Mimi nafikiri mleta mada ndiye asimashi sawasawa na siye huyo hawara!!!![emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Hasimamishi vizuri halafu kampelekea?? Ngastuka Machale Kundesa.
yani mkuu kama tulikuwa wote vile wakat wa kusoma ..Aiseeeee wanaume wa siku hizi sijui tupoje tupoje yaani hapo mambo yapo wazi kabisa kuwa mkeo aligongwa na hawara yake alafu mnasuluhishwa na wewe unakubali
siku mbili anakwambia kuwa ana mimba yako alafu unakuja kulia lia humu kuomba ushauri
Timua huyo ni malaya sio mke...mambo mengine hayaitaji kabisa kupeana ushauri yaani umenikera kuliko Magufuli aaaaaarg
ila kuna wadada wababe mamaee..
hahahaha...
ichi kichaa changu mbona siwapatagi awa..yani napataga wakina mama teresa tuu...
nataka nipate minganga kama hii tuoneshane ukichwa maji mamaeee
Hainaga ushemeji tunakulagaDah inabidi niache kuingia hili jukwaa maana nahisi sitakuja kuoa aisee. Yani mke wako anakazwa we unachukulia poa tu.. Eti hasimamishi vizuri??? Wtf????
Mkuu hapa maamuzi magumu ambayo jamaa amechukuwa ni kuendelea kuishi na huyo mwanamke. Hakuna magumu zaidi ya hayo.Sijui jamaa una roho ya Kigadaffi!!
Yaani una roho ngumu zaidi ya mhudumu wa mochwari!
Mwanamke ana kuambia jamaa aliyekutana nae hasimamishi mzingo hahaha dah! Kama hasimamishi alienda kuchukua nini huko?
Wee bro chukua maamuzi magumu zaidi ya yale ya Lowasa kuhamia Chadema!
Piga chini fanya uteuzi mwingine ASAP