J J Mnyika hajaongea chochote?!
Ni wakati wako kusema hayo hata Polepole alikuwa kama wewe leo ndo tumejua analalia godoro la 3*6.Wapuuzi wakubwa hao wanawake yaani tulee gaidi kwa sababu ya kuonewa huruma?!
Wajinga wale na kama walishauawa na ikawe kheri!
EeeenHeeeHeeee!Wapuuzi wakubwa hao wanawake yaani tulee gaidi kwa sababu ya kuonewa huruma?!
Wajinga wale na kama walishauawa na ikawe kheri!
Mpuuze wewe Shetani wako aliewaweka ndani hayupu sasa Samia atawatiwa...Wapuuzi wakubwa hao wanawake yaani tulee gaidi kwa sababu ya kuonewa huruma?!
Wajinga wale na kama walishauawa na ikawe kheri!
Nakuombea kwa Mola Muumba akuongoze ili kauli na matendo yako siku zote vitawaliwe na haki na uadilifuWapuuzi wakubwa hao wanawake yaani tulee gaidi kwa sababu ya kuonewa huruma?!
Wajinga wale na kama walishauawa na ikawe kheri!
Kwa akili yako unafikiri sijui kutukana....Mpuuze wewe Shetani wako aliewaweka ndani hayupu sasa Samia atawatiwa...
Ni Kama huna uwezo wa kubeba mimba ndio maana umeyaandika haya kana kwamba wanawake hao ndio waliokunyima uwezo wa kuzaa! Lau Kama una uwezo wa kuzaa uliwasiliana na hiyo mimba ya mtoto wako kuwa atakuwa mtu wa aina Gani! Usisahau nawe ni mwanamke na hao wanaotuhumiwa walizaliwa na wanawake Kama wewe!Wapuuzi wakubwa hao wanawake yaani tulee gaidi kwa sababu ya kuonewa huruma?!
Wajinga wale na kama walishauawa na ikawe kheri!
Wow!! Maneno mazito kwa dada Susan,ila du mwanamke anakuwa na moyo mgumu hivi? Tuna nini waafrika??Ni Kama huna uwezo wa kubeba mimba ndio maana umeyaandika haya kana kwamba wanawake hao ndio waliokunyima uwezo wa kuzaa! Lau Kama una uwezo wa kuzaa uliwasiliana na hiyo mimba ya mtoto wako kuwa atakuwa mtu wa aina Gani! Usisahau nawe ni mwanamke na hao wanaotuhumiwa walizaliwa na wanawake Kama wewe!
Isitoshe wewe ni mkristo na unajua jinsi Mama Bikira Maria alivyokuwa anamlilia mwanaye Yesu wakati wa mateso yake na hakumuacha Hadi alipokata roho! Wewe Kama mwanamke unatakiwa uwape pole wenzako badala ya kuwadhihaki maana dhambi hiyo yaweza kuzaliwa nyumbani kwako! Acha dharau!
Kama ni magaidi wapelekwe mahakamani wasomewe mashtaka yao na sio kuwaweka mahabusu kwa miaka 7 kwa kisingizio ushahidi haujakamilika.Wapuuzi wakubwa hao wanawake yaani tulee gaidi kwa sababu ya kuonewa huruma?!
Wajinga wale na kama walishauawa na ikawe kheri!