Ndugu zangu hawataki tukarabati nyumba ya wazazi wetu. Pesa iliyopo wanataka tugawane, naombe mawazo yenu

Ndugu zangu hawataki tukarabati nyumba ya wazazi wetu. Pesa iliyopo wanataka tugawane, naombe mawazo yenu

Waambie unakarabati msibaki na golf lililowashinda NI uharibifu wa rasilimali...au miuze mgawane hela..wakikubali jua huna watu hapo uzeni Ila ujipange kivyako..huna watu hapo watakusumbua...
 
Sisi tumezaliwa wa4

Bahati mbaya wazazi wamefariki na wakatuachiia nyumba 5...!

Wa3 kati yetu kila mtu ana maisha yake ila mmoja yupo kwenye nyumba mojawapo huku zingine tumepangisha

Sasa hapa juzi kati tumepiga dili la kama milioni 5 hivi na wakati tunasubiri dili likae tulikubaliana kuwa hela ikipatikana itaend kukarabati nyumba mojawapo ili iwe kisasa zaidi....wote tulikubaliana

Hela imeingia...na nmetumiwa mimi....yule anayekaa kwenye nyumba mojawapo akasema kila mtu apewe chake kisha kwenye ile nyumba akabidhiwe chumba akarabati mimi nikawa nakataa...ukazuka utata...mpaka na watoto wa kike nao wakasema basi ili kusiwe na ugomvi hela igawanywe tuuu

Nikiangalia ile nyumba ndo walokuwa wanaish wazaz wetu...roho inaniuma...hela nnayo mimi na wote wananielemea...nami nliplan sana tukarabati nyumba....!!

Naomben mawazo yenu...nifanye nini?

1.Niwape kila mtu hela yake

2.Niwape kiasi ili kingne kibaki kwa ajili ya marekebisho ya pamoja

3.Nisiwape nifanye tu marekebisho

Kama Mpo wa 5 na wote wameamua hivyo; then unataka ufanyaje? Usitafute stress kwa mambo ya Kijinga; undugu ni misiba, arusi, etc, sio pesa na Biashara! Wengi wape, itakupunguzia stress, after all sio mali yako
 
Waambie unakarabati msibaki na golf lililowashinda NI uharibifu wa rasilimali...au miuze mgawane hela..wakikubali jua huna watu hapo uzeni Ila ujipange kivyako..huna watu hapo watakusumbua...
Wamsumbue kwani yeye zake, Kila mtu achukue chake undugu uendelee, huyu anayeng'ang'ania kurepea nyumba swali je wakifa hao ndugu zake yuko tayar kuwapa watoto na mke au Mme wa waliokufa au ndo zitabaki zake? Mali ya wazazi waliokufa inagawanywa Kila mtu anaendelea na familia yake, mkuu gawa Mali acha kujifanya unataka kuzitunza SI ZAKO.
 
Sisi tumezaliwa wa4

Bahati mbaya wazazi wamefariki na wakatuachiia nyumba 5...!

Wa3 kati yetu kila mtu ana maisha yake ila mmoja yupo kwenye nyumba mojawapo huku zingine tumepangisha

Sasa hapa juzi kati tumepiga dili la kama milioni 5 hivi na wakati tunasubiri dili likae tulikubaliana kuwa hela ikipatikana itaend kukarabati nyumba mojawapo ili iwe kisasa zaidi....wote tulikubaliana

Hela imeingia...na nmetumiwa mimi....yule anayekaa kwenye nyumba mojawapo akasema kila mtu apewe chake kisha kwenye ile nyumba akabidhiwe chumba akarabati mimi nikawa nakataa...ukazuka utata...mpaka na watoto wa kike nao wakasema basi ili kusiwe na ugomvi hela igawanywe tuuu

Nikiangalia ile nyumba ndo walokuwa wanaish wazaz wetu...roho inaniuma...hela nnayo mimi na wote wananielemea...nami nliplan sana tukarabati nyumba....!!

Naomben mawazo yenu...nifanye nini?

1.Niwape kila mtu hela yake

2.Niwape kiasi ili kingne kibaki kwa ajili ya marekebisho ya pamoja

3.Nisiwape nifanye tu marekebisho
Mimi naona gawanya hela watu walipe ada ,January hii Kaka
 
Mwanga hapa ni huyo fuko anaishi hapo nyumbani,na msipoangalia anaweza hata waloga kabisa,yani wanasema tajiri wanaroho mbaya ila sio kama maskini,hasa wa fikra.
 
Sisi tumezaliwa wa4

Bahati mbaya wazazi wamefariki na wakatuachiia nyumba 5...!

Wa3 kati yetu kila mtu ana maisha yake ila mmoja yupo kwenye nyumba mojawapo huku zingine tumepangisha

Sasa hapa juzi kati tumepiga dili la kama milioni 5 hivi na wakati tunasubiri dili likae tulikubaliana kuwa hela ikipatikana itaend kukarabati nyumba mojawapo ili iwe kisasa zaidi....wote tulikubaliana

Hela imeingia...na nmetumiwa mimi....yule anayekaa kwenye nyumba mojawapo akasema kila mtu apewe chake kisha kwenye ile nyumba akabidhiwe chumba akarabati mimi nikawa nakataa...ukazuka utata...mpaka na watoto wa kike nao wakasema basi ili kusiwe na ugomvi hela igawanywe tuuu

Nikiangalia ile nyumba ndo walokuwa wanaish wazaz wetu...roho inaniuma...hela nnayo mimi na wote wananielemea...nami nliplan sana tukarabati nyumba....!!

Naomben mawazo yenu...nifanye nini?

1.Niwape kila mtu hela yake

2.Niwape kiasi ili kingne kibaki kwa ajili ya marekebisho ya pamoja

3.Nisiwape nifanye tu marekebisho
Watakuua hao
 
Back
Top Bottom