Ndugu yangu hajibiwi message wala kupokelewa simu zaidi ya kukatiwa tu

Ndugu yangu hajibiwi message wala kupokelewa simu zaidi ya kukatiwa tu

Ugali wa mtama mchanganyiko wa muhogo kwa sato au dona kwa daagaa wa kukaangwa na mlenda ni vitamu sana kuliko hayo matatizo ya kujitakia "vipochi manyoya"

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Hivi mwenyekiti wenu wa mtaa hawezi kutatua hili tatizo mpaka mulilete hapa kwa jukwaa la great thinkers ?
 
Nipe namba ya demu mkata simu na ya jamaa yako niwasuluhishe.

Hatamkatia simu tena
Ni baada ya jana kugombana kidogo na mpenzi wake siku nzima anakatiwa simu mara akipiga anakuta inatumika ila akipiga yeye simu haishikwi

Anaomba ushauri mzuri Cha kufanya
 
Ni baada ya jana kugombana kidogo na mpenzi wake siku nzima anakatiwa simu mara akipiga anakuta inatumika ila akipiga yeye simu haishikwi

Anaomba ushauri mzuri Cha kufanya
Aache kupiga simu
 
Mamwanamke yamejaa kila kona,huyo ndugu yako ambae kiuhalisia ni wewe mwenyewe bado anahangaika na hako kamoja?
 
Back
Top Bottom