Ndugu zangu msomeni huyu mwanamke halafu mnipe ushauri

Ndugu zangu msomeni huyu mwanamke halafu mnipe ushauri

Mapenzi ni kurekebishana kama unampenda kweli ni mention nikupe ushauri mzuri hutojutia
 
Sometime nikimjibu sina anajibu sawa , ila shida ni mbio mbio yani sipumui wakuu, hapa hata nikisema ni danganye mtoto wa mtu sina mwanamke lazima ni kamatwe labda ni nunue laini nyingine ya siri sana
Tufupishe stori.
Huyo mchaga kuna maokoto ameyaona kwako au kama sio maokoto basi kuna fursa ameiona kwako ambayo italeta maokoto mbeleni.
Sasa anakuchosha hivyo ili usipate wazo la kwenda kwa mwanamke mwingine yaani hataki upate mwanamke mwingine hata kwa bahati mbaya.
Wanawake wa kichaga ndio wako hivyo akishaona sehemu ina uhakika anakuwa makini sana hataki kiumbe wa aina yoyote asogee.
Na atahakikisha matumizi ya pesa yako yote anayajua,hataki pesa ipotelee nje kizembe

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
Napigiwa simu kila wakati, kila dakika, natumiwa meseji kila mara na nikichelewa kujibu simu inapigwa .. yani hapa hata chance ya kuchepuka sipati na ole wangu nisipatikane na penzi napewa mpaka na legea kabisa yani naona anaelekea kunizidi stamina
Atakuua mkuu kimbia haraka kama ni single mama maana ndo zao

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Ndugu wana Jf.

Hii ni comment yangu nimeiweka mahali ila naona nikiifanya uzi nitapata mawazo mazuri zaidi

Nina binti wa kichagga kwa upande wa mawasiliano yangu na yeye ni mwendo wa mchaka mchaka, na hivi ndivyo anavyo nipeleka kama nilivyo ainisha kwenye hii comment hapo chini kuhusu namna anavyo nipeleka kimawasiliano

""Mimi hapa na tafutwa sana na huyu mwanamke wangu, ananipeleka mbio mbio sana yani sipumziki, siii meseji sii kupigiwa napelekwa mbio kweli inabidi tuu nifate upepo wake huku nimeshikilia akili zangu sawa sawa maana naweza ziacha njiani

Na kwenye kugegedana sasa ni mbio mbio tuu kwa kweli muda wote yeye ananyege yani sipumziki wakuu na kila wakati anataka kuniona . Natamani ni mwambie ila naona acha tuu ni mvumilie japo vihela vya hapa na pale nampampa."

Wakuu hapa napendwa au ndiyo imekaaje ?
Kwanini mzee wako hakuvaa salama kondom, kinga kwa ajili ya wote?
 
Sijaelewa point yako ya kuja kulalamika humu,sasa kama K anakupa nini tatizo lako hapo?
 
We
Ndugu wana Jf.

Hii ni comment yangu nimeiweka mahali ila naona nikiifanya uzi nitapata mawazo mazuri zaidi

Nina binti wa kichagga kwa upande wa mawasiliano yangu na yeye ni mwendo wa mchaka mchaka, na hivi ndivyo anavyo nipeleka kama nilivyo ainisha kwenye hii comment hapo chini kuhusu namna anavyo nipeleka kimawasiliano

""Mimi hapa na tafutwa sana na huyu mwanamke wangu, ananipeleka mbio mbio sana yani sipumziki, siii meseji sii kupigiwa napelekwa mbio kweli inabidi tuu nifate upepo wake huku nimeshikilia akili zangu sawa sawa maana naweza ziacha njiani

Na kwenye kugegedana sasa ni mbio mbio tuu kwa kweli muda wote yeye ananyege yani sipumziki wakuu na kila wakati anataka kuniona . Natamani ni mwambie ila naona acha tuu ni mvumilie japo vihela vya hapa na pale nampampa."

Wakuu hapa napendwa au ndiyo imekaaje ?
Wenzio hatupigiwi simu na hakija ghetto ni kimoja hataki Tena lkn bado tumenyamaza au unataka tukuibie lete namba zake nimsahuri kitu wew umeshindwq
 
Back
Top Bottom