Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DaaahAtaonekana tena akichezea Milwaukee Bucks ndugu yetu bado anaendelea kupambana na wachambuzi wanasema yupo kwenye good shape ya kuweza kumudu mikiki mikiki ya NBA.
Wabongo tuache unafiki wa kumbeza ndugu yetu huu mchezo alijifunzia ukubwani hatua hii aliyofikia sio ya kubeza hata kidogo na wachache sana wangeweza kufikia hapo alipofikia yeye
All the best Mtanzania mwenzetu. Uzalendo kwanza !
Ni vema akifanya hivyo na umri ukianza kwenda huenda hio ikawa ni perfect opportunity ya kutangaza mpira wa Kikapu nchini, kuwapa support wanaochipukia na ikibidi kuwatengenezea njia na wenyewe wafike alipofika....Rasmi sasa karudi like ligi ya bongo, yupo Savio
Sio kwamba hasheem anacheza ligi ya Taiwan.Aisee nasikitika Sana kwa jinsi Mambo yalivyomwendea kombo hasheem
Nikiwatazama Blake Griffin, James harden, Steph curry na DeMar derozan nasikitikia Sana
Jamaa hao ni same class of nba draft 2009 hasheen akiwa number 2 draft pick .
Wenzake Wana mikataba ya max wengine super Max wanalamba minimum 25m usd kwa mwaka
Daah eti Yuko wapi ! SAVIO [emoji15][emoji849]
Maisha bhana
Ameondoka huko. Alicheza mechi chache sana. Nilichoka nilipomuona siku baada y siku anazidi kuamzito kama vile afanyi mazoezi.Sio kwamba hasheem anacheza ligi ya Taiwan.
Mara ya mwisho niliona anakosa ukali(ukatili)awapo mchezoni nadhani hafanyi mazoezi ni mzito sana na amerelax anyway ni maisha yakeAmeondoka huko. Alicheza mechi chache sana. Nilichoka nilipomuona siku baada y siku anazidi kuamzito kama vile afanyi mazoezi.
Aisee nasikitika Sana kwa jinsi Mambo yalivyomwendea kombo hasheem
Nikiwatazama Blake Griffin, James harden, Steph curry na DeMar derozan nasikitikia Sana
Jamaa hao ni same class of nba draft 2009 hasheen akiwa number 2 draft pick .
Wenzake Wana mikataba ya max wengine super Max wanalamba minimum 25m usd kwa mwaka
Daah eti Yuko wapi ! SAVIO [emoji15][emoji849]
Maisha bhana
This time atakuwa amejifunza vya kutosha na kurekebisha makosa ya nyuma. All the best to him.Ataonekana tena akichezea Milwaukee Bucks ndugu yetu bado anaendelea kupambana na wachambuzi wanasema yupo kwenye good shape ya kuweza kumudu mikiki mikiki ya NBA.
Wabongo tuache unafiki wa kumbeza ndugu yetu huu mchezo alijifunzia ukubwani hatua hii aliyofikia sio ya kubeza hata kidogo na wachache sana wangeweza kufikia hapo alipofikia yeye
All the best Mtanzania mwenzetu. Uzalendo kwanza !
Yap mademu wanagundu sana. Hata wasanii wanatafuta kiki kipumbavu mwishowe wanaanza kukosa makampuni yakuwatumia. Mfano konde boy alipohama WCB alianza kupata matangazo mengi, mdamfupi akavimba na kuanza kutembea na malaya wa mjini mtokeo yake makampuni hayaongezi mkataba nae. Mbunye ni shida mzeeTolu kachezea shilingi chooni....Kubadili mademu hovyo hovyo nayo ni hatari ,midemu mingine ina gundu.
Mara ya mwisho niliona anakosa ukali(ukatili)awapo mchezoni nadhani hafanyi mazoezi ni mzito sana na amerelax anyway ni maisha yake
Hasheem ni agemate was Stephen curry ushawahi muona curry aki flop au ushamuona James harden akiflopTusisahau na umri pia...
mzee unamdiss sana hashimkalagabaho,
Ashakwisha huyo mkuu,wenzake kina Stephen Curry wanadunda tu tangia 2009 wapo NBA.
mzee unamdiss sana hashim
Kweli kabisa Sammata nae toka aoe anazidi kupwaya tu mwisho tutasikia ni mchezaji halali wa Simba Sports ClubTatizo wabongo wanapenda sana tundu la kati ndo kinawafelisha wengi sana.