Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushahidi kuhusu mgawo wa mali upo kwenye muhtasari wa kikao cha ukoo lakini hatukuweza kwenda kufungua shauri la mirathi mahakamani.Je huu muhtasari una nguvu yoyote kisheria na pia naweza kuutumia kama ushahidi?Daah, muda mwingine Undugu kazi sana!!...Mpaka kikao kinatoa maamuzi hayo hakukuwa na ushahidi wa maandish juu ya mgawanyo huo wa mali za mzee.?
Asante kwa ushauri mkuu. Ubarikiwe sanaMuhtasari wa kikao kilichofanya maamuzi ya ugawaji mali za marehemu ndio utakaokuwa ulinzi wako,kama kikao kilifanyika kienyeji mtafute mwanasheria umuelezee waitwe hata ndugu walioshuhudua huo ugawaji,then akuongoze kufungua shauri mahakamani la kumshtaki kama hatamwelewa mwanasheria wako
Kama muhtasari wa kikao cha ndugu upo na msimamizi wa mirathi aliyeteuliwa yupo hai na yupo upande wako sioni athari yoyote zaidi ya huyo nduguyo kukupotezea muda na rasilimali tu.Ndio nimewashirikisha baadhi akiwemo baba yetu mkubwa ambaye aliteuliwa kuwa msimamizi wa mirathi na ndugu wengine baadhi lakini sio wote
Nakala ya muhtasari wa kikao ninayo mkuu lakini mahakamani hatukwenda kwa sababu sikutegemea kama siku moja yangejitokeza hayaUna nakala ya kikao kilichofanya mgawanyo wa mali? Mlipitia mahakamani?
Fuata taratibu za kuwasilisha nyaraka za zako na za kifo cha baba yako mahakamani, maliza huo mgogoro kabla ndugu wengine hawajalingana nae wakakudhulumu
Huyo ndugu yako anaweza akawa mlevi lakini asiwe mjinga!
Kila kitu kipo kama nilivyoeleza na kikao cha mirathi kilikaa na nakala ya muhtasari wa hicho kikao ninayoWeka namba yako ya simu usaidiwe kwa urahisi zaidi!!
Kama maelezo yapo hivyo hivyo, kwamba hujabakisha wala kuongeza basi KESI YAKO NI LAINI MNO.....
NB: kikao cha mirathi kilikaa?
Tafuta cheti cha kifo cha babako, uwe na cheti chako cha kuzaliwa, na hiyo nakala ya kikao... Nenda mahakama ya mwanzo watakuelekeza cha kufanya. Hakikisha mnamalizia kila kitu mahakamani ikiwa ni pamoja na kuuza na kugawana vilivyobakiNakala ya muhtasari wa kikao ninayo mkuu lakini mahakamani hatukwenda kwa sababu sikutegemea kama siku moja yangejitokeza haya
Asante kwa ushauri mkuu. Ngoja nianze huo mchakatoTafuta cheti cha kifo cha babako, uwe na cheti chako cha kuzaliwa, na hiyo nakala ya kikao... Nenda mahakama ya mwanzo watakuelekeza cha kufanya. Hakikisha mnamalizia kila kitu mahakamani ikiwa ni pamoja na kuuza na kugawana vilivyobaki
Hizo document toa copy na scan uzisave sehemu tofautitofauti. Usishangae siku ukazitafuta ulikozihifadhi na kuzikosa
Mkuu hakuna nilichoficha. Mi pia hii hali imenishangaza sana ila nadhani huyo ndugu yangu ameamua kufanya hivyo kutokana na ugumu wa maisha alionao.Mbna kama una vitu unaficha inawezekana vp kaka yako atoke tu huko aanze kusema kiwanja chenu wote
Heb tueleze kuna kingine nyuma ya pazia
Ubarikiwe kwa ushauri mkuuKikao cha wanandugu hakihusiki kugawa Mali, chenyewe kina husika kuteua msimamizi wa mirathi ambae baadae atakwenda Mahakamani kuthibitishwa. Baada ya hapo kazi yake inakuwa kugawa Mali kwa wanao stahili.
Ushauri wangu, nenda kwa wanasheria watakusaidia kumaliza tatizo lako.
Wahi kamshitaki mashahidi si unao(ndugu waliokaa kwenye kikao cha mgawanyo wa mali za mrehemu) Usisubiri akuwahi wewe maana utaenda mahakamani kama mshitakiwa.Nashukuru kwa kibwagizo cha wimbo lakini ingekuwa vizuri endapo ungenishauri kwa chochote atleast nipate pa kuanzia
Vyema kama nakala zipo...Kama walivyotangulia kukushauri wajumbe huko juu jitahidi kufata hatua za kisheria .Ushahidi kuhusu mgawo wa mali upo kwenye muhtasari wa kikao cha ukoo lakini hatukuweza kwenda kufungua shauri la mirathi mahakamani.Je huu muhtasari una nguvu yoyote kisheria na pia naweza kuutumia kama ushahidi?
Maadhimio ya kikao cha mirathi yatakulindaNashukuru kwa kibwagizo cha wimbo lakini ingekuwa vizuri endapo ungenishauri kwa chochote atleast nipate pa kuanzia