Ndugu yangu anataka kwenda kutafuta maisha Uingereza kwa gia ya kuingia kama mkimbizi. Je, atafanikiwa?

Ndugu yangu anataka kwenda kutafuta maisha Uingereza kwa gia ya kuingia kama mkimbizi. Je, atafanikiwa?

Rangooo

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2022
Posts
243
Reaction score
408
Habari zenu ndugu, Nina ndugu Yangu anafikiria kwenda kutafta maisha Uingereza kwa kufata taratbu zote yan kwa passport, visa na kila kitu, ila njia anayotaka kuitumia ni kwanza kuhakikisha anafika katika kambi ya wakimbizi huko uingereza.

Chengine ni kuwa amesoma na ana degree yake ya uhasibu aliyoipata mzumbe, anaamin hiyo inaweza ikawa gia nzuri ya yeye kutoboa but hana plan nyingne yoyote ile nyingne zaid ya hyo, hvyo tukashauriana kwa pamoja tuanzishe huu mjadala humu JF, kwa yeyote yule aliye na uzoefu ama ana ndugu alishwahi fika huko aweze tupa mawazo zaidi nini cha kufanya.

Asanteni, nakaribisha hoja.
 
Kwenda kujilipua kwa mabeberu!,kidding mkuu..maisha popote na mpe Hamasaki kama ameamua kutimiza ndoto yake, muhimu tena nasisitiza muhimu ni LAZIMA ajiandaee kisaokolojia kichwani mwake, akiinua mguu wake kupiga hatua ya kwanza kwenda kiwanja, huwa hakuna kurudi nyuma, hata kama kurudi nyuma ni kunusuru maisha ,yalioko mbele ya safari ndio ya kupigana nayo, mpe high five zangu na good luck kwake!
 
Akitaka kwenda anistue na mm bora labda maisha yang yamewekwa huko nije kuyachukua huku kila kitu ni kwa mbinde
 
Ukishaomba visa kupitia ubalozini kujilipua ni ngumu sana haswa kwa Raia wa Tanzania. Sababu data zako zote kabla ya kufika Uingereza wanazo na wakichukua vidole zitaonyesha,vilevile Uingereza hakuna kambi ya wakimbizi.Nina uhakika na ninayosema kwa sababu nimeshawahi kufanya kazi na NGO moja inayodeal na mambo ya wakimbizi,ajaribu njia nyingine.
 
Uingereza haiwezekani, huwezi kuomba visa ya uingereza halafu ukifika ujilipue

mwambie aende Japan! Ndio inawakubali watu wa hivyo, ila tatizo lao wajapan hawakupi malazi wala chakula na mwanzoni wanakupa permit ya miezi mitatu mitatu,ambayo haikuruhuru kufanya kazi, hapo ndio akili itakukaa sawa, kama huna mtu wa kukupa hifadhi kwa muda huo ni ngumu kuweza kuyamudu maisha.

Na unaweza pewa miezi mitatu mitatu hata mara tatu, ndio wanakupa ya miezi sita sita ya kuweza kufanya kazi, nayo ukishakaa miaka 5 wanakutaka uondoke nchini kwao.
All the best.
 
Habari zenu ndugu, Nina ndugu Yangu anafikiria kwenda kutafta maisha Uingereza kwa kufata taratbu zote yan kwa passport, visa na kila kitu, ila njia anayotaka kuitumia ni kwanza kuhakikisha anafika katika kambi ya wakimbizi huko uingereza.

Chengine ni kuwa amesoma na ana degree yake ya uhasibu aliyoipata mzumbe, anaamin hiyo inaweza ikawa gia nzuri ya yeye kutoboa but hana plan nyingne yoyote ile nyingne zaid ya hyo, hvyo tukashauriana kwa pamoja tuanzishe huu mjadala humu JF, kwa yeyote yule aliye na uzoefu ama ana ndugu alishwahi fika huko aweze tupa mawazo zaidi nini cha kufanya.

Asanteni, nakaribisha hoja.
Mshauri ajaribu Saud Arabia au Iran.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Kwanza kwenye kuomba visa utatakiwa ueleze madhumuni ya safari na sijui utajibu nini na kwa kuwa hauna wito wowote wa mtu aneyeishi Uingereza ni wazi kwamba utaonekana kwamba hauna sababu ya kuomba visa na hivyo utanyimwa visa na hela ya maombi ambayo kwa mtanzania mchovu kama wewe ni hela ndefu itakuwa imepotea bure.

Siku hizi kwenda huko kwa namna unayotaka kutumia kwenda ni ngumu sana na nakushauri upambane hapa hapa kwani huwezi kabisa kupata visa kwa sababu hauna sifa za kupatiwa hiyo visa hivyo komaa tu hapa hapa kwani maisha ni popote.
 
Kwanini asitumie elimu yake?
Sijui kwa jinsi gani ila kuna mdau humu alieleza namna aliingia ughaibuni kwa gia ya kwenda kupiga shule.
 
Habari zenu ndugu, Nina ndugu Yangu anafikiria kwenda kutafta maisha Uingereza kwa kufata taratbu zote yan kwa passport, visa na kila kitu, ila njia anayotaka kuitumia ni kwanza kuhakikisha anafika katika kambi ya wakimbizi huko uingereza.

Chengine ni kuwa amesoma na ana degree yake ya uhasibu aliyoipata mzumbe, anaamin hiyo inaweza ikawa gia nzuri ya yeye kutoboa but hana plan nyingne yoyote ile nyingne zaid ya hyo, hvyo tukashauriana kwa pamoja tuanzishe huu mjadala humu JF, kwa yeyote yule aliye na uzoefu ama ana ndugu alishwahi fika huko aweze tupa mawazo zaidi nini cha kufanya.

Asanteni, nakaribisha hoja.
Atapelekwaa Rwanda akaishi kama mkimbizi
 
Kwenda kujilipua kwa mabeberu!,kidding mkuu..maisha popote na mpe Hamasaki kama ameamua kutimiza ndoto yake, muhimu tena nasisitiza muhimu ni LAZIMA ajiandaee kisaokolojia kichwani mwake, akiinua mguu wake kupiga hatua ya kwanza kwenda kiwanja, huwa hakuna kurudi nyuma, hata kama kurudi nyuma ni kunusuru maisha ,yalioko mbele ya safari ndio ya kupigana nayo, mpe high five zangu na good luck kwake!
Kwenda kujilipua kwa mabeberu!,kidding mkuu..maisha popote na mpe Hamasaki kama ameamua kutimiza ndoto yake, muhimu tena nasisitiza muhimu ni LAZIMA ajiandaee kisaokolojia kichwani mwake, akiinua mguu wake kupiga hatua ya kwanza kwenda kiwanja, huwa hakuna kurudi nyuma, hata kama kurudi nyuma ni kunusuru maisha ,yalioko mbele ya safari ndio ya kupigana nayo, mpe high five zangu na good luck kwake!
Zimefka mkuu shukran
 
Uingereza kabisa duh! Nakushauri bora ukajaribu Canada, ndo hawana restrictions za ajabu
 
Habari zenu ndugu, Nina ndugu Yangu anafikiria kwenda kutafta maisha Uingereza kwa kufata taratbu zote yan kwa passport, visa na kila kitu, ila njia anayotaka kuitumia ni kwanza kuhakikisha anafika katika kambi ya wakimbizi huko uingereza.

Chengine ni kuwa amesoma na ana degree yake ya uhasibu aliyoipata mzumbe, anaamin hiyo inaweza ikawa gia nzuri ya yeye kutoboa but hana plan nyingne yoyote ile nyingne zaid ya hyo, hvyo tukashauriana kwa pamoja tuanzishe huu mjadala humu JF, kwa yeyote yule aliye na uzoefu ama ana ndugu alishwahi fika huko aweze tupa mawazo zaidi nini cha kufanya.

Asanteni, nakaribisha hoja.
Asijali, tutampokea mpaka wa Rusumo
 
Back
Top Bottom