Smart Contract
JF-Expert Member
- Sep 24, 2014
- 1,158
- 2,847
- Thread starter
-
- #21
Mara nyingi natumia ATM na muda wote ipo kwenye walet, kuhusu mtu anayejua password yangu namuamini hawezi niibia after all card nipo nayo 24/7Ndivyo ilivyoandikwa pale ,Personal withdraw angalia tu je kwenye mashine yako ukiwithdraw cash unatumia njia gani? Namba yako ya sim au mtu yeyote anaejua namba ya Siri anaweza kutoa pesa
Duh, hizi ndo nini huko daslam, unantishaNimemisi cocktails za paradiso na mandazi ya jehanamu achana na grants za kuzimu
Ahsante sanaPole sana
Sasa unalalamika Nini?? Hujui unapaswa kuilinda KADI yako na pasiwedi yako kuwa Siri binafsi? Ukienda benki unapaswa uwekwe chini ya ulinzi kwa uchunguzi.. unataka kuiharibia benki jina?!Ndio maaana nikataka nijue huu muaala sijui TMS ni wa aina gani .? Yaani ni withdrawal kwa wakala, atm au benki
Maana nilitingwa na ulcers hata kutembea siwezi, kuna mtu wangu wa karibu nilimpatia password na kadi akanitolee akatoa na risiti akanipa lakini text haikurudi na sikawaida maana miamala mingine ilopita pia text hazikufika.
Acha kukurupuka, ukiambiwa mtu wa karibu unaelewa nini?Sasa unalalamika Nini?? Hujui unapaswa kuilinda KADI yako na pasiwedi yako kuwa Siri binafsi? Ukienda benki unapaswa uwekwe chini ya ulinzi kwa uchunguzi.. unataka kuiharibia benki jina?!
Sijakurupuka !!!!Acha kukurupuka, ukiambiwa mtu wa karibu unaelewa nini?