Tetesi: Ndugu yetu Hasheem Thabeet anarejea NBA

Tetesi: Ndugu yetu Hasheem Thabeet anarejea NBA

Maana yake anakwenda kufanya majaribio na Bucks ila akikidhi mategemeo atachukuliwa alishindwa ataendelea na maisha yake. Tatizo linakuja hapa, Hasheem ni Bigman na sifa yake ni kuchukua rebounds na kupost. Mahitaji ya sasa ya NBA yanataka Bigmen wanaoweza ku shoot ndani na nje ya 'D'. Je Hasheem anaweza ku shoot 3 points? au hata ndani ya D? Yote haya yatajulikana next week kwenye hiyo workout.

Ila kwa matokeo yeyote Hasheem hakuitendea vizuri fursa aliyopata kuwa second pick ya mwaka 2009. Laiti angekuwa msikivu basi leo Tanzania ingekuwa ni mlango wa vijana kwenda NBA. Kiburi, dharau na kutoshaurika ndiyo kilichomharibu bila kusahau fedha nyingi za ghafla aliyopata baada ya mkataba wa kwanza na Memphis
Jamaa yenu kishatemwa hata kwenye ligi ya ndondo (G-League). Mad Ants ambayo iko chini ya Indiana Pacers imempa mkono wa kwa heri. BIG NBA BUST of all time.
 
Sote katika maisha yetu huwa kuna muda tunakosea. Hasheem kukosea mpaka kuanguka kutoka NBA hakuwa wa kwanza na kamwe hawezi kuwa wa mwisho. Ni kweli wengi tuliumia kutokana na kuanguka kwake, kwani tulifarijika baada ya kupata cha kwetu NBA. Akiwa kama binadamu, kama ilivyo kwetu sisi, anahitaji faraja zaidi fighting for his second chance to the NBA more than the hate and negativities we put on his name.

Ilikuwa ni vigumu kwake kuweza kusurvive NBA kutokana na mapinduzi yaliyofanyika katika game with just basic skills, lacking extra skills. Ujio wa watu kama akina Curry uliifanya game ibadilike from Traditional Baskeball to Modern Era of Basketball. Kwenye Modern Era concentration kubwa ilihamia kwenye Scoring na Shooting zaidi kuliko fundamental basketball, kitu ambacho kilifanya watu kama akina Hasheem washindwe kudumu, Centers saizi wanacheza nje ya D, wanachoot 3 kama guards na vitu kama hivyo. Sasa kuwa na mtu kama Hasheem kwenye timu automatically anakuwa liability.

Muhimu he should add shooting to his arsenal, soon tutamuona tu NBA hata ikiwa game 1 inatosha kabisa.
Hebu Ongeza sauti kidogo!! Sentensi ya mwisho inasema "Soon tutamuona tu NBA hata ikiwa game 1 inatosha kabisa"

Labda NBA ya Buza, hata G-League wameshammwaga
 
Hebu Ongeza sauti kidogo!! Sentensi ya mwisho inasema "Soon tutamuona tu NBA hata ikiwa game 1 inatosha kabisa"

Labda NBA ya Buza, hata G-League wameshammwaga
Duuh aisee!!
kwa hiyo ndio mwisho wa career yake!?
 
Hebu Ongeza sauti kidogo!! Sentensi ya mwisho inasema "Soon tutamuona tu NBA hata ikiwa game 1 inatosha kabisa"

Labda NBA ya Buza, hata G-League wameshammwaga
Mbona unachuki naye hivyo alikulia demu wako nn
 
Jamaa yenu kishatemwa hata kwenye ligi ya ndondo (G-League). Mad Ants ambayo iko chini ya Indiana Pacers imempa mkono wa kwa heri. BIG NBA BUST of all time.
Can you update us on reasons behind him parting ways with the G-league team ?
 
Ataonekana tena akichezea Milwaukee Bucks ndugu yetu bado anaendelea kupambana na wachambuzi wanasema yupo kwenye good shape ya kuweza kumudu mikiki mikiki ya NBA.

Wabongo tuache unafiki wa kumbeza ndugu yetu huu mchezo alijifunzia ukubwani hatua hii aliyofikia sio ya kubeza hata kidogo na wachache sana wangeweza kufikia hapo alipofikia yeye

All the best Mtanzania mwenzetu. Uzalendo kwanza !
Uzee nao unamsumbua maana Watz kwa kudanganya tuko vizuri
 
Huyu ni mzembe tu!! Period. Siyo kwamba tunamchukia bali tunataka liwe fundisho kwa vijana wengine wa Kitanzania, wakipata fursa wasizichezee.
IMG_20200126_143033.jpg
 
Can you update us on reasons behind him parting ways with the G-league team ?
The truth was that his NBA return seemed to be getting less likely with each passing game in Fort Wayne. True, he was averaging 8.8 points, 9.5 rebounds and 3.6 blocks per 36 minutes, but he was only getting 16.5 minutes per night. In the 14 games the Mad Ants had played up to that point, he'd started only two and appeared in only nine.
 
Can you update us on reasons behind him parting ways with the G-league team ?
Full story from his accidental rise to NBA, flashy lifestyle and lack of initiative is here:

 
Sina haja ya kukueleza mafanikio yangu maana hutaamini na hayatakusaidia kwakua haunifahamu ila huyo jamaa tusiposema ukweli vijana wengi tutachukulia kawaida kuusema ukweli mwisho wa siku unafki utatawala.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu kafika huko juu kwa juhudi zake mwenyewe...sote tumemjua baada ya yeye kuanza kupata mafanikio...Ana washauri wake waliofanya hadi wewe uanze kumjua,na ndio waliomfanya afike hapo alipo... Wewe pamoja na kutumia wakati wako vizuri hujamfikia bado.... Yeye alishaingiza Billioni 10 kwa mwaka sijui wewe unaingiza shingapi... Zaidi ni kumkalia kitako mtandaoni eti tunamfundisha... Kumfundisha ndo kumkejeli mnamkejeli hivyo... Wabongo tuna roho mbaya aisee... Sijui tulirithi wapi.
 
Inaonekana kuna watu walikuwa wakikisubir kipindi hiki kwa hamu sana ili waanze kuponda ilhali hawajui hata mechi ya bakei ina quarter ngapi.
 
Back
Top Bottom