Kawhi ana sifa tunazoongelea. Kwanza, ana umbo kubwa linalomasaidia katika kulinda. Pili, ana uwezo wa kuchezesha kama point guard. Tatu anapiga field goal iwe 2 au 3. Nne, ana shoot hivyo ukimfanyia foul unaumia tu.
Ukitaka kuona wachezaji waliobadili NBA mfano ni Lebron. Naye ni kama Kawhi kwa umbo na sifa za kuhodhi mpira au kuchezesha wenzake, anachukua rebounds na ana shoot vizuri sana.
Lakini maumbo si lazima yawe makubwa. Mtazame Curry, ana umbo dogo. Kinachomsaidia ni uwezo wa ku score akiwa nje, ndani ya ring au free throw. Curry anachezesha timu ni ngumu kujua kama anatoa pasi au anafunga mwenyewe.
Mfano wa Curry ni Lowry wa Raptor au Westbrook. Maumbo si makubwa lakini wanadungua kutoka popote halafu anaweza ku attack ring wakati huo huo wanalinda.
Russel Westbrook watu wana mu-over rate, si point guard kihivyo hata sasa anasafiri nyota ya Haden.Huyu alikuwa na KD, OKCna mara zote walishindwa kuchukua Ubingwa.
Kiranga watu wanausoma mchezo na wamebaini NBA si urefu wa akina Yao au Tim Duncan
Utaona wachezaji kama Pascal Siakam sasa wanatumia field goal badala ya kuvamia ring.