- Thread starter
- #21
Bwana kuna "uchafu" huwa unaandikwa, roho inasinyaa!😅😅😅😅 Mkuu kwann tena huitaki MMU? Uwepo wako ni muhimu sana mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bwana kuna "uchafu" huwa unaandikwa, roho inasinyaa!😅😅😅😅 Mkuu kwann tena huitaki MMU? Uwepo wako ni muhimu sana mkuu
Bado ni prominent. Since contents zake zina exist. Hope wahusika watakuja na majibu. Why ukijaribu kumtag hatokei?He was one of the prominent figure on JF!
Maxence Melo please take note! Ukimtag hatokei why? Sidhani kama amepotezwa, ametekwa ameuawa... au bado ana ka woga wa awamu ya tno maana ilikuwa uwe makini na unachoandika....Bado ni prominent. Since contents zake zina exist. Hope wahusika watakuja na majibu. Why ukijaribu kumtag hatokei?
Search post by forums, achana na option ya trending posts.Bwana kuna "uchafu" huwa unaandikwa, roho inasinyaa!
Well said! sasa hata mama ntilie anaweza access JF! It is only elites as you have put it,Sasa hivi JF inaakisi Taifa zima na tabia zake.
Mwanzoni ilipoanza ilikuwa inaakisi kikundi kidogo cha "Elites" waliokuwa na access ya internet.
Halafu watu huja, na kutoweka kisha wakaja wengine. Kwa hiyo tutegemee kuona baadhi ya watu wakipotea/phasing out, kisha wakaja wengine mpaka tekinolojia mpya itakaporeplace JF
Search post by forums, achana na option ya trending posts.
Pia unaweza ukasubscribe forums unazozipenda tu. Hapo notifications zako zitajaa habari za hizo forums tu, na sio kila new post
Mmerudi 7 au? Aliyepungua ni nani?Watu huwa wanapotea kufanya mambo yao binafsi, kuna wakati ID ya Watu8 ishawahi kuwa inactive kwa takribani miaka 2...
Baadaye Watu8 wakarudi japo pungufu...
Alikuwa active mpaka mwishoni mwa 2021. Hiyo kumtag hatokei, ni kitu ambacho JF inabidi ikitolee ufafanuziMaxence Melo please take note! Ukimtag hatokei why? Sidhani kama amepotezwa, ametekwa ameuawa... au bado ana ka woga wa awamu ya tno maana ilikuwa uwe makini na unachoandika....
This makes the best option!Search post by forums, achana na option ya trending posts.
Pia unaweza ukasubscribe forums unazozipenda tu. Hapo notifications zako zitajaa habari za hizo forums tu, na sio kila new post
Mmerudi 7 au? Aliyepungua ni nani?
Jaribu hivyo mkuuThis makes the best option!
Usijali mkuu. Hao 6 waliopungua, wakirudi watarudi na idadi kubwa sana. Hamtokuwa watu8 tena2 ndio wamebaki, wengine wameendelea na issue zao
......una uhakika mkuu, taarifa hazikuwahi kuja humu....Kamfata JPM
......una uhakika mkuu, taarifa hazikuwahi kuja humu....
.......duuu mkuu inaonekana una roho ngumu, kwamba hujali chochote, huyo jamaa alikua ni moja ya memba wenye mchango mkubwa sana kipindi hicho, watu wamemkumbuka tu wangependa kujua Yu wapi........Hata kama hazijaja afe tu huko aliko hana faida.