Ndugu zangu msomeni huyu mwanamke halafu mnipe ushauri

Mkinyimwa unyumba mnakuja kuandika uzi wa malalamiko na mkipewa sana ili mridhike pia mnakuja kuandika uzi wa malalamiko.
Kwa hili namtetea huyo mpenzi wako pambana naye ili kusiwe na kisingizio cha aina yoyote cha kutafuta michepuko
 
Ukisikia mapenzi ya mwendokasi ndio hayo sasa
We chakata papuchi jombaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…