Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Habarini za leo,
Naomba kuuliza ndugu zangu.
Ndugu yangu amepata skolashipu ya kwenda kusomea Ukraine.
Alikua anauliza gharama za maisha zikoje na hali ya maisha kiujumla.
Anatakiwa kuripoti mwezi huu, yeye amechaguliwa March intake.
ππππππππ
Mwambie aangalie TBC kuna ndege ya Eitisi inaenda kurudisha wabongo walioko huko. Mshauri aende kuwapokea eapoti siku ya kurudi awaulize hayo maswaliHabarini za leo,
Naomba kuuliza ndugu zangu.
Ndugu yangu amepata skolashipu ya kwenda kusomea Ukraine.
Alikua anauliza gharama za maisha zikoje na hali ya maisha kiujumla.
Anatakiwa kuripoti mwezi huu, yeye amechaguliwa March intake.
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Swali la kijinga sana umeuliza. Aende kwani gharama ni ndogo kama kwetu Kiabakari-Butiama, Mara. Si zaidi ya laki 2 kwa mwaka.Habarini za leo,
Naomba kuuliza ndugu zangu.
Ndugu yangu amepata skolashipu ya kwenda kusomea Ukraine.
Alikua anauliza gharama za maisha zikoje na hali ya maisha kiujumla.
Anatakiwa kuripoti mwezi huu, yeye amechaguliwa March intake.
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Amechaguliwa kusomea Uchumi mkuuBSc. in War Administration?
Nilijua kuna walioshi huko mkuuSwali la kijinga sana umeuliza. Aende kwani gharama ni ndogo kama kwetu Kiabakari-Butiama, Mara. Si zaidi ya laki 2 kwa mwaka.
Mwambie aangalie Al jazeera news, atapata anachokitakaHabarini za leo,
Naomba kuuliza ndugu zangu.
Ndugu yangu amepata skolashipu ya kwenda kusomea Ukraine.
Alikua anauliza gharama za maisha zikoje na hali ya maisha kiujumla.
Anatakiwa kuripoti mwezi huu, yeye amechaguliwa March intake.
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
sawa ngoja nimdokezeMwambie aangalie Al jazeera news, atapata anachokitaka
π€£π€£π€£Gharama sio kubwa akanunue bunduki kuubwa tayari keshapata kianzio
Huyu mkuu hayupo seriously kabisa.π€£π€£π€£
Kwa hali inayoendelea huko, naona ametoa wazo zuri tena la muhimuHuyu mkuu hayupo seriously kabisa.
sawaKwa hali inayoendelea huko, naona ametoa wazo zuri tena la muhimu
πππππkwanini mkuu kwahiyo arudiMwambie aache mambo ya ajabu
Keshokutwa tena aanze kutusumbua kutuuliza jinsi ya kurudi bongo kwa mguuπππππkwanini mkuu kwahiyo arudi
πππππππππππKeshokutwa tena aanze kutusumbua kutuuliza jinsi ya kurudi bongo kwa mguu
HahahahahahahhBSc. in War Administration?
HahahahahahMwambie aangalie TBC kuna ndege ya Eitisi inaenda kurudisha wabongo walioko huko. Mshauri aende kuwapokea eapoti siku ya kurudi awaulize hayo maswali