Ndugu zangu, mi mwenzenu nina Gundu. Sijui nakosea wapi?

Ndugu zangu, mi mwenzenu nina Gundu. Sijui nakosea wapi?

Yaani unampa mtu taarifa za msiba yeye anakupa taarifa za mchango wa send-off sijui,
Hivi hizo kabrasha na mafurushi huwa mnayaokotea wapi?

Si alipaswa ajiandae aje msibani kukufariji mfiwa?
Kuna mzazi mwenzangu aliwahi kuniomba hela wakati anajua nyumba niliyokuwa naishi imeungua moto,Hii jinsia nahisi sio ya sayari hii tuliopo.
 
Sikumbuki mwisho nilichangia harusi lini, wwngine waoane mimi niangaike kuwapa hela yangu?
Kwenye harusi yangu kama itakuwepo mtakuja na zawadi na tumbo zenu..sina historia ya kuchangia ma sherehe so i dont expecting anything from friends.

Bado hukamuacha huyo mwanamke? Anakupa pole kavu ya msiba hataki hata kuja kukuona? Stupid.
Aseee wewe mwanamke unanifaa sana kwasababu una mawazo kama yangu
 
[emoji23][emoji23] laki 2??? Mimi kuna demu mimemtoa baru kwa kuniomba elf 5.

Huyu dada amefungua kimgahawa juzi juzi, sasa jana akaniambia eti kikapu alichokuwa anatumia kusambazia chakula kwa wateja mwenye nacho amekichukua, hakikuwa chake. Kaniomba nimuongezee hela amunue kikapu. Ila kwa nilimvyomsoma ana katabia ka uongo uongo.

Nikamwambia nalichukua nitalifanyia kazi. Baada ya kama dakika 30 hivi nikampigia, nikamuiliza

"Kwani kikapu mnamunua sh ngapi??
Akajibu "elfu 5-7"
Nikamuuliza "Wewe hapo una sh ngapi??"
Akajibu ana elfu 3. Nikamwambia "Nyumbani si unapajua??
Yeye "Kwako??"
Mimi "Ee"
Yeye "Napajua ndiyo"
Mimi "Imeisha hiyo"
Yeye "[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]"
Nikakata simu.

Hee!! Dakika kama 5 akapiga simu akaanza dizain kama analalamika hivi..

Yeye " Sasa mpenzi, mimi sina kikapu hapa, halafu unasema hela niifate kwako kweli??"

Mimi "Kwani kikapu kimechukuliwa lini?
Yeye "Jana"
Mimi "Kwanini hukuniambia hiyo jana au leo asubuhi nikajua jinsi ya kudeal nalo??

Akaanza kama kuforce nimpe hela saa hiyo hiyo, nikaona eeeh wataka kunipanda kichwani.

Mimi kwa sauti ya mamlaka ya kiume " Aneti..hilo unalotaka haliwezekani kwa muda huu, SAWA???????
Yeye "Haya sawa[emoji26]"
Nikakata simu.
Na nyumbani hakuja na mimi nimechuna hadi kesho...


WANAUME TUSIENDEKEZE UJINGA

HAYA NDO MAAMUZI YA KIUME.

UPO KAMA MIMI


MLETA MADA UKISHAKOJOA NDO UTAONA LAKI 2 NI PESA AMA UCHAFU
 
Sikumbuki mwisho nilichangia harusi lini, wwngine waoane mimi niangaike kuwapa hela yangu?
Kwenye harusi yangu kama itakuwepo mtakuja na zawadi na tumbo zenu..sina historia ya kuchangia ma sherehe so i dont expecting anything from friends.

Bado hukamuacha huyo mwanamke? Anakupa pole kavu ya msiba hataki hata kuja kukuona? Stupid.
Kuna demu moja jinga sana juzi nawasha simu nakuta nimeungwa kwenye group la watsaap anaomba michango ya birthday party
 
Huyu hata sijamaliza naye week kumbe naye ni kimeo tu. Sijajua nakosea wapi ninapokuwa natafuta mwenza.

Huyu dada tupo naye Jengo moja la ofisi nlimfahamu muda tu this time nikaona niombe urafiki naye nikitegemea angekuwa na akili maana alisoma IFM ana degree na yupo kazini Bank flan hivi. But naona mabalaaa tu yananiandama na hawa wanawake.

Mtu unamwambia una msiba bado anapata nguvu ya kuomba 200,000 ya kuchangia send off. Ana akili kweli huyu? Mi nakosea wapi ndugu zangu? Why me always?

View attachment 2690541
Unavyojiweka ndiyo wanavyopata ujasiri wa kukupoga zaidi
 
Back
Top Bottom