Ndugu zangu, mi mwenzenu nina Gundu. Sijui nakosea wapi?

Ndugu zangu, mi mwenzenu nina Gundu. Sijui nakosea wapi?

Mtu Asiyejulikana

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2017
Posts
2,254
Reaction score
5,161
Huyu hata sijamaliza naye week kumbe naye ni kimeo tu. Sijajua nakosea wapi ninapokuwa natafuta mwenza.

Huyu dada tupo naye Jengo moja la ofisi nlimfahamu muda tu this time nikaona niombe urafiki naye nikitegemea angekuwa na akili maana alisoma IFM ana degree na yupo kazini Bank flan hivi. But naona mabalaaa tu yananiandama na hawa wanawake.

Mtu unamwambia una msiba bado anapata nguvu ya kuomba 200,000 ya kuchangia send off. Ana akili kweli huyu? Mi nakosea wapi ndugu zangu? Why me always?

Screenshot_2023-07-17-08-41-59-804_com.whatsapp~2.jpg
 
Kwani Laki mbili Uliombwa wewe uchangie au Yeye? Huyo Hafai Ndugu halafu Siku zote Hawa wanawake waliokwisha Pitia Chuo wameshachakazwa sana na Mapenzi hawana Ladha ya Mapenzi tena wapo Kimaslahi tu

Huyo hafai Kujenga Familia. Ndio wale wapo radhi achangie sehemu ili naye aonekane ana Kitu
 
Kuna kamsemo kanasema jitahi sana uonekane kama mtu mwenye hela haijalishi maisha yako yakoje hii inasaidia nadhan nawe unalitendea kaz ukiwa na hela haijalish una wakat gan as long as hela ipo hata kukuomba staangalia wakat gan unapitia 😀😀 Anywayz huyo kwa hali ya sasa hafai ni mpiga mizinga ka wengne ila kama ipo mpe tu ndo wapenzi wenyewe yakitokea mengne tupe mrejesho [emoji4]😀
 
Kuna mtu kakuuza tayari. Ana taarifa zako za uhakika au makisio ya kipato chako.

Kachungulia kwenye kibubu kaona maokoto yapo, na uwiyano kati ya kuingiza na kutoa ni mdogo kaona akusaidie kutumia.

Hato kuacha salama!!
 
Yaani unampa mtu taarifa za msiba yeye anakupa taarifa za mchango wa send-off sijui,
Hivi hizo kabrasha na mafurushi huwa mnayaokotea wapi?

Si alipaswa ajiandae aje msibani kukufariji mfiwa?
Sijajua wanawake wa miaka hii wanazaliwa wapi. Sielewi hata nguvu za kuomba pesa baada ya kumwambia ana msiba kazitoa wapi.
 
Yaani unampa mtu taarifa za msiba yeye anakupa taarifa za mchango wa send-off sijui,
Hivi hizo kabrasha na mafurushi huwa mnayaokotea wapi?

Si alipaswa ajiandae aje msibani kukufariji mfiwa?
Hao ndio aina ya wanawake ambao wanaume wengi tunaotaka kuoa, tunakutana nao mtaani

Wanawake wa type hio wako wengi tu, ndo waliojaa mtaani, sahivi 70% ya wanawake ni wa type io Carleen
 
Huyu hata sijamaliza naye week kumbe naye ni kimeo tu. Sijajua nakosea wapi ninapokuwa natafuta mwenza.

Huyu dada tupo naye Jengo moja la ofisi nlimfahamu muda tu this time nikaona niombe urafiki naye nikitegemea angekuwa na akili maana alisoma IFM ana degree na yupo kazini Bank flan hivi. But naona mabalaaa tu yananiandama na hawa wanawake.

Mtu unamwambia una msiba bado anapata nguvu ya kuomba 200,000 ya kuchangia send off. Ana akili kweli huyu? Mi nakosea wapi ndugu zangu? Why me always?

View attachment 2690541
Ukianza kupanda mlima anza na gia ndogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza una uhakika huyo ni msomi? Au labda kaishia certificate hapo IFM na hapo bank amewekwa kimchongo.
Hajakaa kama mwanamke anayejielewa. Futa namba haraka na umblok kabisa.
Kwa sasa asilimia 70 ya wanawake wako hivyo, utablock wangapi Hannah
 
Back
Top Bottom