Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mchagga mkuuHuyo sio mchagga[emoji23]
Tufupishe stori.Sometime nikimjibu sina anajibu sawa , ila shida ni mbio mbio yani sipumui wakuu, hapa hata nikisema ni danganye mtoto wa mtu sina mwanamke lazima ni kamatwe labda ni nunue laini nyingine ya siri sana
Atakuua mkuu kimbia haraka kama ni single mama maana ndo zaoNapigiwa simu kila wakati, kila dakika, natumiwa meseji kila mara na nikichelewa kujibu simu inapigwa .. yani hapa hata chance ya kuchepuka sipati na ole wangu nisipatikane na penzi napewa mpaka na legea kabisa yani naona anaelekea kunizidi stamina
AnaturingishiaSasa hutaki au umekuja kuturingishia
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28]Ushasema tangu kule juu kua unapelekwa mbio mbio.
Hapo unapewa upendo unaoitwa "mbio mbio"
Siyo single mama mkuu ni binti tuuAtakuua mkuu kimbia haraka kama ni single mama maana ndo zao
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Ndiyo maana akili siziachi kabisa.. na namtegeshea mimba akijaa imekula kwake.. hapa ni mwendo wa kumzoom tuuAnakuSet, ujae, akupige kwenye bandama [emoji2][emoji2]
😂😂😂😂😂😂Ushasema tangu kule juu kua unapelekwa mbio mbio.
Hapo unapewa upendo unaoitwa "mbio mbio"
Kwanini mzee wako hakuvaa salama kondom, kinga kwa ajili ya wote?Ndugu wana Jf.
Hii ni comment yangu nimeiweka mahali ila naona nikiifanya uzi nitapata mawazo mazuri zaidi
Nina binti wa kichagga kwa upande wa mawasiliano yangu na yeye ni mwendo wa mchaka mchaka, na hivi ndivyo anavyo nipeleka kama nilivyo ainisha kwenye hii comment hapo chini kuhusu namna anavyo nipeleka kimawasiliano
""Mimi hapa na tafutwa sana na huyu mwanamke wangu, ananipeleka mbio mbio sana yani sipumziki, siii meseji sii kupigiwa napelekwa mbio kweli inabidi tuu nifate upepo wake huku nimeshikilia akili zangu sawa sawa maana naweza ziacha njiani
Na kwenye kugegedana sasa ni mbio mbio tuu kwa kweli muda wote yeye ananyege yani sipumziki wakuu na kila wakati anataka kuniona . Natamani ni mwambie ila naona acha tuu ni mvumilie japo vihela vya hapa na pale nampampa."
Wakuu hapa napendwa au ndiyo imekaaje ?
Wenzio hatupigiwi simu na hakija ghetto ni kimoja hataki Tena lkn bado tumenyamaza au unataka tukuibie lete namba zake nimsahuri kitu wew umeshindwqNdugu wana Jf.
Hii ni comment yangu nimeiweka mahali ila naona nikiifanya uzi nitapata mawazo mazuri zaidi
Nina binti wa kichagga kwa upande wa mawasiliano yangu na yeye ni mwendo wa mchaka mchaka, na hivi ndivyo anavyo nipeleka kama nilivyo ainisha kwenye hii comment hapo chini kuhusu namna anavyo nipeleka kimawasiliano
""Mimi hapa na tafutwa sana na huyu mwanamke wangu, ananipeleka mbio mbio sana yani sipumziki, siii meseji sii kupigiwa napelekwa mbio kweli inabidi tuu nifate upepo wake huku nimeshikilia akili zangu sawa sawa maana naweza ziacha njiani
Na kwenye kugegedana sasa ni mbio mbio tuu kwa kweli muda wote yeye ananyege yani sipumziki wakuu na kila wakati anataka kuniona . Natamani ni mwambie ila naona acha tuu ni mvumilie japo vihela vya hapa na pale nampampa."
Wakuu hapa napendwa au ndiyo imekaaje ?