juu yangu, wala hatanidai. Ila hataki anipe hizo hela huku naendelea na kazi ya kuajiriwa.
Naombeni ushauri - kwanza kama ni wazo zuri mie kuacha kazi kwa hiyo Tshs 200m, na kama ndivyo nikiacha kazi nizitumie kwenye biashara gani? Nikiacha kazi, nina mafao yangu ya kama Tshs 70m, kwa hiyo nitakuwa na jumla ya kama Tshs 270m, lakini bado sielewi nifanye shughuli gani. Kilimo? Daladala? Nyumba? Biashara ya mazao? Niziweke tu benki niwe nachukua interest? Au niendelee tu na kazi yangu ya kuajiriwa yenye uhakika wa mshahara kila mwezi?