Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 8,013
- 14,263
wewe una chumvi mkuu wanguIla chumvini unazama ulivyo wa hovyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe una chumvi mkuu wanguIla chumvini unazama ulivyo wa hovyo
[emoji28][emoji28][emoji16][emoji16]Ila chumvini unazama ulivyo wa hovyo
Watu wengine mapoyoyo kabisa![emoji28][emoji28][emoji16][emoji16]
machimbo ya Mwakitolyo ni zamani kinoma, ila yamewatoa vijana wengi tuu, mjini usione vijana wanaendesha ma -range sport, BMW x6 new model, kaa ukijua wame hustle kweli kweli………………..
Pesa ya dhahabu wanaopata ni wachache sana,shida haswa ni nini?Ya kitambo sana kwa kweli! Yamewatoa ndugu zangu kadhaa, wamejenga mijengo na kununua magari ya maana kupitia hayo machimbo na sasa wanamiliki mashimo yao huko huko...
Sio wanaopata ni wachache, ila wanaojua kuitumia kwenye akili ya kimaisha ni wachache sana, the reason behind ni ANASA zimetawala vichwani mwa wachimbaji, mchimbaji kuhonga 500k-1Ml kwa siku 1 tu kwake haoni shida na kingine kutumia imani za kishirikina katika uchimbaji kunawafanya vijana wachimbaji wengi kuzubaa akili kwa kutegemea makafara na upuuzi mwingine...Pesa ya dhahabu wanaopata ni wachache sana,shida haswa ni nini?
Vipi kama ukiambiwa kuna masanduku ya noti kiasi kama kile cha Laizer, bado huiingii?Kwenye duara hata ukiniambia niingie nikachukue dhahabu ipo peupe , siingii. 😡