Ndugu zangu, muda mwingine sisi wenyewe tunawapa nafasi maadui zetu watudhuru

Wenzake wakifanya show off wanakua wamezindikwa yeye anafanya show off mweupe utadhani haijui jamii yetu ya kitanzania.
 
Mimi sio mtu wa kupost mishe zangu, ila siezi kataza watu wasipost mambo yao kwa kuhofia kwamba one day wataanguka.

Kama mtu anafurahia jambo fulani na anataka kushare na company yake mbona safi tu.
Hayo maisha usifanyie bongo au Africa. Lasivyo utapigwa majuju mpk ukome 🤣
 
Perfect content.
 
Ujaelewa uzi kaka
Mipango inatakiwa kifanyika sirini watu waone matokeo
Same kwa hao uliowataja unajua strategic ambazo zipo kichwani mwa elon musk,mo na dangote
Elon Musk ana mpango wa kwenda mars na dunia nzima inajua.
Halogeki?

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Africa unaweza zimwa hata kwa kuhisiwa tu.
Ninyi mnaishi Africa ipi.
Yani uanze kupata hela alafu watu wasijue.
 
Kuwa msiri mkuu dunia hii ina mambo ya kutisha.

Mafanikio yako huleta majeraha kwa wengine(umekiri mwenyewe),baraka ni intangible kwa matomaso.

Vipi kuhusu majambazi na vibaka wakiona umeposti mbongotee watafurahia au watakutafuta then waokote na wakutoe roho ili mchezo wa kupost ukuishe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…