Ndugu zangu Chadema Jeshi la Polisi halina siasa, Niffer na Diva wana siku ya pili leo wako lock up, mngekuwa nyie mko Lock Up hadi leo kelele kibao

Ndugu zangu Chadema Jeshi la Polisi halina siasa, Niffer na Diva wana siku ya pili leo wako lock up, mngekuwa nyie mko Lock Up hadi leo kelele kibao

Nchi itachelewa sana kusonga hii, utafananishaje, hivyo vitu 2 kwa pamoja?
 
Huwa mara kadhaa viongozi wa Chadema wanapokamatwa na kusafirishwa mikoani wengi tunabeza na kudhani Polisi wanaigiza ama wanafanya siasa, mitandao yote ya Chadema utaona taarifa za kuzusha na ufala mwingi sana, mara Boni Yai kasafirishwa Kilimanjaro, utasikia Malisa kasafirishwa moshi anarudishwa dar, mara Boni Yai kaenda kupekuliwa kwao, kumbe ni Procedure tu ambazo ziko kwenye CPA - Crimininal Procedure Act.

Niffer na Diva wako mikononi mwa Polisi kwa madai ya kutaka kujinufaisha kinyume cha sheria kwa kuchangisha watu kinyume cha sheria. Leo wana dada hawa warembo wako pale Polisi Kati wakisaidia dola kupata ukweli, nani aliwatuma? walifanya kwa maslahi ya nani? wamechangisha kiasi gani, wamepata kiasi gani, ziko wapi hela hizo, na maswali kibao, hapo hakuna siasa.

Wengi wamewaombea msamaha hasa Niffer ambaye alimkosea PM kwa kuanza kujibizana naye, huyu mtoto mdogo sana ana umri wa miaka 25, ana uwezo flani hivi wa kiuchumi hadi kufikia kumiliki Range sasa akaona hata PM anammudu.

All in All hoja yangu mimi kuwa kesho Chadema mkikamatwa na kupelekwa pale Centro kaeni mkijua it is a matter of Criminal Procedure Act and not otherwise.Kwa sasa dola inaangalia Mens Rea na Actus Reus agains Niffer and Diva, but naamini hekima na busara itatumika tu.Hawa madada wawili wana mvuto sana, natamani kwenda kwa mganga wote waingie kwenye 18 zangu nipite nao.
sawa sawa...

vp mmiliki wa jengo,minjinia,watoa vibali vya ujenzi ..... wamekamatwa au

ova
 
Huwa mara kadhaa viongozi wa Chadema wanapokamatwa na kusafirishwa mikoani wengi tunabeza na kudhani Polisi wanaigiza ama wanafanya siasa, mitandao yote ya Chadema utaona taarifa za kuzusha na ufala mwingi sana, mara Boni Yai kasafirishwa Kilimanjaro, utasikia Malisa kasafirishwa moshi anarudishwa dar, mara Boni Yai kaenda kupekuliwa kwao, kumbe ni Procedure tu ambazo ziko kwenye CPA - Crimininal Procedure Act.

Niffer na Diva wako mikononi mwa Polisi kwa madai ya kutaka kujinufaisha kinyume cha sheria kwa kuchangisha watu kinyume cha sheria. Leo wana dada hawa warembo wako pale Polisi Kati wakisaidia dola kupata ukweli, nani aliwatuma? walifanya kwa maslahi ya nani? wamechangisha kiasi gani, wamepata kiasi gani, ziko wapi hela hizo, na maswali kibao, hapo hakuna siasa.

Wengi wamewaombea msamaha hasa Niffer ambaye alimkosea PM kwa kuanza kujibizana naye, huyu mtoto mdogo sana ana umri wa miaka 25, ana uwezo flani hivi wa kiuchumi hadi kufikia kumiliki Range sasa akaona hata PM anammudu.

All in All hoja yangu mimi kuwa kesho Chadema mkikamatwa na kupelekwa pale Centro kaeni mkijua it is a matter of Criminal Procedure Act and not otherwise.Kwa sasa dola inaangalia Mens Rea na Actus Reus agains Niffer and Diva, but naamini hekima na busara itatumika tu.Hawa madada wawili wana mvuto sana, natamani kwenda kwa mganga wote waingie kwenye 18 zangu nipite nao.
 
Hao akina nifa na chadema wapi na wapi? Nimefuatilia kumbe unahangaishwa na ukware tu! Ngoja wakae ndani hawana adabu, Tena wafungwe kabisa!
 
Hao akina nifa na chadema wapi na wapi? Nimefuatilia kumbe unahangaishwa na ukware tu! Ngoja wakae ndani hawana adabu, Tena wafungwe kabisa!
Mmiliki wa jengo,waliyojenga,waliyotoa vibali
Mshawasahau 😄
Kko inabdi zile gorofa 63 mbovuuu zishuke tu kwa pamojaaa

Ova
 
Huwa mara kadhaa viongozi wa Chadema wanapokamatwa na kusafirishwa mikoani wengi tunabeza na kudhani Polisi wanaigiza ama wanafanya siasa, mitandao yote ya Chadema utaona taarifa za kuzusha na ufala mwingi sana, mara Boni Yai kasafirishwa Kilimanjaro, utasikia Malisa kasafirishwa moshi anarudishwa dar, mara Boni Yai kaenda kupekuliwa kwao, kumbe ni Procedure tu ambazo ziko kwenye CPA - Crimininal Procedure Act.

Niffer na Diva wako mikononi mwa Polisi kwa madai ya kutaka kujinufaisha kinyume cha sheria kwa kuchangisha watu kinyume cha sheria. Leo wana dada hawa warembo wako pale Polisi Kati wakisaidia dola kupata ukweli, nani aliwatuma? walifanya kwa maslahi ya nani? wamechangisha kiasi gani, wamepata kiasi gani, ziko wapi hela hizo, na maswali kibao, hapo hakuna siasa.

Wengi wamewaombea msamaha hasa Niffer ambaye alimkosea PM kwa kuanza kujibizana naye, huyu mtoto mdogo sana ana umri wa miaka 25, ana uwezo flani hivi wa kiuchumi hadi kufikia kumiliki Range sasa akaona hata PM anammudu.

All in All hoja yangu mimi kuwa kesho Chadema mkikamatwa na kupelekwa pale Centro kaeni mkijua it is a matter of Criminal Procedure Act and not otherwise.Kwa sasa dola inaangalia Mens Rea na Actus Reus agains Niffer and Diva, but naamini hekima na busara itatumika tu.Hawa madada wawili wana mvuto sana, natamani kwenda kwa mganga wote waingie kwenye 18 zangu nipite nao.
Vijana weng sana wamekua na matatzo ya akili hapa nchini,hata uwezo wa kufkir ni mdogo sana na hauna tija Kwa taifa
 
Mafala wapo wengi Sana jamiiforum...
Unashindwa kujiuliza kwanini Hadi Leo mmiliki wa jengo hajulikani
Sikumbuki vizuri kulikuwa na msala watu wakapiga kelele sana halafu wakamkata mtu ambae ukimuangalia tu unajua huyo kaokotwa mahali hata issue haijui

Usije kushangaa wanaleta mtu tofauti halafu wakasema tunamshikilia mwenye jengo
 
Huwa mara kadhaa viongozi wa Chadema wanapokamatwa na kusafirishwa mikoani wengi tunabeza na kudhani Polisi wanaigiza ama wanafanya siasa, mitandao yote ya Chadema utaona taarifa za kuzusha na ufala mwingi sana, mara Boni Yai kasafirishwa Kilimanjaro, utasikia Malisa kasafirishwa moshi anarudishwa dar, mara Boni Yai kaenda kupekuliwa kwao, kumbe ni Procedure tu ambazo ziko kwenye CPA - Crimininal Procedure Act.

Niffer na Diva wako mikononi mwa Polisi kwa madai ya kutaka kujinufaisha kinyume cha sheria kwa kuchangisha watu kinyume cha sheria. Leo wana dada hawa warembo wako pale Polisi Kati wakisaidia dola kupata ukweli, nani aliwatuma? walifanya kwa maslahi ya nani? wamechangisha kiasi gani, wamepata kiasi gani, ziko wapi hela hizo, na maswali kibao, hapo hakuna siasa.

Wengi wamewaombea msamaha hasa Niffer ambaye alimkosea PM kwa kuanza kujibizana naye, huyu mtoto mdogo sana ana umri wa miaka 25, ana uwezo flani hivi wa kiuchumi hadi kufikia kumiliki Range sasa akaona hata PM anammudu.

All in All hoja yangu mimi kuwa kesho Chadema mkikamatwa na kupelekwa pale Centro kaeni mkijua it is a matter of Criminal Procedure Act and not otherwise.Kwa sasa dola inaangalia Mens Rea na Actus Reus agains Niffer and Diva, but naamini hekima na busara itatumika tu.Hawa madada wawili wana mvuto sana, natamani kwenda kwa mganga wote waingie kwenye 18 zangu nipite nao.
Unajuaje kuwa wanalala huko
 
Huwa mara kadhaa viongozi wa Chadema wanapokamatwa na kusafirishwa mikoani wengi tunabeza na kudhani Polisi wanaigiza ama wanafanya siasa, mitandao yote ya Chadema utaona taarifa za kuzusha na ufala mwingi sana, mara Boni Yai kasafirishwa Kilimanjaro, utasikia Malisa kasafirishwa moshi anarudishwa dar, mara Boni Yai kaenda kupekuliwa kwao, kumbe ni Procedure tu ambazo ziko kwenye CPA - Crimininal Procedure Act.

Niffer na Diva wako mikononi mwa Polisi kwa madai ya kutaka kujinufaisha kinyume cha sheria kwa kuchangisha watu kinyume cha sheria. Leo wana dada hawa warembo wako pale Polisi Kati wakisaidia dola kupata ukweli, nani aliwatuma? walifanya kwa maslahi ya nani? wamechangisha kiasi gani, wamepata kiasi gani, ziko wapi hela hizo, na maswali kibao, hapo hakuna siasa.

Wengi wamewaombea msamaha hasa Niffer ambaye alimkosea PM kwa kuanza kujibizana naye, huyu mtoto mdogo sana ana umri wa miaka 25, ana uwezo flani hivi wa kiuchumi hadi kufikia kumiliki Range sasa akaona hata PM anammudu.

All in All hoja yangu mimi kuwa kesho Chadema mkikamatwa na kupelekwa pale Centro kaeni mkijua it is a matter of Criminal Procedure Act and not otherwise.Kwa sasa dola inaangalia Mens Rea na Actus Reus agains Niffer and Diva, but naamini hekima na busara itatumika tu.Hawa madada wawili wana mvuto sana, natamani kwenda kwa mganga wote waingie kwenye 18 zangu nipite nao.
Naona umekuja kuwatetea watekaji, unadhani tunaposema kuwa jeshi la polisi linatumika kisiasa tunabahatisha?
 
Chademaphobia! Watanzania wote tunapaswa kupiga kelele kama kuna uonezi.
 
Polisi wanakamata kwa amri ya waziri mkuu, na rais. Halafu wanasema hawatumiki kisiasa. Na hawata waachia mpaka aliyewaambia wawakamate aseme waachieni, bila kujali kosa linadhamana au la.
Kwanini walazwe lumande kama wameshatoa maelezo yao, na pesa wamesha zitoa?
Unaweza kuta kuna wakubwa wa polisi wanataka wapewe utelezi kwanza ndio wawaachie, na hao wanawake unakuta hawataki. Basi wanawaweka ndani ili kuwakomoa.
 
Kukaa lockup zaidi ya masaa 24 siyo utaratibu ulio kwenye CPA, polisi wanatakiwa wakae masaa 24 tu baada ya hapo wapewe dhamana au kama hawana watu wa kuwadhamini wapelekwe mahakamani kisha mahabusu za gerezani
 
Huwa mara kadhaa viongozi wa Chadema wanapokamatwa na kusafirishwa mikoani wengi tunabeza na kudhani Polisi wanaigiza ama wanafanya siasa, mitandao yote ya Chadema utaona taarifa za kuzusha na ufala mwingi sana, mara Boni Yai kasafirishwa Kilimanjaro, utasikia Malisa kasafirishwa moshi anarudishwa dar, mara Boni Yai kaenda kupekuliwa kwao, kumbe ni Procedure tu ambazo ziko kwenye CPA - Crimininal Procedure Act.

Niffer na Diva wako mikononi mwa Polisi kwa madai ya kutaka kujinufaisha kinyume cha sheria kwa kuchangisha watu kinyume cha sheria. Leo wana dada hawa warembo wako pale Polisi Kati wakisaidia dola kupata ukweli, nani aliwatuma? walifanya kwa maslahi ya nani? wamechangisha kiasi gani, wamepata kiasi gani, ziko wapi hela hizo, na maswali kibao, hapo hakuna siasa.

Wengi wamewaombea msamaha hasa Niffer ambaye alimkosea PM kwa kuanza kujibizana naye, huyu mtoto mdogo sana ana umri wa miaka 25, ana uwezo flani hivi wa kiuchumi hadi kufikia kumiliki Range sasa akaona hata PM anammudu.

All in All hoja yangu mimi kuwa kesho Chadema mkikamatwa na kupelekwa pale Centro kaeni mkijua it is a matter of Criminal Procedure Act and not otherwise.Kwa sasa dola inaangalia Mens Rea na Actus Reus agains Niffer and Diva, but naamini hekima na busara itatumika tu.Hawa madada wawili wana mvuto sana, natamani kwenda kwa mganga wote waingie kwenye 18 zangu nipite nao "Shuwaini" umeanza vizuri mwisho umevurunda eti ungepita nao.
 
Huwa mara kadhaa viongozi wa Chadema wanapokamatwa na kusafirishwa mikoani wengi tunabeza na kudhani Polisi wanaigiza ama wanafanya siasa, mitandao yote ya Chadema utaona taarifa za kuzusha na ufala mwingi sana, mara Boni Yai kasafirishwa Kilimanjaro, utasikia Malisa kasafirishwa moshi anarudishwa dar, mara Boni Yai kaenda kupekuliwa kwao, kumbe ni Procedure tu ambazo ziko kwenye CPA - Crimininal Procedure Act.

Niffer na Diva wako mikononi mwa Polisi kwa madai ya kutaka kujinufaisha kinyume cha sheria kwa kuchangisha watu kinyume cha sheria. Leo wana dada hawa warembo wako pale Polisi Kati wakisaidia dola kupata ukweli, nani aliwatuma? walifanya kwa maslahi ya nani? wamechangisha kiasi gani, wamepata kiasi gani, ziko wapi hela hizo, na maswali kibao, hapo hakuna siasa.

Wengi wamewaombea msamaha hasa Niffer ambaye alimkosea PM kwa kuanza kujibizana naye, huyu mtoto mdogo sana ana umri wa miaka 25, ana uwezo flani hivi wa kiuchumi hadi kufikia kumiliki Range sasa akaona hata PM anammudu.

All in All hoja yangu mimi kuwa kesho Chadema mkikamatwa na kupelekwa pale Centro kaeni mkijua it is a matter of Criminal Procedure Act and not otherwise.Kwa sasa dola inaangalia Mens Rea na Actus Reus agains Niffer and Diva, but naamini hekima na busara itatumika tu.Hawa madada wawili wana mvuto sana, natamani kwenda kwa mganga wote waingie kwenye 18 zangu nipite nao.
Sawa lakini mbona waliompiga RISASI Tundu Lisu mpaka leo hawajakamatwa?
Nani alimuua BEN SANANE mbona hajakamatwa?
Kibao alikamatwa mbele ya kadamnasi tena na watu wanaozaniwa kuwa wanatoka kwenye dola mbona hawajakamatwa?
Unashabikia ujinga kwa kuwa nawe ni mjinga mkubwa
 
Huwa mara kadhaa viongozi wa Chadema wanapokamatwa na kusafirishwa mikoani wengi tunabeza na kudhani Polisi wanaigiza ama wanafanya siasa, mitandao yote ya Chadema utaona taarifa za kuzusha na ufala mwingi sana, mara Boni Yai kasafirishwa Kilimanjaro, utasikia Malisa kasafirishwa moshi anarudishwa dar, mara Boni Yai kaenda kupekuliwa kwao, kumbe ni Procedure tu ambazo ziko kwenye CPA - Crimininal Procedure Act.

Niffer na Diva wako mikononi mwa Polisi kwa madai ya kutaka kujinufaisha kinyume cha sheria kwa kuchangisha watu kinyume cha sheria. Leo wana dada hawa warembo wako pale Polisi Kati wakisaidia dola kupata ukweli, nani aliwatuma? walifanya kwa maslahi ya nani? wamechangisha kiasi gani, wamepata kiasi gani, ziko wapi hela hizo, na maswali kibao, hapo hakuna siasa.

Wengi wamewaombea msamaha hasa Niffer ambaye alimkosea PM kwa kuanza kujibizana naye, huyu mtoto mdogo sana ana umri wa miaka 25, ana uwezo flani hivi wa kiuchumi hadi kufikia kumiliki Range sasa akaona hata PM anammudu.

All in All hoja yangu mimi kuwa kesho Chadema mkikamatwa na kupelekwa pale Centro kaeni mkijua it is a matter of Criminal Procedure Act and not otherwise.Kwa sasa dola inaangalia Mens Rea na Actus Reus agains Niffer and Diva, but naamini hekima na busara itatumika tu.Hawa madada wawili wana mvuto sana, natamani kwenda kwa mganga wote waingie kwenye 18 zangu nipite nao.
Hao si ni wana CCM wenzenu...?

Na sababu za kuwa Lock Up ni kuwatisha hao wanawake waachie mgawo wa pesa walizochangisha, basi....

Tangu lini police - CCM wakawa watu wa kufanya kazi kwa mujibu wa sheria..?

Rushwa, rushwa, rushwa, rushwa tupu....!
 
Back
Top Bottom