BAKAlikuwa active mpaka mwishoni mwa 2021. Hiyo kumtag hatokei, ni kitu ambacho JF inabidi ikitolee ufafanuzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BAKAlikuwa active mpaka mwishoni mwa 2021. Hiyo kumtag hatokei, ni kitu ambacho JF inabidi ikitolee ufafanuzi
.......duuu mkuu inaonekana una roho ngumu, kwamba hujali chochote, huyo jamaa alikua ni moja ya memba wenye mchango mkubwa sana kipindi hicho, watu wamemkumbuka tu wangependa kujua Yu wapi........
Kulikoni tena dada? 🤦🤦Hata kama hazijaja afe tu huko aliko hana faida.
.....mi mwenyewe nimeshtuka aisee.....Kulikoni tena dada? 🤦🤦
.....kwani alikuwa ni hater wa Mzee, au ndo wale walioshangilia ile tarehe ya tukio....Roho ngumu kama yake kwa JPM. Kunya anye kuku akinya bata kaharisha
.....kwani alikuwa ni hater wa Mzee, au ndo wale walioshangilia ile tarehe ya tukio....
Basi apitilize kuzimuTena huyo ndie kiongozi wao.Bak ana roho mbaya kumzidi JPM
Hana smartphoneSiku nyingi simuoni kupost humu! Yuko wapi BAK?
Pale Kariakoo nyanya mbovu hutupwa lakini watu wanaziokota na kuziuza nje ya soko hilohilo na zinanunulika!JF haijapoteza mvuto, still members wanajiunga kila uchwao.
Uwepo wa majukwaa ya nyanja tofauti, lengo ni kupokea habari tofauti kutoka Kwa watu tofauti, wenye haiba tofauti.
JF kuwa home of great thinkers, haimaanishi zijadiliwe rocket sciences tupu humu.
JF where we dare to talk openly, means tell us what u feel, na sio kuwa forced by others. Humu JF kuna majukwaa ukiamua kabisa usione post zake, unaweza. So, kubali kuwa interest za watu zipo tofauti, alaf jaribu kuendana nao.
Tukirudi kwenye issue ya BAK, I'd yake hata ukijaribu kuitag haitokei, ni kama vile mtu aliyepigwa ban, ila hajapigwa ban. Ukituma advanced search unampata. Hayupo active since 2021. Labda Maxence Melo na Moderator eatoe ufafanuzi kuhusu hii ID
....hahahaaa daah!, sawa mkuu got you....Tena huyo ndie kiongozi wao.Bak ana roho mbaya kumzidi JPM
Ndio hivyo mkuu. I wish watu wangekuwa wanaelewaPale Kariakoo nyanya mbovu hutupwa lakini watu wanaziokota na kuziuza nje ya soko hilohilo na zinanunulika!
Mi nadhani ni jambo la ajabu kumuulizia mtu usiye mfahamu, tena especially kwa JF ambapo tunatumia IDs za kificho.
Maana yake inawezekana mtu ameshakufa au yupo busy na mambo yake of whichi hilo ni jambo ambalo you cannot control.
Siku ambazo ilikuwa haitokei niliwahi kuandika Uzi mwingine kama huu ukafutwa. Hii ikiwa kwenye kukumbushia mwingine huu:BAK kwenye options hakuwa anatokea
Utakuwa upo period wewe. Siyo kwa jazba hizo.Hata kama hazijaja afe tu huko aliko hana faida.
Utakuwa upo period wewe. Siyo kwa jazba hizo.
Alikukopa utelezi?Hata kama hazijaja afe tu huko aliko hana faida.